residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kweli kabisa,wana akili fupi kama ufupi wa Zakayo mtoza ushuru.DahðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ hapo viongozi wa tz ukitokea tena kwetu ajari utawasikia wanakuja na mifano,,,, hata kwa wenzetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa,wana akili fupi kama ufupi wa Zakayo mtoza ushuru.DahðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ hapo viongozi wa tz ukitokea tena kwetu ajari utawasikia wanakuja na mifano,,,, hata kwa wenzetu
Landing speed ya Boeing 737 ni kati ya 220 hadi 260 km/hr. Jaribu kuwaza gari katika speed hiyo lijibamize mahali; hatoki mtu humo. So, hata zisingekuwa zinawaka moto still kwa speeds hizo impacts ni kifo tosha.Ina maana mafuta ya ndege huwa ni rahisi kushika moto na yamekaa sehemu nyingi za ndege? Kwa sababu, asilimia kubwa ya ajali ya ndege inayohusisha kujibamiza sehemu ikitokea lazima iwake moto. Mfano hiyo imegonga mbele lakini imewaka moto!
Wakipata ufumbuzi wa kuzua moto kwenye ajali ya ndege watakuwa wananusuru maisha ya abiria kwa sababu kinachowaua abiria kwenye ajali ya ndege huwa ni moto naona
Kwenye ndege wanakanyaga breki kweli ?
Ile ya boat ya congo inatosha sasaDuuh...innalillah wainnailayh rajiuun
Bado ajali ya meli sasaa....Allah atunusuru
Inaweza kuwa kweli na inaweza kuwa ni bahati mbaya tu katika mambo ya biashara. Dc 10 kwa mfano ilianza huduma na mabalaa ya ajali hadi ikapewa jina la flying coffin, kampuni iliyounda ndehe hiyo haikuwahi kunyanyuka tena kiuchumi toka ilipofilisika, lakini baadaye dc ilikuja kufanyiwa marekebisho kadhaa na ikawa ndege salama hadi mwisho wa maisha yake.Ndege za Boeing zina shida mahali maana zimehusika katika ajali nyingi za miaka ya hivi karibuni na kama zingekuwa zinatengenezwa nje ya Marekani wangeshatoa kauli kuziharibia soko.
Aircraft are like flying fuel tanks with seats. Hakuna namna moto unaweza zuilika kwenye ajali za ndege. Kumbuka haya ni mafuta yanayoweza kufanya combustion huko juu futi 39000 ambapo hakuna oxygen kabisa,Ina maana mafuta ya ndege huwa ni rahisi kushika moto na yamekaa sehemu nyingi za ndege? Kwa sababu, asilimia kubwa ya ajali ya ndege inayohusisha kujibamiza sehemu ikitokea lazima iwake moto. Mfano hiyo imegonga mbele lakini imewaka moto!
Wakipata ufumbuzi wa kuzua moto kwenye ajali ya ndege watakuwa wananusuru maisha ya abiria kwa sababu kinachowaua abiria kwenye ajali ya ndege huwa ni moto naona
Ndio ukweli wenyewe ajali zipo Dunia nzimaDahðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ hapo viongozi wa tz ukitokea tena kwetu ajari utawasikia wanakuja na mifano,,,, hata kwa wenzetu
Kutua ndo kuna balaa zaidi, kwemye kupaa kunakuwa na tests nyingi sana zinafanyika na hadi ndege inaingia kwenye runway kila kitu kinakuwa sawa labda engine tu izingue, kwenye kutua hakuna test tena ninkwamba kila kitunkinatakiwa kifanye kazi na hakuna room ya maintenance.Hatua ya kupaa na kutua kwa ndege ndipo kuna hatari kubwa ya kutokea ajali...
Mkuu kuna jambo hapa, hii ni Boeing 737-800 nyingine iliteleza na kutoka nje ya runway chini ya saa 12 kabla ya hiyo ajali ya Korea, haikuwa habari kubwa kwa sababu haikuleta vifoInaweza kuwa kweli na inaweza kuwa ni bahati mbaya tu katika mambo ya biashara. Dc 10 kwa mfano ilianza huduma na mabalaa ya ajali hadi ikapewa jina la flying coffin, kampuni iliyounda ndehe hiyo haikuwahi kunyanyuka tena kiuchumi toka ilipofilisika, lakini baadaye dc ilikuja kufanyiwa marekebisho kadhaa na ikawa ndege salama hadi mwisho wa maisha yake.
Airbus kwa sasabni ndege salama sana, lakini kuna baadhi ya components airbus na boeing wana source kutoka kwa manufacture mmoja
Na ikiwa angani inapigaje brekiNdege ikiwa juu ya ardhi ina breki, kuna brake pedal na brake lever...
Kaa siti za nyuma kuongeza uwezekano wakuponaJeju Air Boeing 737-800.
Usafiri wa ndege ni usafiri salama lakini ikitokea ajali uwezekano wa kupona ni mdogo sana.
View attachment 3187551View attachment 3187552
Duu basi boeing litawakuta jambo. On serious note pilots wanatofautiana sana ubora kutokana na safety procedures za makampuni ya ndege Quantas ya Australia wana safety records za juu sana nafikiri wamepata ajali moja tu toka waanze biashara.Mkuu kuna jambo hapa, hii ni Boeing 737-800 nyingine iliteleza na kutoka nje ya runway chini ya saa 12 kabla ya hiyo ajali ya Korea, haikuwa habari kubwa kwa sababu haikuleta vifo
View attachment 3187574
Tena hii series ya 737 mmhKampuni ya Boeing inaweza kuwa ndo mwanzo wa mwisho wake, tayari makampuni mengi ya usafirishaji wame cancel order za kununua boeing na kwemda kununua airbus, hizi ajali ndoz zinazidi kubomoa reputation ya boeing