Kwani nani ana mission ya kumrudisha Slaa?Kwa kweli hata mimi sioni umuhimu wa kumrudisha Slaa.
Ingekuwa vyema kusema tu hadharani kwamba hakuna uadui, wako vizuri ila sio kumrudisha katika operations za chama.
Huyo Slaa mwenyewe nimemuona kwenye maandamano jana huko Mbeya kachoka, apumzike.
Chama cha machawa attention iko kwa jambazi sugu Daudi Albert Bashite aka zeroChama kina force attention, afadhali wangempa Roma mwanakulitekwa watavuma kuliko Kiki ya slaa yenye kejeli n usaliti³🤣🤣🤣🤣. Ny tumezoea, nyote ni wale wale tu
tofauti ya vyama vilivyopo hapa Tanzania, hivyo kadhaa vinavyosema ni vikuu, vina udini kidogo ndani yake, hilo hatuhitaji kubishana. ila kimoja ambacho ni sisiemu, hakina udini ila ni majambazi makubwa sana. sasa sijui hapo tuchague yupi, ila bora jambazi kuliko mdini. dini maeneo yote imeleta mgawanyiko mkubwa sana kwa raia.Unaposema tangu siku ni mwenyekiti wengine watakuja na hoja kwanini tangu siku hizo ni chama hicho hicho tu? Utajibu vipi
Kwa vile mumeo alikuokota kwenye vilabu vya mataputapu hivyo unawaza kuokoteza tu.CHADEMA hadi sasa hakuna candidate mwenye sifa wala dalili za kugombea urais, lazima tu wawaze kuokoteza kama kawaida yao.
Hunaga akili wewe.DR slaa ni asset kubwa sana, lakini kwa bahati mbaya, asset yenye mgongo wa TEC. sipendi udini ila ipo wazi, ndio maana uliona mara tu alipowekwa rumande mbeya na kupewa kesi ya kunyongwa, alipewa dhamana kwa kesi isiyodhaminika na ikaishia hapohapo mara tu baada ya TEC sasa kutoa makucha yao wakionyesha wazi wapo pamojana dr. slaa. mbowe anajulikana, ni lutheran ya Dr. Shoo (askofu mstaafu). mkiambiwa kuna siasa za udini tuwe tunakubaliana na tatizo na tuangalie namna ya kulitatua. ndio maana haiji kichwani mbowe miaka yote ni mwenyekiti na hakuna la kumfanya kwasababu kajikita kweney mizizi fulani ya aina hiyo, umegombana naye umegombana na lutheran, hata dr. slaa hivyo hivyo. upande ule kuna Lipumba, na zitto, na wengine wa kule zenji, hawawazi chochote ila udini. hata hivyo hatushangai, hata marekani evangelicals siku zote wamekuwa upande wa Trump, ila wakatoliki wengi wapo na democrats. tupinge udini.
Slaa huyo hapo anzeni kumnadi, amekuja kimkakati..... uchaguzi ukifika anawavuruga tena anasepa.Kwa vile mumeo alikuokota kwenye vilabu vya mataputapu hivyo unawaza kuokoteza tu.
Umesoma kitabu cha prof Hamza Njozi?tofauti ya vyama vilivyopo hapa Tanzania, hivyo kadhaa vinavyosema ni vikuu, vina udini kidogo ndani yake, hilo hatuhitaji kubishana. ila kimoja ambacho ni sisiemu, hakina udini ila ni majambazi makubwa sana. sasa sijui hapo tuchague yupi, ila bora jambazi kuliko mdini. dini maeneo yote imeleta mgawanyiko mkubwa sana kwa raia.
Huyu ana chama chake na Mwabukusi kama anataka kurudi hakatazwi lakini awe mwanachama wa kawaida tu. Mtaji wa chama chochote ni wanachama.Slaa huyo hapo anzeni kumnadi, amekuja kimkakati..... uchaguzi ukifika anawavuruga tena anasepa.
Hakuna linalo shindikana chini ya jua !!Mbowe ni jasusi na Slaa ni jasusi sasa majasusi ya ccm yaliopo Chadema lazima yawe pamoja ili kukipeleka chama wakitakavyo.
Ule Ubalozi alizawadiwa kwajili gani au kwa kazi ipi? Tuna macho masikio na akili.Dr Slaa ni mzalendo wa kweli.
Aliondoka CHADEMA kwa sababu ya Chama kuteleza kwa kuleta mtu asiyefaa kugombea urais, akaona asishiriki dhambi hiyo kwa watanzania. Sasa hali imebadilika Mzee kaamua kuunganisha nguvu kuendeleza pale alipopaacha mwaka 2015.
Slaa ni kiongozi makini apewe uzee wa heshima wa chama asukume mbele gurudumu
Toka umuue Thadei Ole Mushi akili zimekuruka unabwabwaja tu kama unakaribia kumfuata marehemu.Chadema ni mbumbumbu
Slaaa vs Lissu
Ukiona WanaCCM wanatumia muda wao kuipa Chadema ushauri mbalimbali kwa nguvu ujue Chadema is doing very wellHili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Si hasa haina adui wala rafiki wa kudumu, ni mazingira tu yanatengeneza rafiki au adui.Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Be serious man, yaan na ww off all people wampe roma? Roma ana profile gani nchi hii?Chama kina force attention, afadhali wangempa Roma mwanakulitekwa watavuma kuliko Kiki ya slaa yenye kejeli n usaliti³🤣🤣🤣🤣. Ny tumezoea, nyote ni wale wale tu