Kosa ambalo Mbowe analifanya katika siasa ni kumrudisha CHADEMA Dkt. Slaa

Kosa ambalo Mbowe analifanya katika siasa ni kumrudisha CHADEMA Dkt. Slaa

Kwa kweli hata mimi sioni umuhimu wa kumrudisha Slaa.
Ingekuwa vyema kusema tu hadharani kwamba hakuna uadui, wako vizuri ila sio kumrudisha katika operations za chama.

Huyo Slaa mwenyewe nimemuona kwenye maandamano jana huko Mbeya kachoka, apumzike.
Kwani nani ana mission ya kumrudisha Slaa?
 
Chama kina force attention, afadhali wangempa Roma mwanakulitekwa watavuma kuliko Kiki ya slaa yenye kejeli n usaliti³🤣🤣🤣🤣. Ny tumezoea, nyote ni wale wale tu
Chama cha machawa attention iko kwa jambazi sugu Daudi Albert Bashite aka zero
 
Unaposema tangu siku ni mwenyekiti wengine watakuja na hoja kwanini tangu siku hizo ni chama hicho hicho tu? Utajibu vipi
tofauti ya vyama vilivyopo hapa Tanzania, hivyo kadhaa vinavyosema ni vikuu, vina udini kidogo ndani yake, hilo hatuhitaji kubishana. ila kimoja ambacho ni sisiemu, hakina udini ila ni majambazi makubwa sana. sasa sijui hapo tuchague yupi, ila bora jambazi kuliko mdini. dini maeneo yote imeleta mgawanyiko mkubwa sana kwa raia.
 
Makonda mpaka baba wa dunia kamtaja muuaji na Lissu anamsema Makonda ni muuaji mbona kapewa usemaji wa CCM.
 
CHADEMA hadi sasa hakuna candidate mwenye sifa wala dalili za kugombea urais, lazima tu wawaze kuokoteza kama kawaida yao.
Kwa vile mumeo alikuokota kwenye vilabu vya mataputapu hivyo unawaza kuokoteza tu.
 
Kwani kuna ugomvi?.siasa sio uadui.Anatoka huyu anaingia huyu.Cha msingi wafwate itikadi za chama.akiwa na makando kando anawekwa pembeni au anajiweka mwenyewe.hiyo ni kanuni ya asili.watu wasioendana hawawezi kwenda pamoja.Tuupe muda uamue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Slaa na Mwabukusi ni Majembe yanatufaa sana CHADEMA.✌️
 
DR slaa ni asset kubwa sana, lakini kwa bahati mbaya, asset yenye mgongo wa TEC. sipendi udini ila ipo wazi, ndio maana uliona mara tu alipowekwa rumande mbeya na kupewa kesi ya kunyongwa, alipewa dhamana kwa kesi isiyodhaminika na ikaishia hapohapo mara tu baada ya TEC sasa kutoa makucha yao wakionyesha wazi wapo pamojana dr. slaa. mbowe anajulikana, ni lutheran ya Dr. Shoo (askofu mstaafu). mkiambiwa kuna siasa za udini tuwe tunakubaliana na tatizo na tuangalie namna ya kulitatua. ndio maana haiji kichwani mbowe miaka yote ni mwenyekiti na hakuna la kumfanya kwasababu kajikita kweney mizizi fulani ya aina hiyo, umegombana naye umegombana na lutheran, hata dr. slaa hivyo hivyo. upande ule kuna Lipumba, na zitto, na wengine wa kule zenji, hawawazi chochote ila udini. hata hivyo hatushangai, hata marekani evangelicals siku zote wamekuwa upande wa Trump, ila wakatoliki wengi wapo na democrats. tupinge udini.
Hunaga akili wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tofauti ya vyama vilivyopo hapa Tanzania, hivyo kadhaa vinavyosema ni vikuu, vina udini kidogo ndani yake, hilo hatuhitaji kubishana. ila kimoja ambacho ni sisiemu, hakina udini ila ni majambazi makubwa sana. sasa sijui hapo tuchague yupi, ila bora jambazi kuliko mdini. dini maeneo yote imeleta mgawanyiko mkubwa sana kwa raia.
Umesoma kitabu cha prof Hamza Njozi?
 
Slaa huyo hapo anzeni kumnadi, amekuja kimkakati..... uchaguzi ukifika anawavuruga tena anasepa.
Huyu ana chama chake na Mwabukusi kama anataka kurudi hakatazwi lakini awe mwanachama wa kawaida tu. Mtaji wa chama chochote ni wanachama.
 
Afanye makosa mangapi ndio mjue Mbowe alishapotea? Mbowe alishafanya kosa kubwa sana la kihistoria alipompokea Lowasa, wakameza matapishi yao na kuanza kumsafisha na shutuma walizokua wakimtuhumu miaka yote akiwa ccm.
Hili ninkosa ambao Mbowe and the company hawatakuja weza kuli undo. Hili ni doa halitakaa litakasike mpaka siku anaingia kaburini.

Haya yote anayofanya Mbowe na Chadema ni cimenas tu za ku survive kusogeza siku mbele.

MBOWE ALREADY FAILED SOO LONG AGO. He is no more trustworthy.
 
Dr Slaa ni mzalendo wa kweli.

Aliondoka CHADEMA kwa sababu ya Chama kuteleza kwa kuleta mtu asiyefaa kugombea urais, akaona asishiriki dhambi hiyo kwa watanzania. Sasa hali imebadilika Mzee kaamua kuunganisha nguvu kuendeleza pale alipopaacha mwaka 2015.

Slaa ni kiongozi makini apewe uzee wa heshima wa chama asukume mbele gurudumu
Ule Ubalozi alizawadiwa kwajili gani au kwa kazi ipi? Tuna macho masikio na akili.
 
Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.

Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.

Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.

Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.

Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.

Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.

Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Ukiona WanaCCM wanatumia muda wao kuipa Chadema ushauri mbalimbali kwa nguvu ujue Chadema is doing very well
 
Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.

Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.

Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.

Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.

Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.

Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.

Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Si hasa haina adui wala rafiki wa kudumu, ni mazingira tu yanatengeneza rafiki au adui.
 
Chama kina force attention, afadhali wangempa Roma mwanakulitekwa watavuma kuliko Kiki ya slaa yenye kejeli n usaliti³🤣🤣🤣🤣. Ny tumezoea, nyote ni wale wale tu
Be serious man, yaan na ww off all people wampe roma? Roma ana profile gani nchi hii?
 
Back
Top Bottom