Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nadhani bado wana Boeing pia. Ila Airbus kwa sasa ndo wanazo nyingi zaidi.Delta ambayo ni pure American airline sasa hivi wana all airbus fleet, hii ni ndani ya atlanta Usa,
Sisi wamatumbi tumeenda kujitwisha 737 mac licha ya kelel zote, hadi unashangaa.
Hapo sasa nimekuelewa. Asante.Hayo yote yanafanyika na upo sahihi kabisa Mzee wa kugegeda, ila yanasaidia kupunguza mwendo kisha break hua zipo zinazohusisha magurudumu ya ndege baada ya kugusa ardhi.
Wanasema kama sio hayo mambo kupunguza mwendo wa ndege, break peke yake zingeweza kusababisha moto kutokea kutokana na msuguano mkali au kuleta uharibifu mkubwa. Ndege inakua kwenye mwendo mkali sana hivyo kuhitaji mwendo kupunguzwa kabla break hazijatumika. Hii ni Kwa vile ndege inakua inaserereka kupitia magurudumu ambayo ili kusimama, yanahitaji break.
Mfano umewahi kujiuliza ndege ikitaka kuruka, pale inapoelekea kwenye Ile njia ya kuondokea si hua inasimama kusubiria maelekezo ya kuondoka kutoka chumba Cha kuongozea ndege?
Pale inaposimama hua ni break zinafanya kazi na sio reverse thrust.
Nafikiri umenielewa Mkuu.
NIMEPANDA BOEINGI 737 - 800,NIWE MKWELI HIZI NDEGE SIO SALAMA.Mkuu kuna jambo hapa, hii ni Boeing 737-800 nyingine iliteleza na kutoka nje ya runway chini ya saa 12 kabla ya hiyo ajali ya Korea, haikuwa habari kubwa kwa sababu haikuleta vifo
View attachment 3187574
AKILI GANI HIZI!Hapa watu wanalaumu tu kampuni ya Boeing wabongo kila kitu wanajua subirin uchunguz pia ndege za Boeing n nying dunian na ajali zake lazima ziwe nying
Kuipanda tu ukajua sio salama! Ni kitu gani kimekufanya ufikie hitimisho kwamba sio salama just kwa kuipanda?NIMEPANDA BOEINGI 737 - 800,NIWE MKWELI HIZI NDEGE SIO SALAMA.
MAdhali kuna video. Ok , mara ungalisikia " alionekana jamaa mmoja kavaa kanzu na kofia akiongea kama kiarabu", wengine wangalikuja na " ilionekana ndege inayofanana na Urusi ikipita ju yake". Lkn jamaa wa propaganda hapa wamekwamaView attachment 3187464View attachment 3187465
View attachment 3187470
Takriban watu 167 wamefariki dunia baada ya ndege moja iliyokuwa imebeba abiria 181 na wafanyakazi 6 kuacha njia ya kurukia (runway) na kubomoa ukuta katika uwanja wa ndege nchini Korea Kusini.
Inasemekana watu wawili (2) wameokolewa kwenye ajali hiyo huku hali za watu wengine waliokuwemo katika ndege hiyo bado hazijajulikana.
Video za tukio hilo zimeonyesha ndege hiyo aina ya Boeing 737-800 ikiserereka kwa kasi katika njia yake, kabla ya kugonga ukuta na kuwaka moto.
Ajali hiyo imetokea leo saa tatu asubuhi nchini Korea ya Kusini.
=====================================================
A passenger plane burst into flames Sunday after it skid off a runway at a South Korea airport and slammed into a concrete fence when its front landing gear apparently failed to deploy, killing at least 47 people, officials said.
The National Fire Agency said the fire was almost put out but officials were still trying to pull people from the Jeju Air passenger plane carrying 181 people at the airport in the southern town of Muan.
At least 47 people had died in the fire, the agency said. Emergency workers pulled out two people — one passenger and one crew member. It said it deployed 32 fire trucks and several helicopters to contain the fire.
Footage of the crash aired by YTN television showed the Jeju Air plane skidding across the airstrip, apparently with its landing gear still closed, and colliding head-on with a concrete wall on the outskirts of the facility. The transport ministry said the incident happened at 9:03 a.m. local time.
Emergency officials in Muan said they were examining the cause of the fire. They said the plane's landing gear appeared to have malfunctioned. The transport ministry said the plane was returning from Bangkok and its passengers include two Thai nationals.
Local TV stations aired footage showing thick pillows of black smoke billowing from the plane engulfed with flame.
The incident came as South Korea is embroiled into a huge political crisis triggered by President Yoon Suk Yeol’s stunning imposition of martial law and ensuing impeachment. Last Friday, South Korean lawmakers impeached acting President Han Duck-soo and suspended his duties, making Deputy Prime Minister Choi Sang-mok to take over.
Source: CTV News
Poleni Sana
Afadhali Airbus...Engineering haitaki janja janja ,tangia hawa wapuuzi wa Boeing walipofanya figisu za kuua wale whistle blowers waliokuwa kwenye ile kesi ya Boeing kukiuka standard za uzalishaji wa hizo ndege , sijui ile kesi imefikia wapi , maana wale jamaa wengi wameuawa na hawa mamafia wa Boeing .
Boeing ni takataka kwa sasa ,kuna issues nyingi za kitaalamu na usalama kwa ndege wanazozalisha
Wapuuzi hawa
Nchi kama hizo ndipo utaona professionals wako field wakichunguza na kufanya mambo ya kitaalamu.Ajali hiyo ni kubwa sana hapo hukuti wanasiasa wala wasiohusika kwenye eneo la tukio kama wanavyofanya Tanganyika.
Kumbe mbali na kuwaza nyapu sometimes unakuwaga na akili sio kama Poor BrainSawa inatomea tofauti ya wao ni kwamba hutawasikia wakisema "mipango ya mungu au siku zoa zimefika"
Utaona wale jamaa wa ntsb wametua hapo wanaanza kujiuliza mswali what caused this and wat can we learn from it?
Africa wabinafsi sana, tunawaza mno madaraka.Nchi kama hizo ndipo utaona professionals wako field wakichunguza na kufanya mambo ya kitaalamu.
Kwetu ungeona wana saisa wana amrisha wataalam kufanya kazi yao
Tuna safari ndefu
Structure na design of civilian airplanes si rahisi kuzuia moto.Ina maana mafuta ya ndege huwa ni rahisi kushika moto na yamekaa sehemu nyingi za ndege? Kwa sababu, asilimia kubwa ya ajali ya ndege inayohusisha kujibamiza sehemu ikitokea lazima iwake moto. Mfano hiyo imegonga mbele lakini imewaka moto!
Wakipata ufumbuzi wa kuzua moto kwenye ajali ya ndege watakuwa wananusuru maisha ya abiria kwa sababu kinachowaua abiria kwenye ajali ya ndege huwa ni moto naona
NINA SABABU,SIO KWA KUPANDA TU.Kuipanda tu ukajua sio salama! Ni kitu gani kimekufanya ufikie hitimisho kwamba sio salama just kwa kuipanda?
Si kirahisi hivyo, mbali na civilian airplanes, bado boeing wana tender za majeshi na mambo mengine. Itachukua time sanaKampuni ya Boeing inaweza kuwa ndo mwanzo wa mwisho wake, tayari makampuni mengi ya usafirishaji wame cancel order za kununua boeing na kwemda kununua airbus, hizi ajali ndoz zinazidi kubomoa reputation ya boeing
Si kirahisi hivyo, mbali na civilian airplanes, bado boeing wana tender za majeshi na mambo mengine. Itachukua time sanaKampuni ya Boeing inaweza kuwa ndo mwanzo wa mwisho wake, tayari makampuni mengi ya usafirishaji wame cancel order za kununua boeing na kwemda kununua airbus, hizi ajali ndoz zinazidi kubomoa reputation ya boeing
Amejenga hoja kutumia principle za statistics.AKILI GANI HIZI!
ZIKIWA NYINGI AJALI NI NYINGI?