stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Condom haipwelepweti Mimi inabana mpaka misuli inataka kupasuka chuma kigumuWengine wanalalamika zinawapwelepweta ,sasa mama sijui atafanyaje kuhusu hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Condom haipwelepweti Mimi inabana mpaka misuli inataka kupasuka chuma kigumuWengine wanalalamika zinawapwelepweta ,sasa mama sijui atafanyaje kuhusu hili
Sawa mandingo Wateja wako watakua wamekusikiaCondoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Anasubiri pm tu kwasasa😀😀Mkuu,
Wanapenda sana 🍆🥒, nadhani ujumbe umewafikia. Sisi wenye 🌶 tumekubali yaishe.
Acha uzinziCondoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Nadhani wewe ushajioneahizo kondom ni saizi nzuri kwa wenye mboro fupi. Mboro fupi kwa kondom ndefu inatengeneza ringi kubwa pale shinani. Kwa habari ya harufu ni kweli kondomu zinanuka vibaya, ukiongeza na harufu ya shahawa inakuwa kero tupu
Hatupimi mpaka tukondeUKIMWI upo na unaua
Mkuu nakukumbusha condom ziko small, medium, na large. Kabla ya kununua na kuvaa condom unahitaji kufahamu kiundani somo la matumizi ya condom vinginevyo unahatarisha maisha yako. Pata muda jifunze kwa bidii kuhusu condom hasa kama umeamua maisha yako ni ya uzinzi. Tanzania ina kila aina ya condom(brand zenye hadhi na hizo zisizo na hadhi) Kuvaa condom pekee hakutoshi bali kununua na kuvaa condom sahihi.Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali