Kosa ambalo Mbowe analifanya katika siasa ni kumrudisha CHADEMA Dkt. Slaa

Kosa ambalo Mbowe analifanya katika siasa ni kumrudisha CHADEMA Dkt. Slaa

Tanzania iliwahi kuwa na uadui mkali na Gadaffi wa Libya kwenye vita ya Kagera maana askari wetu waliuwawa na askari wa Libya na Walibya waliuawa na kutekwa na Tanzania. Lakini baadae tukawa marafiki na misaada yake tukapokea na waislamu sasa hivi wanaswali misikiti mingi aliyojenga Gadaffi hapa kwetu.
Siasa haina ugomvi wa ukewenza usio isha, welcome home Dr Slaa ila cheo hupati utakuwa mshauri mzee kama Dr.Waitama

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.

Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.

Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.

Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.

Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.

Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.

Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
RIWAYA SURA YA PILI : HARAKATI ZA MBOWE MRAMBA ASALI NA CHUPA YAKE YA KONYAGI.
 
Huyu kama kurudi arudi hakuna shida ila asipewe nafasi ya uongozi abaki kuwa mwanachama wa kawaida tu. Wakirogwa kumpa nafasi atakuja kuwafanya kitu mbaya zaidi.
Huyo ndiyo anastaili kuwa mgombea wa urais hakuna yoyote ndani ya chadema ambaye anaweza kukubalika na wazalendo waliopo ccm na chadema na mitaani zaidi ya slaa
 
Mimi sioni tatizo kwa Dk.Slaa kurudi nyumbani!
Arudi tu!
 
Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.

Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.

Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.

Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.

Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.

Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.

Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Siasa haina Adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu, hasa siasa za bongo
 
Back
Top Bottom