Korea Kusini: Ndege iliyobeba watu 181 yaacha njia na kugonga ukuta na kuua zaidi ya Watu 167

Korea Kusini: Ndege iliyobeba watu 181 yaacha njia na kugonga ukuta na kuua zaidi ya Watu 167

Kampuni ya Boeing inaweza kuwa ndo mwanzo wa mwisho wake, tayari makampuni mengi ya usafirishaji wame cancel order za kununua boeing na kwemda kununua airbus, hizi ajali ndoz zinazidi kubomoa reputation ya boeing
Upo saaiii
 
Kampuni ya Boeing inaweza kuwa ndo mwanzo wa mwisho wake, tayari makampuni mengi ya usafirishaji wame cancel order za kununua boeing na kwemda kununua airbus, hizi ajali ndoz zinazidi kubomoa reputation ya boeing
Ndege za Boeing ndio nyingi duniani, hata itakapofika muda Airbus ni nyingi zaidi itakuwa hivi hivi
 
A
View attachment 3187464View attachment 3187465
View attachment 3187470
Takriban watu 151 wamefariki dunia baada ya ndege moja iliyokuwa imebeba abiria 181 na wafanyakazi 6 kuacha njia ya kurukia (runway) na kubomoa ukuta katika uwanja wa ndege nchini Korea Kusini.

Inasemekana watu wawili (2) wameokolewa kwenye ajali hiyo huku hali za watu wengine waliokuwemo katika ndege hiyo bado hazijajulikana.

Video za tukio hilo zimeonyesha ndege hiyo aina ya Boeing 737-800 ikiserereka kwa kasi katika njia yake, kabla ya kugonga ukuta na kuwaka moto.

Ajali hiyo imetokea leo saa tatu asubuhi nchini Korea ya Kusini.

=====================================================

A passenger plane burst into flames Sunday after it skid off a runway at a South Korea airport and slammed into a concrete fence when its front landing gear apparently failed to deploy, killing at least 47 people, officials said.

The National Fire Agency said the fire was almost put out but officials were still trying to pull people from the Jeju Air passenger plane carrying 181 people at the airport in the southern town of Muan.

At least 47 people had died in the fire, the agency said. Emergency workers pulled out two people — one passenger and one crew member. It said it deployed 32 fire trucks and several helicopters to contain the fire.

Footage of the crash aired by YTN television showed the Jeju Air plane skidding across the airstrip, apparently with its landing gear still closed, and colliding head-on with a concrete wall on the outskirts of the facility. The transport ministry said the incident happened at 9:03 a.m. local time.

Emergency officials in Muan said they were examining the cause of the fire. They said the plane's landing gear appeared to have malfunctioned. The transport ministry said the plane was returning from Bangkok and its passengers include two Thai nationals.

Local TV stations aired footage showing thick pillows of black smoke billowing from the plane engulfed with flame.

The incident came as South Korea is embroiled into a huge political crisis triggered by President Yoon Suk Yeol’s stunning imposition of martial law and ensuing impeachment. Last Friday, South Korean lawmakers impeached acting President Han Duck-soo and suspended his duties, making Deputy Prime Minister Choi Sang-mok to take over.

Source: CTV News
AYA WASEME TENA PUTIN KENGE MAJI AWA MINDEGE YAO INAUDWA NA MASHOGA APO KUNANINI !!! ZAID YA KILIO !!!!
 
Engineering haitaki janja janja ,tangia hawa wapuuzi wa Boeing walipofanya figisu za kuua wale whistle blowers waliokuwa kwenye ile kesi ya Boeing kukiuka standard za uzalishaji wa hizo ndege , sijui ile kesi imefikia wapi , maana wale jamaa wengi wameuawa na hawa mamafia wa Boeing .
Boeing ni takataka kwa sasa ,kuna issues nyingi za kitaalamu na usalama kwa ndege wanazozalisha
Wapuuzi hawa
 
Engineering haitaki janja janja ,tangia hawa wapuuzi wa Boeing walipofanya figisu za kuua wale whistle blowers waliokuwa kwenye ile kesi ya Boeing kukiuka standard za uzalishaji wa hizo ndege , sijui ile kesi imefikia wapi , maana wale jamaa wengi wameuawa na hawa mamafia wa Boeing .
Boeing ni takataka kwa sasa ,kuna issues nyingi za kitaalamu na usalama kwa ndege wanazozalisha
Wapuuzi hawa
 
Engineering haitaki janja janja ,tangia hawa wapuuzi wa Boeing walipofanya figisu za kuua wale whistle blowers waliokuwa kwenye ile kesi ya Boeing kukiuka standard za uzalishaji wa hizo ndege , sijui ile kesi imefikia wapi , maana wale jamaa wengi wameuawa na hawa mamafia wa Boeing .
Boeing ni takataka kwa sasa ,kuna issues nyingi za kitaalamu na usalama kwa ndege wanazozalisha
Wapuuzi hawa
Tatizo unapokata tiketi hupewi uhuru wa kuchagua aina ya ndege. Unakuja kuona kwenye tiketi tu; Vessel: Bombardier Dash-8!
 
Sam
Aircraft are like flying fuel tanks with seats. Hakuna namna moto unaweza zuilika kwenye ajali za ndege. Kumbuka haya ni mafuta yanayoweza kufanya combustion huko juu futi 39000 ambapo hakuna oxygen kabisa,
Samahani,ndege zinatumia jet engine ambazo hufanya combustion kutegemea oxygen iliopo kny atmosphere ,hivyo haiwezi ruka kny altitude ya juu ambako amn oxygen,labda rockets ambazo zinabeba oxygen yake.
Aircraft are like flying fuel tanks with seats. Hakuna namna moto unaweza zuilika kwenye ajali za ndege. Kumbuka haya ni mafuta yanayoweza kufanya combustion huko juu futi 39000 ambapo hakuna oxygen kabisa,
 
Mkuu kuna jambo hapa, hii ni Boeing 737-800 nyingine iliteleza na kutoka nje ya runway chini ya saa 12 kabla ya hiyo ajali ya Korea, haikuwa habari kubwa kwa sababu haikuleta vifo

View attachment 3187574
Marekani anazibeba sana biashara zao hata kama kuna tatizo mfano yule aliekuwa mfanyakazi wa Boeing akatoa siri tatizo la ndege zao wakati wa matengenezo kesi ilifunguliwa mahakamani tangu mwaka jana ilipokaribia mwaka huu bado wiki 2 akatoe ushahidi mahamakani alikutwa amekufa kiutata.
Mfano wa pili mwezi huu tu FAA iliamuru rubani alipwe usd 2millions na kampuni ya usafiri wa anga sababu aligoma kurusha ndege kwakuwa aligundua tatizo kwenye mfumo wa magurudumu wakamuachisha kazi
 
Back
Top Bottom