Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
tunaendelea kuwasihi mzingatie M3 ambazo ni Miguu, Mikono na Mdomo; Miguu; kukaa umbali wa Mita 1-2 kati ya mtu na mtu na kuepuka misongamano, Mikono; kunawa mikono na sabuni kwa maji tiririka na Mdomo; kuepuka kugusa Mdomo, Pua na Macho na kuvaa Barakoa. Zitto Kabwe
lakini tunapokuwa na serikali kaidi, ambayo tayari imeshaamua kwamba tuendelee kuishi na korona kama tunavyoishi na UKIMWI, bila kuwa na jitihada za dhati; serikali ambayo haiamini kabisa kwenye sayansi, na imeamua kufunga maabara ya kupimia korona kama ndio njia ya kupambana na ugonjwa huu; Serikali ambayo kwao, suala la korona ni jambo linaloshughulikiwa na vyombo vya ulinzi na usalama badala ya wataalam wa afya; sisi kama viongozi mbadala tunabaki na maswali mengi bila majibu. Zitto Kabwe
Una mhitaji wewe na familia yako ambaye unategemea kwa shemeji yakoMagufuli ni changer kwenye kila eneo.
Watanzania tunamhitaji kwa miaka 50 ijayo
Wapinzani wote say yeeeeiiiiyeeeee
Hii nchi inaliwa kimya kimya mzee.Serikali inaweza kutuficha Watanzania kuhusu mikopo ya ajabu ajabu lakini haiwezi kuwaficha mabeberu..wamewaumbua Hadi wanaomba radhi..
Kumbe BOT kupunguza riba kwa mabenki ni sharti moja wapo la mkopo toka Benk ya Dunia..
Nilitaka nishangae hii serikali toka lini ikawa na huruma na Watanzania kiasi hicho.?
This is a monetary issue. Yet a fiscal issue in offing: T.Shs. devaluation!Serikali inaweza kutuficha Watanzania kuhusu mikopo ya ajabu ajabu lakini haiwezi kuwaficha mabeberu..wamewaumbua Hadi wanaomba radhi..
Kumbe BOT kupunguza riba kwa mabenki ni sharti moja wapo la mkopo toka Benk ya Dunia..
Nilitaka nishangae hii serikali toka lini ikawa na huruma na Watanzania kiasi hicho.?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣"Serikali ya Magufuli kutumia mtindo wa 'Herd Immunity' kudhibiti Corona, ina maana 3% ya Watanzania wote (sawa na idadi ya watu wa mkoa wa Njombe) WATAKUFA. ACT wazalendo hatutaruhusu Watanzania wenzetu wafe kwa makusudi ya Serikali." Zitto Kabwe
Fuatilia Live #LIVE: ZITTO KABWE ANAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI View attachment 1455605
Sent using Jamii Forums mobile app