Kosa kubwa la Malecela wa NIMR: Rais kaona mbali athari za ZIKA

Kwahiyo kosa lake kusema ukweli? Ndiyo Maana mwenye kigoda wa kituo fulani alilsambaza madawa ya ukimwi fake watu wakafwa vibwaya lakini kwa kuwa ni mwenzetu no problem? One very good day ukweli na haki ya Mr God itajitokeza hadharani tu
 
Chifu, si useme tu! Kwa hiyo NIMR inawajibika kwa WHO pia? Na je, hilo lipo kwenye sekta ya afya tu?

..hivi mpaka huyu mama anatangaza matokeo ya huo utafiti serikali na vyombo vyake walikuwa hawana hizo habari?

..kwenye thread nyingine hapa JF wanadai utafiti huo umeshatolewa ktk moja ya scientific journal huko nje.

..ikulu, wizara ya afya, na nimr, hawajawahi kukaa pamoja na kupanga mkakati wa ku deal na suala hili baada ya kupata matokeo ya utafiti?
 

onyo haiwezekani??
 
Kama kila tafiti lazima zipitie ofisi za wakubwa basi tafiti nyingi nzuri hatutazisikia kamwe!!
Uelewa ndiyo tatizo. NIMR ni idara au taasisi ya selikari. Kwa hiyo mmiliki ni selikari. Wewe utumwe na mtu nifanyie kazi hii na ukishafanya wewe huyo huyo mbio kwa waandishi wa habari kutangaza kabla ya kumpa mrejesho aliekutuma. Ni sahihi?
 
Mkuu wamajeshi hatangazi vita hata siku moja. Ni kazi ya Rais ambaye Ni amir jeshi.
Mwele Ni mtaka sika. Ngazi aliyofikia na muda aliokaa kwenye nafasi yake, aliases kujua hayo. Kama hakujua, hakustahili nafasi hiyo.
Uamuzi wa kumtungua Ni sahihi kabisa.

Lakini tusisahau : Free MaxenceMelo at once!
 
Comment yako ya mwisho imenifanya nicheke.
 

Tena ni ushamba wa kiwango cha lami. Sasa kama Dr. Mwele Malecela anasema kuwepo kwa Zika ni kwa mujibu wa utafiti; halafu wao serikali mara wanasema Zika haipo mara tena waseme Zika ipo ila imedhibitiwa. Halafu wanakuja na sababu nyingine ya kipuuzi eti kutangaza Zika kuwepo kunahatarisha uchumi etc. Yaani ina maana hawaelewi kwamba afya ni muhimu zaidi ya uchumi. Upuuzi mtupu.
 
Hv huyu Dr. Mwele alikuwa hafahamu taratibu au kimemkuta nn? au jinamizi limeikuta familia hii. Kwani angekaa kimya ingekuwaje
Binti wa kigogo alijisahau kidogo. Teheheheheeeee. Si unafahamu aligombea Urahisi? Alidhani ndo keshakuwa so anaweza fanya hayo alofanya.
 
hakuna kosa lolote alilofanya zaidi ya kudidimiza ubunivu na kujituma kwa wafanyakazi wetu , na hii si dalili njema kwa watendaji wa serikali
Lumumba naona leo umeamua kuweka ushabiki pembeni na kuamua kuongea point
 
watalii sual la uwepo wa virusi Tz walilijua zamanii, sisi tu ndiyo tulikuwa gizani. kumtumbua Mwele ndiyo wamechochea moto, kila sehemu wanaongelea zika.
 
Kwahiyo kumbe hata afya zetu watu wanazifanyia Siasa na Propaganda.????? Kwani Japani, Brazili, china wanavyo tangazaga hawajui adhari zake kiuchumi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…