Korea kaskazini imeshindikana, haiwezekani, yaonesha silaha mpya

Korea kaskazini imeshindikana, haiwezekani, yaonesha silaha mpya

Mbabe wa nyukilia Dunian wako wengi

Marekan

Urusi

China

Uingereza

Ufaransa

Korea kask

Israel

Ujeruman

Na Mataifa mengine makubwa ya Ulaya ( ingawa hayakiri umiliki wa silaha hizo kama ilivo Israel).

Marekan inamuogopa Mkore kwa sababh moja tu


Mkore alishasema, siku marekan akithubutu, Yeye ataifayatua Japan ,Korea kusin kwa nyukilia ( Kwaivo ili Marekan aanzishe vita na korea lazima mataifa hayo mawili yawe yamempa ruksa ).


Pia Korea imepakana na Wachina na Warusi , mataifa haya mawili kamwe hayawez ruhusu Marekan (NATO) Itie mizizi Korea yaan kuruhusu Adui awe mpakan mwako.


Ndio maana unaona Uchina inakatalia vile visiwa dhidi ya Japan.

Huku Urusi ikinyakua Majimbo kadhaa ya Ukraine.

Yote ni katika kutengeneza Ombwe la kiusalama.
Hapo point ni moja tu,

Russia and China won't allow US awe mpakani mwao yaani avamie n. Korea basi.

Izo nyingine zote ni conspiracy.
 
Hapo point ni moja tu,

Russia and China won't allow US awe mpakani mwao yaani avamie n. Korea basi.

Izo nyingine zote ni conspiracy.
 
N. Korea uwezo Wake kivita ni wakawaida sana.
Sema Inakua overrated sana.

Inapewa sifa ambazo haina.
 
Embu nenda Korea kamwambie usoni hivyo bwana Kim ..halafu yey atakuonyesha kama ni real au fake ..ila ukiondoka aga nyumbani kabisa kua haurudi tena
Mkuu hao jamaa waongo waongo Sana. Hapo anataka Biden aogope Hilo pipa lake jeusi aje wafanye mazungumzo aondolewe vikwazo ndo lengo.

Nchi zilizo katika sanctions ziko desperate Sana, huoni Kim alivyokua Mpole kipindi anafanya mazungumzo na trump??
 
N. Korea uwezo Wake kivita ni wakawaida sana.
Sema Inakua overrated sana.

Inapewa sifa ambazo haina.
Hata sisi tukiachana na migogoro ya ndani ya usiasa na ushabiki wa kuipenda korea tukaji organize vizuri mbona huyo kiduku anasanda mapema tu
 
Hapo amna kombora.

saa nyingine huwa wanaweka mapipa wanapaka rangi wanaweka juu ya gari hizo ili kupata sifa kwa raia.

Tunaita show-off au wa Iran wanasema for television purpose.
Wee, watu wanapeleka satellite angani wenyewe ...ndo uje uwabeze .

Achana namambo ya Kupaka makopo.

Inamaana huwa huoni wakifanyia majaribio makombora yao???.
 
Kinacho fanya Marekani asiishambulie Korea Kaskazini ni kwamba Korea Kusini na Japan zitakuwa target kuu, sasa na Japan na Korea Kusini hazitaki kuwa target,
 
Mbabe wa nyukilia Dunian wako wengi

Marekan

Urusi

China

Uingereza

Ufaransa

Korea kask

Israel

Ujeruman

Na Mataifa mengine makubwa ya Ulaya ( ingawa hayakiri umiliki wa silaha hizo kama ilivo Israel).

Marekan inamuogopa Mkore kwa sababh moja tu


Mkore alishasema, siku marekan akithubutu, Yeye ataifayatua Japan ,Korea kusin kwa nyukilia ( Kwaivo ili Marekan aanzishe vita na korea lazima mataifa hayo mawili yawe yamempa ruksa ).


Pia Korea imepakana na Wachina na Warusi , mataifa haya mawili kamwe hayawez ruhusu Marekan (NATO) Itie mizizi Korea yaan kuruhusu Adui awe mpakan mwako.


Ndio maana unaona Uchina inakatalia vile visiwa dhidi ya Japan.

Huku Urusi ikinyakua Majimbo kadhaa ya Ukraine.

Yote ni katika kutengeneza Ombwe la kiusalama.
German hapana, pia umemuacha India na pakistan
 
Mkuu hao jamaa waongo waongo Sana. Hapo anataka Biden aogope Hilo pipa lake jeusi aje wafanye mazungumzo aondolewe vikwazo ndo lengo.

Nchi zilizo katika sanctions ziko desperate Sana, huoni Kim alivyokua Mpole kipindi anafanya mazungumzo na trump??
Yale yaliyokuwa yana katiza anga la Japani ni mwanga wa tochi pengine? Adi mavingora yakawa yana toa onyo kuwa dude linapita?
 
Back
Top Bottom