luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Mm nakumbuka mwaka flan kipindi cha nyuma sana nilikuwa na girlfriend muslim bac iyo azana siku moja ina pigwa sie tuko busy tuna shiriki tendowaislam kuna la kujifunza pale pindi ADHANA inapoadhiniwa.
Unataka kusema mtindo huu wa kuazini kwa kutumia vipaza sauti na spika ulikuepo tangu karne ya 17 yaani miaka ya 1600skuna misingi fulani ya kiislamu ambayo kamwe haiwezi kubadilika wala kuvunjwa, kuitana katika ibada kwa kupitia adhana ni mojawapo. wataendelea kuitana kwa mtindo huo hata milele
Adhana unaiita NOISE kweli? Hata kama si imani yako lakini kuita adhana ni KELELE si uungwana.Moja ya barrier kwenye communication ni noise .Kenyatta alijua hawezi ongea kwenye noise akafikisha ujumbe ndio maana akaacha noise za Adhana ziishe ndio aendelee na hotuba.Sababu asingesikika Kasoma conmunications na kaielewa vizuri hakukariri .Bravo to Kenyatta
Unatakiwa ukae kimya na ufuatilize maneno ya adhana.Mara baada ya adhana kwisha uombe dua kwani ni miongoni mwa nyakati dua zinapojibiwa zaidi.waislam kuna la kujifunza pale pindi ADHANA inapoadhiniwa.
Haha!!! Mkuu unanikumbusha mbali sana....azana inaendelea we unakitafuta cha alfajiri...Mungu atusamehe.Mm nakumbuka mwaka flan kipindi cha nyuma sana nilikuwa na girlfriend muslim bac iyo azana siku moja ina pigwa sie tuko busy tuna shiriki tendo
Kufuru kubwa hii umeandika!kwa hiyo hatuswali /sali tena Kwasababu ya Msiba? Ratiba muhimu kuliko zote ni ya kumuabudu munguAiseee huo msikit una majasir sn duh kwa hali ilivyo dodoma upige adhana saiz mmmh
Respect...wa kibongo angeendelea.Wakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule. Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi.? Au alitulia tu kwa huzuni yake.?
Kheri kk ingekuwa cha alfajirHaha!!! Mkuu unanikumbusha mbali sana....azana inaendelea we unakitafuta cha alfajiri...Mungu atusamehe.
Na kila mtu aheshimu imani ya mwenzakeKwakweli nimeshangaa sana. Kama alikuwa anasubiri adhana iishe maana yake anatuonesha tuishi huku tukijua kila mmoja ana imani yake na mawazo yake.
Kama ww mjanja kojoa huku umesimamaHamna Cha msamaha nitasema kweli daima wallah. Kupiga kelele kwa msiba sio fair bana
Basi yaishe, natengua kauli[emoji42]Unataka kuchafua hali ya hewa?
Comment yako kama hio pic yakoWangekuwa wao sasa, ungesikia Makafiri hayo, yanatupigia kelele.
Takbiiiiir!
Mungu atamlipa kwa daraja lake..!