Kosa gani unalijutia hadi leo?

sijui sijakuelewa au ni mitungi sioni ulichokiandika naomba fupisha muandiko dada
 
Mungu atafungua njia tu siku moja
 
Daah hii ndo unaishi na Adui ndan

Ukute nyota zenu haziendan ukute wewe ni asili yako ni moto na yeye asili yake ni maji kwahyo mnazimanaaaa
 
Huyu mke haponi, haoni siku zake sijui nifanye nn, kumuacha nashindwa maana ndiye anayelea mtoto wangu wa kwanzaπŸ₯ΊπŸ€”πŸ™‡πŸΏβ€β™‚
 
Kutokufahamu mapema maana halisi ya watu.
 
Mkuu hii issue ilinikuta mimi kama hivi

Niliamua lolote iwe niliachana na mwanamke yule kwa kugawana mali
Leo hii naishi poa namke mwingine plus mtoto, just imagine ni 1 year na 7 months tu kila kitu kinaenda safi
 
pole sana mkuu lakini bado una option ya kumwacha uyuo mwanamke kwa kuwa huna mtoto naye
Kwanini amuache,ilhali anamlelea watoto,yeye akomae watatue tatizo hilo.
Siyo fair kabisa kumuacha mtu kisa ana tatizo ambalo yeye mwenyewe hakulisababisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…