Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Leo utatukana Sana, kuonyesha level yako ya akili, hoja hujibiwa kwa hoja sio tu mgumba Niko menopause kabisa
Sasa wewe umetoa hoja gani zaidi ya kuonyesha upunguani wako humu?
Hujajishtukia tu kua umegeuka kituko kwenye hii thd na kila mtu anakuona hamnazo?

Unaonekana umelelewa kwenye malezi ya hovyo sana na maisha yamekupiga huna pakutokea,
Unajaribu kupata relief hapa kwa kuandika matapishi yasiyo na kichwa wala mguu,

Siku nyingine jaribu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wako.
 
Hao wa msikiti si wasingetumia hzo speaker kwa leo tu
Binafsi naona walivyoendelea na Ratiba yao kama kawaida wamefanya vyema zaidi. Kuonesha kuwa Tanzania ni Nchi huru na hakuna anayeingilia Imani ya Mwenzie.

Pia wangesitisha kutumia hizo Spika Kwa Jana tungekosa kujifunza somo alilotupatia Rais Kenyata.

Kudos Mr. Uhuru Kenyatta.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Umekuja na matusi tu why waste my team dealing with low iq,[emoji23][emoji23]hafu zile I'd nyingine umeacha wapi loh kumbe hii ya kutetea dini yako na kutukana
Andika tu Kiswahili acha kuharibu lugha za watu.
 
Nimemwelewa Sana Kenyata,Kaonesha HESHIMA Kubwa Sana Kwa Wenzetu Waislam!
Tumepewa Funzo Kubwa Sana na Jirani Yetu Huyu.
Mkuu kabisa nimependa sana ile Ni Heshima kubwa aliofanya na ukizingatia ni Rais pia ni mkristo na yupo katikati ya hotuba.aliposikia azana tu akatulia kimya hii ndiyo maana hasa ya kumuheshimu MUNGU. Kaonyesha mfano mzuri sana
 
Aiseee huo msikiti una majasir sn duh kwa hali ilivyo Dodoma upige adhana saiz mmmh
Ahhahahah umewaza kama Mimi! Jamaa hajajali cha viongozi wala nini! Katandika adhana tena kipaza sauti kikielekezwa uwanjani.

Kenyatta katupa funzo kama ilikuwa heshima kweli au kelele zilimtatiza labda akaona hatasikika vizuri.
 
Niliiona hii sehemu ingawa sikujua kwanini aliacha kuongea ghafala,ingawa baadaye nilikuja kupata ufafanuzi...
 
Waislam mnapenda kujali vitu vidogo vidogo sana.

Nimeona vijana twitter wakifurahi sana.

Kwani kuna sehemu amesema alinyamaza kwa ajili ya adhana? Labda alikua ameshikwa na kitete cha msiba, maumivu, heshima kwa marehemu.

Jamaa alikua anagugumia maumivu ya msina nyie mlishakimbilia eti ameheshimu adhana, adhana?

Hii dini bwana.
Mpaka aseme? Alafu unasema hii dini bwana. Kwa taarifa siyo Mara ya kwanza anafanya hivyo. Ikishushwa bendera sababu Kuna virungu unasimama. Hipo hivi Mkuu kwa nafasi aliyonayo Rais kenyata na Heshima aliyofanya ni Jambo kubwa sana na funzo na mfano mzuri wa kuigwa
 
Waislam mnapenda kujali vitu vidogo vidogo sana.

Nimeona vijana twitter wakifurahi sana.

Kwani kuna sehemu amesema alinyamaza kwa ajili ya adhana? Labda alikua ameshikwa na kitete cha msiba, maumivu, heshima kwa marehemu.

Jamaa alikua anagugumia maumivu ya msina nyie mlishakimbilia eti ameheshimu adhana, adhana?

Hii dini bwana.

Umeumia sana,pole kunywa maji upunguze hasira maana ni hasara kwako
 
Wewe tumia akili umeelewa nilichoandika kweli, au upofu wa dini unakufanya usitumie akili.
Mimi sina wazazi nina jiwe ndo lililo nizaa wewe uliyezaliwa na binadamu hutaki kusikia kitu cha tofauti huoni wewe ni tatizo. Hafu sio unachoamini wewe wengine wanaamini na kukijua ndio maana nikasema ni kelele kwangu. Au na wewe wazazi wako walipata division five hadi na wewe huelewi
Kwa hiyo uwezi kuheshimu mzazi wa mtu mwingine sababu ajakuzaa siyo? We dada mbona una Fuvu bovu kiasi hiki?
 
Kwa hiyo uwezi kuheshimu mzazi wa mtu mwingine sababu ajakuzaa siyo? We dada mbona una Fuvu bovu kiasi hiki?
Nyie watu mumevuta bangi za dini mbona mnaandika vitu havieleweki, msinichoshe na imani zenu,sija force mtu aamini tofauti na mimi
 
Binafsi naona walivyoendelea na Ratiba yao kama kawaida wamefanya vyema zaidi. Kuonesha kuwa Tanzania ni Nchi huru na hakuna anayeingilia Imani ya Mwenzie.

Pia wangesitisha kutumia hizo Spika Kwa Jana tungekosa kujifunza somo alilotupatia Rais Kenyata.

Kudos Mr. Uhuru Kenyatta.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Sasa hapo umepata somo gani zaidi ya ukiwa wahutubia kukitokea distraction una pose kidogo
 
Back
Top Bottom