Chama kina force attention, afadhali wangempa Roma mwanakulitekwa watavuma kuliko Kiki ya slaa yenye kejeli n usaliti³🤣🤣🤣🤣. Ny tumezoea, nyote ni wale wale tuHili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Hata Lowasa alirudi CCM, hakuna kosa hapoHili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Hata Lowasa alirudi CCM, hakuna kosa hapoHili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Nafikiri labda kwa umri wake, atabaki kuwa mshauri tu!, sidhani hata yeye km anafikiria tena uongozi! Japo kwenye siasa kuna mambo! 😄Huyu kama kurudi arudi hakuna shida ila asipewe nafasi ya uongozi abaki kuwa mwanachama wa kawaida tu. Wakirogwa kumpa nafasi atakuja kuwafanya kitu mbaya zaidi.
Mnapotoana chawa ndiyo stori zenu kuongopeana tu. Gari limeshawaka hili hamuwezi kuzuia mafuriko kwa mikonoMbowe ni jasusi na Slaa ni jasusi sasa majasusi ya ccm yaliopo Chadema lazima yawe pamoja ili kukipeleka chama wakitakavyo.
Una akili za kike na roho yako mbaya, hakuna uadui duniani ... Dr. karibu kwa mikono miwili maana Lowasa hajatusaidia kwa loloteHili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.