Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Hapana...Once it's gone out of your body it's gone
Magufuli ni mkombozi wa hili taifa na mwezi wa kumi anamkabidhi kijiti Mh Membe ili aendeleze alipoishiaUna mhitaji wewe na familia yako ambaye unategemea kwa shemeji yako
Amekukomboa wewe mkuu mi hajanikomboa nimekombolewa na damu ya YesuMagufuli ni mkombozi wa hili taifa na mwezi wa kumi anamkabidhi kijiti Mh Membe ili aendeleze alipoishia
Mkuu tatizo liko wapi ikiwa kwa hilo punguzo hata wewe mwenye mlengo wa kushoto utafaidika? Mimi nilidhani mabeberu yameshinikiza punguzo la riba ili yafaidike nyenyeweSerikali inaweza kutuficha Watanzania kuhusu mikopo ya ajabu ajabu lakini haiwezi kuwaficha mabeberu..wamewaumbua Hadi wanaomba radhi..
Kumbe BOT kupunguza riba kwa mabenki ni sharti moja wapo la mkopo toka Benk ya Dunia..
Nilitaka nishangae hii serikali toka lini ikawa na huruma na Watanzania kiasi hicho.?
Mkuu uchumi tunaweza kuujenga tena Ila hatuwezi kumrudisha mzee mahigaSasa Mh. Zitto, kama Serikali itaamua kuwajali wananchi tu pasipo kuimarisha na hizo shughuli za uchumi, maisha yataendeleaje sasa na hata baada ya hiyo Corona kuisha?
Mfano umetolea takwimu za hasara iliyotokea kwenye sekta ya utalii, bado kuna walimu wa baadhi ya shule za binafsi hawana mshahara kwa miezi za ya miwili sasa kwa sababu ya hiyo Corona! Sasa Serikali isipochukua hatua ya kuyarudisha maisha ya Watanzania katika hali yake ya kawaida, huoni itashindwa kukusanya kodi na tutapoteana zaidi humu nchini?...
Sasa ukishakufa maisha ndio yanaendeleaje hapo?Sisi tumeachagua kufa ,kila mtu atakufa kikubwa maisha lazima yaendelee. Tukutane jumapili samaki samaki
Tusisahau barakoa, kuosha mikono kwa maji na sabuni
It is never too late to begin. Start now
Wenzako kichwan wana akili na ubongo wewe ni kifaa cha kusikilia macho na masikio yasidondokeIf you believe you are not safe under current government measures to combat the spread of CORONA Virus, and thus the pandemic COVID-19, why don't you relocate to a safe country of your choice.
Yawezekana umepoteza mwanafamilia, ndugu au rafiki, nikupe pole na kuwaombea roho zao zilazwe pema peponi. Hivyo si vizuri ukaungana nao mapema kabla hujsmajiandaa, ndiyo maana umeanfika kwa uchungu sana.
Tanzania ni salama hadi sasa, maisha yakiendelea kama kawaida vijijini, mijini na hata kwenye makazi ya watu wengi.
Sayansi ya kutu inasaidia nini kwenye magonjwa?Huyo tushamzoea ni mwongo
Huyu zito amesoma kiswahili angejikita kwenye vishazi huru kuendeleza lugha yetu
mambo ya sayansi awaachie kina Magufuli wanaoweza kujenga hoja kisayansi dunia ikasimama
Nithobitishie haya nikuamini;Huyu ni wa kupuuza tu
Kutoka kuokota maiti barabarani
Watu kupukutika Dar...
"Serikali ya Magufuli kutumia mtindo wa 'Herd Immunity' kudhibiti Corona, ina maana 3% ya Watanzania wote (sawa na idadi ya watu wa mkoa wa Njombe) WATAKUFA. ACT wazalendo hatutaruhusu Watanzania wenzetu wafe kwa makusudi ya Serikali." Zitto Kabwe
Fuatilia Live #LIVE: ZITTO KABWE ANAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI View attachment 1455605
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona haijaisha na haitaisha.
Lakini nakuhakikishia hatutafika huko, virus tutamzoea na tutaishi naye kama Mende tu.
Eti watu idadi ya Njombe watakufa, yaani wafe watu laki saba (700,000+) Tanzania mara tatu ya fatalities ya dunia nzima hadi sasa.
Tuwe wakweli, that won't and will never happen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweli mkuu.Huyo tushamzoea ni mwongo
Huyu zito amesoma kiswahili angejikita kwenye vishazi huru kuendeleza lugha yetu
mambo ya sayansi awaachie kina Magufuli wanaoweza kujenga hoja kisayansi dunia ikasimama
Magufuli mwenyewe hajatumia science kwenye hili.
Its more of politics na imani.
No offense huwa nampinga zitto kwa mambo mengi sana. Lakin kwenye heard immunity ni kweli.
Incase hujui jinsi herd immunity inavyo function. Lazima 60% waugue.. ili 40% wabaki.
Lakin kwenye hao 60% nusu yao wanauwezekano wa kupona.. nusu nyingine wanaweza kwenda na maji.
Ni scientific proved .
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar polpolation ni zaidi ya 6,000,000/ Arusha 1.5 m MZA zaidi ya 2 m....Ukiacha Dar hakuna mkoa wowote wenye watu zaidi ya laki 500,000. Iyo 7k ya njombe ni kokoto au nn. No research not right to speak. Weka facts not theories maana hata population tu umetupotosha. It's not that easy na pia nchi zote zitajirudi na kufanya tunachokifanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ukishakufa maisha ndio yanaendeleaje hapo?
Hii kitu ni controversial sana ngoja tuone mwisho wataconclude vipiThe jury is still out on this.
Kuna taarifa kuwa kuna watu wamekuwa infected tena baada ya kupona lakini hamna uhakika kama kipimo cha kwanza kilikuwa sahihi. Kwa mantiki hiyo hamna mtu anayejua kama mtu anaepona COVID 19 anapata immunity.
Amandla...