Korea kaskazini imeshindikana, haiwezekani, yaonesha silaha mpya

Korea kaskazini imeshindikana, haiwezekani, yaonesha silaha mpya

Kiduku ni muoga kama trump tu, sipendi vita ila naweza sema silaha za korea kaskazini zina madhara kwa nchi za afrika tu ila kwa wababe wa dunia hizo silaha hazina tofauti na manati
Kwa hiyo mkuu, kombora la Korea Kasikazini lililo sheheni a 200MT za Thermonuclear pay load likitua popote katika aridhi ya Marekani, specifically miji mikubwa yenye wakazi wanao fikia mamillioni, je, kwa mawazo yako unafikiri kombora hilo haliwezi kusababisha madhara makubwa kweli? Kumbuka K.K inazo nyambizi ya kutosha zenye uwezo wa kurusha mamia ya makombora ya nuklia kutokea pwani ya mashariki, magharibi ya Marekani pamoja na Gulf of Mexico. Usifikiri Marekani inaigwaya Korea Kasikazini bila sababu.
 
Kwa hiyo mkuu, kombora la Korea Kasikazini lililo sheheni a 200MT za Thermonuclear pay load likitua popote katika aridhi ya Marekani, specifically miji mikubwa yenye wakazi wanao fikia mamillioni, je, kwa mawazo yako unafikiri kombora hilo haliwezi kusababisha madhara makubwa kweli? Kumbuka K.K inazo nyambizi ya kutosha zenye uwezo wa kurusha mamia ya makombora ya nuklia kutokea pwani ya mashariki, magharibi ya Marekani pamoja na Gulf of Mexico. Usifikiri Marekani inaigwaya Korea Kasikazini bila sababu.
Korea hana makombora ya masafa marefu
 
N. Korea uwezo Wake kivita ni wakawaida sana.
Sema Inakua overrated sana.

Inapewa sifa ambazo haina.
Je,uliwahi kufatilia vita ya kuanzia mwaka 1950 - 1953 na kujua kulitokea nini kati ya Korea Kasikazini na Marekani - mpaka sasa vita baina ya Mataifa hayo mawili havikuisha officially - kwa nini Amerika iligwaya na kuomba Umoja wa Mataifa uingilie kati?

That was by gone years, je, hivi sasa unafikiri Jeshi na wana sayansi wa Kim uwezo wao wa kuunda silaha zenye uwezo mkubwa wa kujiami umefikia kiwango gani? Kila siku hapa tunaletewa propaganda za kubumba tu kutoka kwenye media za magharibi, kwamba Korea Kasikazini ni mabumbumbu tu, tunamanishwa kwamba wanakuwa over rated bure, kesho yake unasikia Serikali ya Merikani iikilalamika kwamba Serikali ya Korea Kasikazini imedukuwa mafaili chungu mzima ya Pentagon na viwanda vya kutengeneza silaha vya huko Merikani, kuna wakati Studio ya SONY huko Hollywood iliwahi kulalamika kwamba Korea ya Kasikazini imeingilia mifumo yao ya ki-electronic (ICT). Sasa swali ni: ilikuwaje tena Taifa la watu mbumbumbu kufanikiwa kuingilia/dukuwa mafaili ya Taifa kubwa lenye uwezo mkubwa wa Kiteknilonjia.

Having said that - kama bado una under rate uwezo wa mkubwa wa kiufundi na kiteknolojia wa Taifa la Korea Kasikazini - you better think again - my opinion.
 
Inabidi uelewe wamarekani waliiweza IRAQ kwa misaada wa MUIRANI:
aliyekua anatoa ramani nzima ni MUIRANI ,,fuatilia vzur

Haya sasa mbn ASAD wamemshindwa: hiyo yote ni kisa MUIRANI kaingilia kati:

Haya sasa wasogeze Korea kaskazini waone:
Iran impe msaada Marekani kwa Iraq? Nadhani huijui vizuri historia ya hizo nchi mbili, Iraq na Iran.
 
Je,uliwahi kufatilia vita ya kuanzia mwaka 1950 - 1953 na kujua kulitokea nini kati ya Korea Kasikazini na Marekani - mpaka sasa vita baina ya Mataifa hayo mawili havikuisha officially - kwa nini Amerika iligwaya na kuomba Umoja wa Mataifa uingilie kati?

That was by gone years, je, hivi sasa unafikiri Jeshi na wana sayansi wa Kim uwezo wao wa kuunda silaha zenye uwezo mkubwa wa kujiami umefikia kiwango gani? Kila siku hapa tunaletewa propaganda za kubumba tu kutoka kwenye media za magharibi, kwamba Korea Kasikazini ni mabumbumbu tu, tunamanishwa kwamba wanakuwa over rated bure, kesho yake unasikia Serikali ya Merikani iikilalamika kwamba Serikali ya Korea Kasikazini imedukuwa mafaili chungu mzima ya Pentagon na viwanda vya kutengeneza silaha vya huko Merikani, kuna wakati Studio ya SONY huko Hollywood iliwahi kulalamika kwamba Korea ya Kasikazini imeingilia mifumo yao ya ki-electronic (ICT). Sasa swali ni: ilikuwaje tena Taifa la watu mbumbumbu kufanikiwa kuingilia/dukuwa mafaili ya Taifa kubwa lenye uwezo mkubwa wa Kiteknilonjia.

Having said that - kama bado una under rate uwezo wa mkubwa wa kiufundi na kiteknolojia wa Taifa la Korea Kasikazini - you better think again - my opinion.
Hivi hawa jamaa si juzi tu walidukua taarifa za vaccine ya corona.
 
Maana ya kutomuogopa mtu ni kwamba kwa lolote lile utamkabili... Haijalishi ni matokeo gani utayapata baada ya kumkabili... Sasa kitendo cha mmarekani kutomkabili K.K kwa kisingizio cha Japan na S.K ni wazi K.K ana nguvu na uwezo wa kufanya makubwa tu... Hivyo nyie wamarekani weusi mtulie
 
Iran impe msaada Marekani kwa Iraq? Nadhani huijui vizuri historia ya hizo nchi mbili, Iraq na Iran.
Inabidi kwanza utambue ,,kipindi sadam ,anatawara alikua na vita vikubwa na irani na kwenye kuondoa ule UTAWARA ilihusika irani na Marekani hilo utambue: na alipo kamatwa alinyongwa hadharani ,,Embu fuatilia vyema ;lakini siku zote wairani hukuweka nyuma na ndio maana hufanikiwa sana
 
Hapo amna kombora.

saa nyingine huwa wanaweka mapipa wanapaka rangi wanaweka juu ya gari hizo ili kupata sifa kwa raia.

Tunaita show-off au wa Iran wanasema for television purpose.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Hivi hawa jamaa si juzi tu walidukua taarifa za vaccine ya corona

Wanao wajuwa uwezo wa wana sayansi wa Korea kaskazini wala hawawezi kushangazwa na harakati zao za kufanikisha kudukuwa siri za vaccines za Corona kutoka kwenye data bases za watafiti wa Chanjo za Corona kwenye maabara ya mataifa ya magharibi.

Wana sayansi, ma engineers, ma programmers na mathematicians wa Korea Kaskazini wana uwezo mkubwa sana kwenye taaluma zao, hawana mchezo hata kidogo katika masuala ya ICT (wana fabricate smartphone zao zinazo fanana sana na Iphones, laptops, notebook, tablet, desktops, super computers, operating systems za kwao zinazo tumiwa kwenye computers na smartphones zao), Uundaji wa silaha, Submarine, satellites na ndege, cha ajabu media za magharibi hayo huwa hawayasemi wanakazania tu kwenye kuzuga Dunia kwamba Korea Kaskazini wanakufa njaa, mara eti Kiduku amefariki Dunia,mara Kiduku kamunyonga mjomba wake nk, lengo la propaganda hizo ni kutaka kuonyesha kwamba North Korea ni Taifa la kihuni lisilo jali raia wake, lisilo kuwa na uwezo wa kisayansi wala teknolojia wapo wapo tu - madai yote hayo hayana ukweli wowote, ni uzushi mtupu.
 
Vinchi dhaifu kama Korea huhitaji kuwa genius kujua kwamba hata jeshi lake nalo ni dhaifu.

Kanchi ambacho wananchi wake wanakufa njaa ni kanchi dhaifu katika namna zote. Ni kanchi duni.

Military mighty sio huo ujinga wa magurudumu yaliyojazwa foronya ndani. Ati nuclear heads!!!

They need more sophisticated military technology and a powerful economy which they don't have.

Viwanajeshi vyake vyenyewe vimekondeana kwa unyafuzi!
 
Watu hawajamuamulia tu, in a full-scale war North Korea haidumu hata wiki.
 
Shida kubwa ya sisi watu weusi ni kushindwa kufikiria nje ya box, yaani ukiangalia CNN, BBC, na west media zikisema korea ni masikini na nchi ya kidikteta ambayo watu wake wanakufa njaa basi tunabeba kama yalivyo. Yaani wazungu wakisema ile ni njano hata kama ni nyekundu tunawaamini.

Nchi za wenzetu wana 'area of concentration' wakikomaa na kilimo wanalima kweli, wakikomaa na teknolojia ya ujenzi wanakomaa kweli. Tangu miaka ya 1950s North Korea walikomaa na utafiti na utengenezaji wa silaha za maangamizi wakiamini ndio njia ya wao ku survive kutoka kwa maadui zao. Uadui wa N korea na USA upo toka siku nyingi na umetawaliwa na masilahi mapana ya mmarekani kwenye bara la Asia.

Kwa maoni yangu ukiwa na nyukilia utaheshimika tu, maana madhara yake ni makubwa mno... Ushirikiano wa korea na China, korea na Russia unatosha kabisa kwa taifa la korea kua na wataalamu wa kutengeneza silaha za maangamizi, hasa ukizingatia China na Russia hawapendi kuona USA anatanua mabawa yake zaidi kule Asia.
Kusema yale ni mapipa tu lazima uwe umekunywa gongo ya moto na kulewa chakari.
 
Watu hawajamuamulia tu, in a full-scale war North Korea haidumu hata wiki.

Mkuu hata Merikani ilikuwa inamcheka sana Mfaransa kwamba inakuwaje unashindwa kuwafyekelea mbali WavietNam, kwa nini mnapigana nao vita miaka nenda rudi bila mafanikio.

Wamerika wakajitapa mbele ya wafaransa kwamba wana uwezo mkubwa wa kupigana na VietNam na kumaliza kazi ndani ya wiki mbili kwa pigo moja lenye nguvu na lililo nyooka,baadae Mfaransa ilishindwa kuendelea na vita huko VietNam akaondoa majeshi yake na kuyarudisha Ufaransa kwa aibu.

Wiki chache baada ya Ufaransa kujiondoa VietNam, Jeshi la Merikani wakajiingiza kichwa kichwa VietNam wakiwa na imani kwamba vita ingemalizika ndani ya miezi michache, sasa nini kilicho jitokeza wakati vita ilipo pamba moto - Amerika ilipoteza ndege za vita, bombers na helicopters zaidi ya 20,000(elfu ishirini) kwa kudunguliwa na nyingine kuharibiwa beyond repair kutokana na makombora ya Warusi aina ya S-75 ya kutungulia ndege, strella manpad, triple As', RPG-7 nk the loss was massive, American Military haikutegemea kwamba ingeweza kupoteza idadi kubwa ya Military flying machine, si hilo tu vile vile maelfu ya wanajeshi wa Merikani walipoteza maisha.

Mwishowe baada ya miaka takribani 12 ya mapigano baina ya WavietNam kasikazini na jeshi la Merikani WavietNam waliwazidi kete Wamerikani na wakawashinda na kuwatia aibu - majigambo ya Uncle SAM hayakufua dafu mbele ya Field Marshal Nguyen Thin Bin chini ya uongozi thabiti wa Uncle Ho Chin Min.

Ninacho taka kukumbusha hapa ni kwamba someni kwanza historia ya kweli kuhusu vita vilivyo wahi kupiganwa karne hii huko Mashariki ya mbali - ma orientals si binadamu wakuchukulia poa hata kidogo regardless ya economic status za baadhi ya mataifa hayo - haya mambo ya kusema eti Merikani inaweza kuisambalatisha Korea Kaskazini ndani ya wiki hizo ni ndoto za Mchana - kumbuka Korea Kaskazini iliwahi kupigana vita na USA na washirika wake kuanzia 1950-1953,je,unajuwa kulitokea nini baada ya kupigana kwa miaka minne - USA ilizidiwa nguvu na Korea Kaskazini USA ikaomba umoja wa mataifa kuingilia kati kusitisha vita - hiyo ilitokea miaka hiyo ya zamani, je,unafikiri hivi sasa Korea Kasikazini imejihami vipi kijeshi ili ku-contain ubabe wa USA. FYI North Korea isn't a walk over at all, ndio maana USA inamugwaya sana Kiduku inaishia kwenye Pilitical rhetoric bila ya kumchukulia hatua yoyote kijeshi.
 
Je,uliwahi kufatilia vita ya kuanzia mwaka 1950 - 1953 na kujua kulitokea nini kati ya Korea Kasikazini na Marekani - mpaka sasa vita baina ya Mataifa hayo mawili havikuisha officially - kwa nini Amerika iligwaya na kuomba Umoja wa Mataifa uingilie kati?

That was by gone years, je, hivi sasa unafikiri Jeshi na wana sayansi wa Kim uwezo wao wa kuunda silaha zenye uwezo mkubwa wa kujiami umefikia kiwango gani? Kila siku hapa tunaletewa propaganda za kubumba tu kutoka kwenye media za magharibi, kwamba Korea Kasikazini ni mabumbumbu tu, tunamanishwa kwamba wanakuwa over rated bure, kesho yake unasikia Serikali ya Merikani iikilalamika kwamba Serikali ya Korea Kasikazini imedukuwa mafaili chungu mzima ya Pentagon na viwanda vya kutengeneza silaha vya huko Merikani, kuna wakati Studio ya SONY huko Hollywood iliwahi kulalamika kwamba Korea ya Kasikazini imeingilia mifumo yao ya ki-electronic (ICT). Sasa swali ni: ilikuwaje tena Taifa la watu mbumbumbu kufanikiwa kuingilia/dukuwa mafaili ya Taifa kubwa lenye uwezo mkubwa wa Kiteknilonjia.

Having said that - kama bado una under rate uwezo wa mkubwa wa kiufundi na kiteknolojia wa Taifa la Korea Kasikazini - you better think again - my opinion.
Ile vita ilikua China, USSR ndo walimzuia USA sio n. Korea mkuu.
 
Back
Top Bottom