Tuombe uhai usa ameshakuwa mdogoUnaiongelea iran tena sa si bora mapanki mara kumi
Hawa iran ndio hawaoneshi hata afadhali mfano juzi hapo jaji wa iran eti katoa kibali cha kukamatwa trump
Hii ingefanyika bongo au afrika nadhani ungecheka ila ndio hivyo watoto wamekua wakijua baba hajambi
Hapo point ni moja tu,Mbabe wa nyukilia Dunian wako wengi
Marekan
Urusi
China
Uingereza
Ufaransa
Korea kask
Israel
Ujeruman
Na Mataifa mengine makubwa ya Ulaya ( ingawa hayakiri umiliki wa silaha hizo kama ilivo Israel).
Marekan inamuogopa Mkore kwa sababh moja tu
Mkore alishasema, siku marekan akithubutu, Yeye ataifayatua Japan ,Korea kusin kwa nyukilia ( Kwaivo ili Marekan aanzishe vita na korea lazima mataifa hayo mawili yawe yamempa ruksa ).
Pia Korea imepakana na Wachina na Warusi , mataifa haya mawili kamwe hayawez ruhusu Marekan (NATO) Itie mizizi Korea yaan kuruhusu Adui awe mpakan mwako.
Ndio maana unaona Uchina inakatalia vile visiwa dhidi ya Japan.
Huku Urusi ikinyakua Majimbo kadhaa ya Ukraine.
Yote ni katika kutengeneza Ombwe la kiusalama.
Hapo amna kombora.Niguse ninukeView attachment 1678445
Mkuu hao jamaa waongo waongo Sana. Hapo anataka Biden aogope Hilo pipa lake jeusi aje wafanye mazungumzo aondolewe vikwazo ndo lengo.Embu nenda Korea kamwambie usoni hivyo bwana Kim ..halafu yey atakuonyesha kama ni real au fake ..ila ukiondoka aga nyumbani kabisa kua haurudi tena
Hata sisi tukiachana na migogoro ya ndani ya usiasa na ushabiki wa kuipenda korea tukaji organize vizuri mbona huyo kiduku anasanda mapema tuN. Korea uwezo Wake kivita ni wakawaida sana.
Sema Inakua overrated sana.
Inapewa sifa ambazo haina.
Hamna mabomu hapo, bajeti ya jeshi la nchi ya n.korea kwa mwaka ni sawa na bajeti ya simba sports clubayo mabomu hua siamini kama yanafanya kazi
Embu nenda Korea kamwambie usoni hivyo bwana Kim ..halafu yey atakuonyesha kama ni real au fake ..ila ukiondoka aga nyumbani kabisa kua haurudi tena
Hakuna bomu hapo mkuu.ayo mabomu hua siamini kama yanafanya kazi
Ha ha ha eti mapipaHapo amna kombora.
saa nyingine huwa wanaweka mapipa wanapaka rangi wanaweka juu ya gari hizo ili kupata sifa kwa raia.
Tunaita show-off au wa Iran wanasema for television purpose.
endeleeni kujifariji hvyo hvyo.Mara kadhaa, hizi military parades zimekuwa na mengi yasiyo endana na uhalisia kabisa.
Kuna mchekeshaji mmoja aliwahi kusema: "Sometimes glass glitters more than diamonds because it has more to prove."
Wee, watu wanapeleka satellite angani wenyewe ...ndo uje uwabeze .Hapo amna kombora.
saa nyingine huwa wanaweka mapipa wanapaka rangi wanaweka juu ya gari hizo ili kupata sifa kwa raia.
Tunaita show-off au wa Iran wanasema for television purpose.
Mimi nimefanya utafiti wangu. Simo miongoni mwa hao unaowasema!endeleeni kujifariji hvyo hvyo.
German hapana, pia umemuacha India na pakistanMbabe wa nyukilia Dunian wako wengi
Marekan
Urusi
China
Uingereza
Ufaransa
Korea kask
Israel
Ujeruman
Na Mataifa mengine makubwa ya Ulaya ( ingawa hayakiri umiliki wa silaha hizo kama ilivo Israel).
Marekan inamuogopa Mkore kwa sababh moja tu
Mkore alishasema, siku marekan akithubutu, Yeye ataifayatua Japan ,Korea kusin kwa nyukilia ( Kwaivo ili Marekan aanzishe vita na korea lazima mataifa hayo mawili yawe yamempa ruksa ).
Pia Korea imepakana na Wachina na Warusi , mataifa haya mawili kamwe hayawez ruhusu Marekan (NATO) Itie mizizi Korea yaan kuruhusu Adui awe mpakan mwako.
Ndio maana unaona Uchina inakatalia vile visiwa dhidi ya Japan.
Huku Urusi ikinyakua Majimbo kadhaa ya Ukraine.
Yote ni katika kutengeneza Ombwe la kiusalama.
Yale yaliyokuwa yana katiza anga la Japani ni mwanga wa tochi pengine? Adi mavingora yakawa yana toa onyo kuwa dude linapita?Mkuu hao jamaa waongo waongo Sana. Hapo anataka Biden aogope Hilo pipa lake jeusi aje wafanye mazungumzo aondolewe vikwazo ndo lengo.
Nchi zilizo katika sanctions ziko desperate Sana, huoni Kim alivyokua Mpole kipindi anafanya mazungumzo na trump??