Kosa ambalo Mbowe analifanya katika siasa ni kumrudisha CHADEMA Dkt. Slaa

Kosa ambalo Mbowe analifanya katika siasa ni kumrudisha CHADEMA Dkt. Slaa

Msiwaamini wanasiasa hata hao wanaotukanwa covid 19 watawarudisha siku si nyingi
 
Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.

Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.

Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.

Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.

Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.

Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.

Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Mleta mada cjakuelewa. Dr Slaa amerudi Chadema?? Ameeleza kwa ufasaha kuwa yy ana taasisi yake na jina kaitaja ila anaiunga Chadema mkono. Nadhani wewe umeshindwa kuelewa
 
Mbona wapo wengi waliondoka CCM na wakarudi, wkapokelewa bila kelele? Mfano mzuri ni Lowasa. Ninachoona hapa inapaswa mtu anapohama chama arudishe mpaka kadi ya uanachama, kitu ambacho wengi hawafanyi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli hata mimi sioni umuhimu wa kumrudisha Slaa.
Ingekuwa vyema kusema tu hadharani kwamba hakuna uadui, wako vizuri ila sio kumrudisha katika operations za chama.

Huyo Slaa mwenyewe nimemuona kwenye maandamano jana huko Mbeya kachoka, apumzike.
Slaa ndiye mwanasiasa pekee aligoma kula matapishi yake.

Msimamo wa chadema ilikuwa LOWASSA ni fisadi papa.
Walimsema sana .

Alipohamia Chadema Slaa pekee alijiengua kuonyesha msimamo wake.

KAma tutahukumu kwa haki, Slaa ndiye mwanasiasa pekee anastahili heshima nchi hii.
 
Dr Slaa ni mzalendo wa kweli.

Aliondoka CHADEMA kwa sababu ya Chama kuteleza kwa kuleta mtu asiyefaa kugombea urais, akaona asishiriki dhambi hiyo kwa watanzania. Sasa hali imebadilika Mzee kaamua kuunganisha nguvu kuendeleza pale alipopaacha mwaka 2015.

Slaa ni kiongozi makini apewe uzee wa heshima wa chama asukume mbele gurudumu
Uzalendo au udini?
 
DR SLAA anaheshima kubwa ndani ya cdm.yy na mbowe hao ndyo waliofikisha cdm hapo.umaurufu wa dr slaa ndyo uliojenga cdm.ndyo mana hata siku moja wanasiasa kongwe ndani ya cdm km mbowe na mnyika hawawezi kumsema vibaya dr slaa.DR SLAA ATABAKI KUWA SHUJAA WA MABADILIKO NA MWENYE MSIMAMO MKALI USIOYUMBISHWA NA UPEPO
Kama basi hata jeshini hakuna msaliti
 
Slaa ndiye mwanasiasa pekee aligoma kula matapishi yake.

Msimamo wa chadema ilikuwa LOWASSA ni fisadi papa.
Walimsema sana .

Alipohamia Chadema Slaa pekee alijiengua kuonyesha msimamo wake.

KAma tutahukumu kwa haki, Slaa ndiye mwanasiasa pekee anastahili heshima nchi hii.
Umewahi kuwasikiliza wenzie wakiongelea hilo? Mathalan Lissu?

Tuache tu kuongelea, hukumuona katika picha kwenye kikao cha kumkaribisha Lowassa Chadema?

Slaa alitaka Lowassa akaribishwe Chadema lakini asipewe nafasi ya kugombea Urais (hili hata yeye mwenyewe alisema)

Pekee kilichomuondoa Chadema ni kukosa nafasi ya kugombea Urais ambayo alipewa Lowassa.
 
Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.

Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.

Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.

Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.

Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.

Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.

Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Mbona unawashtua tena? Ungekaa kimya tu ili zikifika siku za uchaguzi wazee wa geti jeusi pale Kijitonyama wanafanya yao.

Dr Slaa ni kama malaya wa Corner Bar tu, mbele ya hela hakatai dili
 
Sasa kama mnajua anafanya kosa kumrudisha, wasiwasi wenu ni nini wakati ccm itapata unafuu?
 
Pamoja na kwamba namkubali sana Dr. Slaa ila tamaa yake ya madaraka ndio inanikatisha tamaa.
 
Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.

Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.

Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.

Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.

Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.

Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.

Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
DR slaa ni asset kubwa sana, lakini kwa bahati mbaya, asset yenye mgongo wa TEC. sipendi udini ila ipo wazi, ndio maana uliona mara tu alipowekwa rumande mbeya na kupewa kesi ya kunyongwa, alipewa dhamana kwa kesi isiyodhaminika na ikaishia hapohapo mara tu baada ya TEC sasa kutoa makucha yao wakionyesha wazi wapo pamojana dr. slaa. mbowe anajulikana, ni lutheran ya Dr. Shoo (askofu mstaafu). mkiambiwa kuna siasa za udini tuwe tunakubaliana na tatizo na tuangalie namna ya kulitatua. ndio maana haiji kichwani mbowe miaka yote ni mwenyekiti na hakuna la kumfanya kwasababu kajikita kweney mizizi fulani ya aina hiyo, umegombana naye umegombana na lutheran, hata dr. slaa hivyo hivyo. upande ule kuna Lipumba, na zitto, na wengine wa kule zenji, hawawazi chochote ila udini. hata hivyo hatushangai, hata marekani evangelicals siku zote wamekuwa upande wa Trump, ila wakatoliki wengi wapo na democrats. tupinge udini.
 
DR slaa ni asset kubwa sana, lakini kwa bahati mbaya, asset yenye mgongo wa TEC. sipendi udini ila ipo wazi, ndio maana uliona mara tu alipowekwa rumande mbeya na kupewa kesi ya kunyongwa, alipewa dhamana kwa kesi isiyodhaminika na ikaishia hapohapo mara tu baada ya TEC sasa kutoa makucha yao wakionyesha wazi wapo pamojana dr. slaa. mbowe anajulikana, ni lutheran ya Dr. Shoo (askofu mstaafu). mkiambiwa kuna siasa za udini tuwe tunakubaliana na tatizo na tuangalie namna ya kulitatua. ndio maana haiji kichwani mbowe miaka yote ni mwenyekiti na hakuna la kumfanya kwasababu kajikita kweney mizizi fulani ya aina hiyo, umegombana naye umegombana na lutheran, hata dr. slaa hivyo hivyo. upande ule kuna Lipumba, na zitto, na wengine wa kule zenji, hawawazi chochote ila udini. hata hivyo hatushangai, hata marekani evangelicals siku zote wamekuwa upande wa Trump, ila wakatoliki wengi wapo na democrats. tupinge udini.
Unaposema tangu siku ni mwenyekiti wengine watakuja na hoja kwanini tangu siku hizo ni chama hicho hicho tu? Utajibu vipi
 
Wote hao ni vibaraka wa CCM, unayeteseka ni wewe.
 
Utaumia moyo ukifuatilia wanasiasa.

2016 Donald Trump alimtuhumu baba yake Ted Cruz kuwa alihusika kwenye assassination ya Rais John F. Kennedy na akasema mke wake (Cruz) ana sura mbaya lakini leo hii ni marafiki wakubwa...kwahiyo hata Slaa kurudi CDM sishangai..kama wanasamehe vitu kama hivyo jua tu Kuna 'maslahi' makubwa yanafuatiliwa.

Usiruhusu siasa iwagombanishe na jamaa zenu.
 
Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.

Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.

Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.

Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.

Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.

Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.

Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.

Weye kama si m CCM mnaturudisha sana nyuma:

Maandamano Mbeya, Mwanza umoja wetu umesikika

Umoja wetu, nguvu yetu.
 
CHADEMA hadi sasa hakuna candidate mwenye sifa wala dalili za kugombea urais, lazima tu wawaze kuokoteza kama kawaida yao.
 
Back
Top Bottom