RIWAYA SURA YA PILI : HARAKATI ZA MBOWE MRAMBA ASALI NA CHUPA YAKE YA KONYAGI.Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Huyo ndiyo anastaili kuwa mgombea wa urais hakuna yoyote ndani ya chadema ambaye anaweza kukubalika na wazalendo waliopo ccm na chadema na mitaani zaidi ya slaaHuyu kama kurudi arudi hakuna shida ila asipewe nafasi ya uongozi abaki kuwa mwanachama wa kawaida tu. Wakirogwa kumpa nafasi atakuja kuwafanya kitu mbaya zaidi.
Kwani nani kakwambia kuwa ukiwa chama tofauti na kinachotawala huna haki ya kutumikia nchiUle Ubalozi alizawadiwa kwajili gani au kwa kazi ipi? Tuna macho masikio na akili.
Wewe wasemaHuyo ndiyo anastaili kuwa mgombea wa urais hakuna yoyote ndani ya chadema ambaye anaweza kukubalika na wazalendo waliopo ccm na chadema na mitaani zaidi ya slaa
Siasa haina Adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu, hasa siasa za bongoHili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Hadi wewe ni jasusi hongera kuwajua majasusi wenzakoMbowe ni jasusi na Slaa ni jasusi sasa majasusi ya ccm yaliopo Chadema lazima yawe pamoja ili kukipeleka chama wakitakavyo.