Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 458
- 965
Kuna kitu hakipo sawa katika taifa hili, Bwana atupiganie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijafanya utafiti bro.....naomba nifanye utafitiCondoms haziko free size
Sio Tangazo sihitaji mpenzi kutoka jf
Kama umefanya utafiti utagundua hili
Wahaya mna sifa za kipunda sana.Mpira unaovutika size 15 inches haukutoshi?Basi wewe ni kilema umebeba mguu katikati ya mapaja.Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali af ya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Ukifika unaponunua uliza utapewa muongozoMbona sijawahi kuona hizo size tofauti
😂Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Bila condom unawezaje kuepuka magonjwa na mimba wakati wa kusex na mwanamke ambae sio mkeo, na hatumii njia ya uzazi wa mipango.Sizikumbuki tena ndomu, I haven't used it in a long time !
Kumbe zishafanywa ndogo!
Kikubwa tangazo limefika wateja wengi.
hiyo soksi unaweza kuvaliana na punda?Nunua condom bei inayoanza na 5,000 zingine ni mfano wa condom
Kabisa hali ni mbayaAnachosema mtoa mada ni kweli
Nimekumbana na hiyo hali pia hivi karibuni
Kuhusu harufu mbaya ya Kondomu, hilo sijakutana nalo
Ukikoswa koswa na UTI ya DSM basi Gonorrhea/HIV/AIDS haiwezi kukuacha iwapo hutumii Mpira.
Kama unafanya unprotected sexual intercourse, unaingia kwenye risk ya ku-contaminate hayo maradhi hata kama utatumia virainishi kama Vijana wengi wanavyodanganyana
Kwa kweli Mkuu, Tena UTI ya hapa DSM ni Kali balaa 🙌Kabisa hali ni mbaya
Hongera mkuu kwa kuendelea na matumizi na condom. 🤣Anachosema mtoa mada ni kweli
Nimekumbana na hiyo hali pia hivi karibuni
Kuhusu harufu mbaya ya Kondomu, hilo sijakutana nalo
Ukikoswa koswa na UTI ya DSM basi Gonorrhea/HIV/AIDS haiwezi kukuacha iwapo hutumii Mpira.
Kama unafanya unprotected sexual intercourse, unaingia kwenye risk ya ku-contaminate hayo maradhi hata kama utatumia virainishi kama Vijana wengi wanavyodanganyana
Wachina size..... they made to fit them!Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo,
Bila hii kitu Wazee tungekuwa hatuponi UTI zaoHongera mkuu kwa kuendelea na matumizi na condom. 🤣
Tangazo lingeambatanishwa na picha ingekuwa bomba au we unaonajeHa ha ha Tangazo limefika mkuu
Hivi UTI ya Dar inaweza kupukutisha kabisa? Sisi zama zetu tuliogopa kaswende na ndugu zake, baadae miaka tunaoa 83 huko likaja kubwa ndio tukaogopa kabisa🤣Bila hii kitu Wazee tungekuwa hatuponi UTI zao
Maana kama unakumbuka hadi Mwaka 47 hakukuwa na huu ugonjwa wao wa UTI 🤗