Korona: Watanzania Tujilinde, Serikali inajali Uchumi kuliko Uhai wenu - Zitto

 
Zito ahangaike na watu wa kigoma aache longo longo, kwani wanaposema chukua tahadhali wanamaanisha nni?, ukimwi upo tuanambiwa tuchukue tahadhali, hivyo ukiwa na akili ukienda chumbani kwa uharifu wako hapo mdo akiri zitatumika, hivyo hata corona ukitoka nyumbani ukijuwa unaenda kukutana na watu hivyo tumia akiri kama ulivyoambiwa.
 
 
Magufuli ni changer kwenye kila eneo.

Watanzania tunamhitaji kwa miaka 50 ijayo

Wapinzani wote say yeeeeiiiiyeeeee
 
Hii nchi inaliwa kimya kimya mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is a monetary issue. Yet a fiscal issue in offing: T.Shs. devaluation!
 
Sasa Mh. Zitto, kama Serikali itaamua kuwajali wananchi tu pasipo kuimarisha na hizo shughuli za uchumi, maisha yataendeleaje sasa na hata baada ya hiyo Corona kuisha?

Mfano umetolea takwimu za hasara iliyotokea kwenye sekta ya utalii, bado kuna walimu wa baadhi ya shule za binafsi hawana mshahara kwa miezi za ya miwili sasa kwa sababu ya hiyo Corona! Sasa Serikali isipochukua hatua ya kuyarudisha maisha ya Watanzania katika hali yake ya kawaida, huoni itashindwa kukusanya kodi na tutapoteana zaidi humu nchini?

Naungana na wewe kuendelea kukumbushana kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga dhidi ya hivi virus vya Corona! Lakini ni lazima tutambue huu ugonjwa haujaisha, na hivyo tutafute tu namna nyingine ya kupambana nao huku maisha yetu ya kila siku yakiendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…