Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Ndio ukimshadaka sasa utafanyaje?
Kwa nini umdake?
Unamfuatilia Mumeo?
Mbona Sisi wanaume hatuwafuatilii ninyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukimshadaka sasa utafanyaje?
Mama Aliniambia
"Tafuta Mwanamke ambaye ukiwa na matatizo atamkimbilia MUNGU na sio kuwakimbilia Wanaume wengine".
[emoji1549]
Haturuhusiwi kuwafatilia? Anyway mada ni nzuri mwenye kuelewa na aelewe.Kwa nini umdake?
Unamfuatilia Mumeo?
Mbona Sisi wanaume hatuwafuatilii ninyi
Haturuhusiwi kuwafatilia? Anyway mada ni nzuri mwenye kuelewa na aelewe.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Tuna haki sawa na wanawake isipokuwa hawaruhusiwi kututawala!
Wasiwasi ndo akili kaka.Kimsingi kumfuatilia MTU Kwa kutokumuamini ni kutafuta ubaya wa MTU huyo.
Ukimchunguza Bata hutomla, Sisi wanaume wengi wetu tunawachunguza Wanawake Kabla hatujawaoa, tukishawaoa huo muda wa kuwatuatilia hatuna. Tutafanya hivyo endapo kutakuwa na Dalili za hatari mnazozionyesha.
Lakini ninyi muda wote mnawasiwasi na Sisi. Kwa nini mnaamini hampo peke yenu?
Tunahaki Sawa na Wanawake lakini Haki hizo hazilingani. Hiyo ndio inamantiki zaidi.
Kwahiyo waki cheat tusamehe na kuendeleza mahusiono[emoji2088]?
Umeanza kuelewa sasa
Na wewe kachepukeKwahiyo waki cheat tusamehe na kuendeleza mahusiono[emoji2088]?
Na wewe uanze kubeba mimba si haki sawaTuna haki sawa na wanawake isipokuwa hawaruhusiwi kututawala!