The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
UZINZI UZINZIIII MBAYAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi niko hapa kujifunzaMkuu nakukumbusha condom ziko small, medium, na large. Kabla ya kununua na kuvaa condom unahitaji kufahamu kiundani somo la matumizi ya condom vinginevyo unahatarisha maisha yako. Pata muda jifunze kwa bidii kuhusu condom hasa kama umeamua maisha yako ni ya uzinzi. Tanzania ina kila aina ya condom(brand zenye hadhi na hizo zisizo na hadhi) Kuvaa condom pekee hakutoshi bali kununua na kuvaa condom sahihi.
Siku nyingi nilikuwa nalitafutia ufumbuzi hili suala.Sio tangazo
Kama ni mtumiaji wa condoms
Utakuwa ushagindua hili suala
Kiongozi natumai hautumii ndom za zana🤔Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Mkuu nimecheka kwa sauti mbele ya watu. Daah sasa naweza kwenda kulala🤣🤣Tumia Rambo mkuu
Kiongozi natumai hautumii ndom za zana🤔
Sasa tumekwishaEndelea kujifunza mkuu utagundua kumbe hata hilo neno condom ni jina la mtu. Na utagundua kuna mpaka condom za ngozi za wanyama. Na utagundua kuna kondomu zinazuia mimba tu na si ngoma......
Mkuu we kula mbichi tu kama hizo jezi zinazingua.Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Moja ilinipasukia,nikachomoa chapu,kipande nusu kikabaki ndani,kutoa ndonga yaani Kama nimeivisha kawoshiNi ndogo mno shazivutiki sio kama za zamani
kumbe kuna kondomu saizi mbalimbali? Sikujua, nilijua zote ni saizi mojaMkuu nakukumbusha condom ziko small, medium, na large. Kabla ya kununua na kuvaa condom unahitaji kufahamu kiundani somo la matumizi ya condom vinginevyo unahatarisha maisha yako. Pata muda jifunze kwa bidii kuhusu condom hasa kama umeamua maisha yako ni ya uzinzi. Tanzania ina kila aina ya condom(brand zenye hadhi na hizo zisizo na hadhi) Kuvaa condom pekee hakutoshi bali kununua na kuvaa condom sahihi.
Kuchek afya na uaminifu ni vitu viwili tofauti mamdogo, kikubwa ni kujikinga tu moyo wa mtu ni kichaka.Condom zanini tena love kavu ndio tamuuuuu banaaaaa .Mnacheki afya kisha mnapeana mautamu kwaraha zenyuu!
Sio size tu hadi bei na harufu zinatofautiana. Mfano condom nyingi zinazosambazwa bara la Asia ni small size kwa sababu wale jamaa ni wana uume mdogo kulingalisha na West Africa.....soma taarifa zake ziko nyingi tu aisee.kumbe kuna kondomu saizi mbalimbali? Sikujua, nilijua zote ni saizi moja
Endelea kutupa elimuSio size tu hadi bei na harufu zinatofautiana. Mfano condom nyingi zinazosambazwa bara la Asia ni small size kwa sababu wale jamaa ni wana uume mdogo kulingalisha na West Africa.....soma taarifa zake ziko nyingi tu aisee.
Nyingine zinabana sanaKweli aisee tutakwisha
Na hizi condoms ndogo hiv
Labda ni za Wachina zimeletwa hukuCondoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali