one wisow
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,303
- 1,901
Mapipa tu yale mkuu ndani wameeka sponji, alafu wamepaka rangi.Yale ni ma toy tu hakuna kitu mle.Hawana huo uwezo.
Hela ya kula hauna utapata wapi Hela ya kutengeneza conventional weapons?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapipa tu yale mkuu ndani wameeka sponji, alafu wamepaka rangi.Yale ni ma toy tu hakuna kitu mle.Hawana huo uwezo.
Kama atakujibu naomba unitag mkuuu.Mbona vita nyingi US anasaidiwa na washirika wake wa NATO,sasa kuna ubaya gani Vietnam kusaidiwa na Russia?
Ubishi wa kwenye vijiwe vya kahawa huu.Korea hana makombora ya masafa marefu
Naifahamu sana historia ya Saadam Hussein na ninafahamu sana mapinduzi ya kiislamu ya Iran, nafahamu pia uhusiano wa Iraq ya Saadam Na Iran ya mapinduzi; bado nasisitiza, USA kuisaidia Iraq kumpindua Saadam hilo haliwezi kua kweli.Inabidi kwanza utambue ,,kipindi sadam ,anatawara alikua na vita vikubwa na irani na kwenye kuondoa ule UTAWARA ilihusika irani na Marekani hilo utambue: na alipo kamatwa alinyongwa hadharani ,,Embu fuatilia vyema ;lakini siku zote wairani hukuweka nyuma na ndio maana hufanikiwa sana
Unaujua umbali wa kutoka North Korea hadi Marekani au umetiririka tu mkuu. Unadhani Marekani ana hofu kwamba North Korea itashambulia South Africa?Hana nuclear ya kufika masafa marefu
Mbabe wa nuclear duniani ni mmoja tu
Wewe Jamaa bwana ..nyie wamerekani wa tandale huwa mnashida Sana. Kwahiyo watakusema kwamba USA huwa anapiga kelele bure tu bila sababu yaani anaitishia kuipiga Vita NK ilahali hawana rasilimali zozote zile za maana ambazo USA anaweza kufaidika nazo ..Sasa Kama jibu ndio Hilo why USA Huwa anapoteza muda kwa kjiingiza katika conflict na NK?Kwa rasimali gani ambazo kk wanazo?
Vita yeyote inayofanyika lazima kuwe kuna upande unaokwenda kupata faida kupitia vita hiyo
Sasa marekani atafaidika na kitu ganj hapo nk?
Yaani when it comes hizi mambo Kuna watu huwa wanadiriki kujitoa akili na kuanza kuchagia topic kwa mahaba tu .. hata Kama wanaona kuwa wanacho kitetea hakina logicKumbe nuclear hua inajua hii ni nchi ya kiafrica na ile ni ya wababe?
[emoji16][emoji16][emoji16] kwamba unawazidi hata CIA na M16 Kwa information!?Hana nuclear ya kufika masafa marefu
Mbabe wa nuclear duniani ni mmoja tu
[emoji16][emoji16][emoji16]Yale yaliyokuwa yana katiza anga la Japani ni mwanga wa tochi pengine!? Adi mavingora yakawa yana toa onyo kuwa dude linapita!?
[emoji16][emoji16][emoji16] simply like that!?Korea hana makombora ya masafa marefu
Katika siasa adui yako anaweza kuwa rafiki kwaajili ya kupata maslahi fulani. Ni kweli Iran walitoa msaada lakini haukuwa msaada wa makubaliano na USA Bali waliwaingiza Chaka USA ili apate kuipiga Iraq.Iran impe msaada Marekani kwa Iraq? Nadhani huijui vizuri historia ya hizo nchi mbili, Iraq na Iran.
[emoji16][emoji16]Maana ya kutomuogopa mtu ni kwamba kwa lolote lile utamkabili... Haijalishi ni matokeo gani utayapata baada ya kumkabili... Sasa kitendo cha mmarekani kutomkabili K.K kwa kisingizio cha Japan na S.K ni wazi K.K ana nguvu na uwezo wa kufanya makubwa tu... Hivyo nyie wamarekani weusi mtulie
Iran aliisaidia mpaka Israel kulipua vinu vya nyuklia vya Iraq .. Ijapokuwa Ni mahasimu [emoji16][emoji16] Iran akili zao hazifaiInabidi kwanza utambue ,,kipindi sadam ,anatawara alikua na vita vikubwa na irani na kwenye kuondoa ule UTAWARA ilihusika irani na Marekani hilo utambue: na alipo kamatwa alinyongwa hadharani ,,Embu fuatilia vyema ;lakini siku zote wairani hukuweka nyuma na ndio maana hufanikiwa sana
Hizo ni figisu za trump ambazo kimsingi tunaweza kuziita personal problems na ndio maana biden ameanza kuondoa vikwazo ambavyo havina maslahi kwa nchiWewe Jamaa bwana ..nyie wamerekani wa tandale huwa mnashida Sana .. kwahiyo watakusema kwamba USA huwa anapiga kelele bure tu bila sababu yaani anaitishia kuipiga Vita NK ilahali hawana rasilimali zozote zile za maana ambazo USA anaweza kufaidika nazo ..Sasa Kama jibu ndio Hilo why USA Huwa anapoteza muda kwa kjiingiza katika conflict na NK !?
Hivi unajifanya haitambui kabisa kuwa USA Kuna manufaa makubwa anayo yapata kwa kupitia SK Na Japan na nchi zote hizi alishaingia nazo mkataba wa kuzilinda ... Hauoni kwamba ukuuaji wa nguvu ya kijeshi wa NK ni tishio la usalama kwa japan na SK .. endapo NK akiweza kutishia usalama wa nchi hizo mbili je hauoni kwamba kwa namna 1 au nyingine maslahi ya USA yatakuwa yameguswa !??
Hahah bro ndio amefanya analysis hapo.[emoji16][emoji16][emoji16] simply like that!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inaweza kuwa na uwezo mdogo ila ukumbuje china na russia lazma watoe support nzito na Iran piaN. Korea uwezo Wake kivita ni wakawaida sana.
Sema Inakua overrated sana.
Inapewa sifa ambazo haina.
Its only 3,425km NK-Guam(USA's Pacific Island)watu hawajui hata ramani humu wanadhani north korea na usa ni mbali wakat ni 10,000km tu missile inafika kirahisi tu