Kondomu za siku hizi ni ndogo hazitoshi kwenye uume

Kondomu za siku hizi ni ndogo hazitoshi kwenye uume

Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote

Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha

Wizara ya Afya jaribu kujali af ya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Wahaya mna sifa za kipunda sana.Mpira unaovutika size 15 inches haukutoshi?Basi wewe ni kilema umebeba mguu katikati ya mapaja.
 
Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote

Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha

Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
😂
 
Sizikumbuki tena ndomu, I haven't used it in a long time !
Kumbe zishafanywa ndogo!
Kikubwa tangazo limefika wateja wengi.
Bila condom unawezaje kuepuka magonjwa na mimba wakati wa kusex na mwanamke ambae sio mkeo, na hatumii njia ya uzazi wa mipango.
 
Anachosema mtoa mada ni kweli

Nimekumbana na hiyo hali pia hivi karibuni

Kuhusu harufu mbaya ya Kondomu, hilo sijakutana nalo

Ukikoswa koswa na UTI ya DSM basi Gonorrhea/HIV/AIDS haiwezi kukuacha iwapo hutumii Mpira.

Kama unafanya unprotected sexual intercourse, unaingia kwenye risk ya ku-contaminate hayo maradhi hata kama utatumia virainishi kama Vijana wengi wanavyodanganyana
 
Anachosema mtoa mada ni kweli

Nimekumbana na hiyo hali pia hivi karibuni

Kuhusu harufu mbaya ya Kondomu, hilo sijakutana nalo

Ukikoswa koswa na UTI ya DSM basi Gonorrhea/HIV/AIDS haiwezi kukuacha iwapo hutumii Mpira.

Kama unafanya unprotected sexual intercourse, unaingia kwenye risk ya ku-contaminate hayo maradhi hata kama utatumia virainishi kama Vijana wengi wanavyodanganyana
Kabisa hali ni mbaya
 
Anachosema mtoa mada ni kweli

Nimekumbana na hiyo hali pia hivi karibuni

Kuhusu harufu mbaya ya Kondomu, hilo sijakutana nalo

Ukikoswa koswa na UTI ya DSM basi Gonorrhea/HIV/AIDS haiwezi kukuacha iwapo hutumii Mpira.

Kama unafanya unprotected sexual intercourse, unaingia kwenye risk ya ku-contaminate hayo maradhi hata kama utatumia virainishi kama Vijana wengi wanavyodanganyana
Hongera mkuu kwa kuendelea na matumizi na condom. 🤣
 
Bila hii kitu Wazee tungekuwa hatuponi UTI zao

Maana kama unakumbuka hadi Mwaka 47 hakukuwa na huu ugonjwa wao wa UTI 🤗
Hivi UTI ya Dar inaweza kupukutisha kabisa? Sisi zama zetu tuliogopa kaswende na ndugu zake, baadae miaka tunaoa 83 huko likaja kubwa ndio tukaogopa kabisa🤣
 
Back
Top Bottom