Doji MD
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 1,770
- 3,552
hiyo hapoHakuna mwenye script ya ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo hapoHakuna mwenye script ya ndoa
Unamaanisha tunaoana tukiamini ni njia ya kukwrpa dhambi ya uzinzi...eeh! Umenikumbusha mbali sana hata Mimi niliambiwa hivyo MkuuVijana wa sasa wanaoa kwa sababu wanaamini hapo ndo hawazini, Ili kutimiza matakwa ya dini, Ili asionekane muhuni, ili afuliwe na kupikiwa, Ili akipate kidubwasha muda wowote akitaka.
Ndiyo, ila ukichunguza bado walio kwenye ndoa waweza kukuta wanazini bado.Unamaanisha tunaoana tukiamini ni njia ya kukwrpa dhambi ya uzinzi...eeh! Umenikumbusha mbali sana hata Mimi niliambiwa hivyo Mkuu
Daaah...tunaingia mahali pagumu kilaini sana aiseeNdiyo, ila ukichunguza bado walio kwenye ndoa waweza kukuta wanazini bado.
Thanks nilikua natafuta hii mambo.hiyo hapo
Tunaingia ndoani kibubusa sana ndugu, unaweza kumkuta mtu mpaka kupata shahada yake ya kwanza ya fani yake ametumia zaidi ya miaka 22 halafu anaingia kwenye ndoa bila kujifunza chochote ila anajua kabisa anakwenda kuingia kwenye mkataba wa kuwekezeana maisha....this is more than risk...Ndoa za cku hzi hakuna anayetakaa kuonekana mnyonge c mwanaume Wala mwamke ...
KATAA NDOA
Na inawatafunaa wengi Sanaa kwakweliii,c Kwa vijana Wala wazeee na mkombozi hakuna..Tunaingia ndoani kibubusa sana ndugu, unaweza kumkuta mtu mpaka kupata shahada yake ya kwanza ya fani yake ametumia zaidi ya miaka 22 halafu anaingia kwenye ndoa bila kujifunza chochote ila anajua kabisa anakwenda kuingia kwenye mkataba wa kuwekezeana maisha....this is more than risk...
Kila mtu mwamba 50% 50% utaniambia nini?....kazi sanaNdoa za cku hzi hakuna anayetakaa kuonekana mnyonge c mwanaume Wala mwamke ...
KATAA NDOA
Hapo kwenye "kataa ndoa" duuuuh....unaua mkuuNa inawatafunaa wengi Sanaa kwakweliii,c Kwa vijana Wala wazeee na mkombozi hakuna..
Kata ndoa
Ukimzingua anakwambia TUACHANE [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kila mtu mwamba 50% 50% utaniambia nini?....kazi sana
Hapo ndipo kwenye kaziUkimzingua anakwambia TUACHANE [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ss hapo uchaguee ww mkuu [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787]Hapo kwenye "kataa ndoa" duuuuh....unaua mkuu
Hakuna kazi mkuu [emoji23][emoji23]Hapo ndipo kwenye kazi
Ila at least ukiingia na hints angalau Mkubwa.Yote haya tunayapitia sababu ya kukosa kukaa kwenye nafasi zetu ndani ya ndoa tukiliweza hili nauwakika ndoa nyingi zitasurvive pia tupunguze ujuaji kikubwa hakuna formula kule
Ila zilitoa hints Kwa wanawake na wanaume kabla ya ndoa siyo la kicheni pati za kisasa wapeana mabakuli.Huko kwenye jando na unyago ndo kuna mila kandamizi ambazo kwa dunia ya sasa hazivumiliki.
Hizo hints zilifaa kwenye ndoa za kizamani ambapo watu walikuwa hawajaelimika na kutambua haki zao.Ila zilitoa hints Kwa wanawake na wanaume kabla ya ndoa siyo la kicheni pati za kisasa wapeana mabakuli.