Kosa la Adolph Hitler la Septemba mosi 1939 linataka kurudiwa na Vladimir Putin

Huna unalojua wewe,kuwa myahudi sio tija,una fahamu hata hitler alikuwa myahudi?,hizo sheria zina ibana tu Urusi?usa amevamia nchi ngapi duniani na bado mkapiga kimya?nenda jirani gu hapo libya kajiinee mwenyewe alafu uje hapa uropoke usiyo yajua.
 
Inasikitisha kuona maamuzi ya taasisi za kimataifa yanakuwa na double standards wakati warusi wanapofanya unyama wao.

Putin anakaribia miaka 70, huyu keshapitwa na wakati na uwepo wake kremlin ni kung'ang'ania madaraka.

Wametangaza kumuwekea vikwazo lakini leo kaipiga bomu hospitali moja pale Kiev na wagonjwa wakiwemo ndani.
 
Myahudi mmoja anao mtandao mpana sana wa dunia nzima wa kumtetea. Putin analeta mchezo utakaomharibu na yeye pamoja na Russia anayoingoza.
Hili jamaa la ajabu sana,hauja tembea duniani wewe umekaririshwa tu,unadhani kuwa myahudi ndio kinga?nitakutajia mayahudi wengi tu walio angushwa na maisha yakaendelea tu,tembea duniani wewe umekariri tu
 
Huna unalojua wewe,kuwa myahudi sio tija,una fahamu hata hitler alikuwa myahudi?,hizo sheria zina ibana tu Urusi?usa amevamia nchi ngapi duniani na bado mkapiga kimya?nenda jirani gu hapo libya kajiinee mwenyewe alafu uje hapa uropoke usiyo yajua.
Punguza mapovu, kisha ndio uweka hadharani maoni yako. Hitler hakuwa myahudi.
 
Hili jamaa la ajabu sana,hauja tembea duniani wewe umekaririshwa tu,unadhani kuwa myahudi ndio kinga?nitakutajia mayahudi wengi tu walio angushwa na maisha yakaendelea tu,tembea duniani wewe umekariri tu
Nilisoma Ukraine kuanzia 1996-2002 mji wa Kharkov. Ninachokiandika ni kutokana na historia ya kweli.
 
Punguza mapovu, kisha ndio uweka hadharani maoni yako. Hitler hakuwa myahudi.
Sio povu,hujui kitu wewe,nenda kasome historia ya hitler,nimeishi urusi miaka 15 achilia israel,german,uturuki ,tena nimeishi nikiwa nafanya kazi huko so najua ninalo kwambia,wewe umekwenda shuleni tu,wenzio tuli ishi kama wafanyakazi huko.
 
Sio povu,hujui kitu wewe,nenda kasome historia ya hitler,nimeishi urusi miaka 15 achilia israel,german,uturuki ,tena nimeishi nikiwa nafanya kazi huko so najua ninalo kwambia,wewe umekwenda shuleni tu,wenzio tuli ishi kama wafanyakazi huko.
Hitler alidhani kwa kuivamia Austria dunia itamsamehe, matokeo yako alikiona cha moto. Putin watamkomesha kwa vikwazo, miaka hii watu hawataki kuana kwa marisasi, kuna makorona yanatosha kummaliza mtu bila ya kumgusa.

Mkuu dagil naona huko ofisini kwako au nyumbani kwako mkeo leo kakukorofisha sasa unaona umalizie hasira zako kwenye huu uzi wangu, vumilia mkuu kila mtu anazo shida zake.

Tunaonana kwa kutumia maandishi tu, hata tukidanganyana ni poa tu.
 
Biden unamsingizia hana ndoto hizo. Hiyo Russia inayozidiwa uchumi na South Korea ndio unasema iwekeze Eastern Europe? Kwa hela ipi waliyonayo
We jamaa tulia kwanza, kwamba South Korea anamzidi nini URUSI??
 
Sio povu,hujui kitu wewe,nenda kasome historia ya hitler,nimeishi urusi miaka 15 achilia israel,german,uturuki ,tena nimeishi nikiwa nafanya kazi huko so najua ninalo kwambia,wewe umekwenda shuleni tu,wenzio tuli ishi kama wafanyakazi huko.
Hitler hakuwa myahudi nabisha kuhusu hilo. Hata kama umeishi Ulaya miaka 20, nakubishia. Asingefikia uamuzi wa kuwachoma kwenye matanuru wahayudi zaidi ya milioni moja kama angekuwa myahudi.
 
Unafikir uyahudi utasaidia nin hapo? Wait and see

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
wayahudi wa sasa sio wale wa kwenye biblia,interest comes first. unamkumbuka robert maxwell alikuwa myahudi ndani ya marekani aliwasadia sana homeland na inasemekana alichangia israel kuwa nuclear power kwa kuiba teknlojia marekani na sehemu zingine. walivyomchoka alikutwa anaelea akiwa mfu atlantic ocean theory ni kwamba wayahudi wenzie walimmaliza, kama huyo myahudi wa ukraine hana manufaa kwa israel kama taifa watamtema akafilie mbali kama wanavyowatema wayahudi wa ethiopia
 
Wanamuwekea vikwazo vya kiuchumi. Wanaanza na kuisusia gesi yake anayoringia.
Sawa. Jana nilipitia orodha ya vikwazo alivyotangaza Johnson nikajawa na hofu.

Kususia gesi jumla sioni kama inatekelezeka na inaweza kuyagawa mataifa ya NATO kimsimamo. Russia pia alikuwa na contingency plans to counter such measures by securing markets in China and India, the most populous nations. Nina hakika China hawezi kulazimishwa kususia gesi ya Russia, labda India.

Kilichonitisha kwenye orodha ya Johnson, ni ile ya ku-freeze assets za Russia. Kwa mtazamo wangu, kuna vikwazo vitaukuza zaidi mzozo badala ya kusaidia kuupunguza.

Huwezi kuiwekea vikwazo Russia kama vile unaiwekea Iran ukategemea the same reaction. Nakumbuka mwaka jana Russia alitungua satellite lake moja ambalo halikuwa na kazi tena. Hii ilikuwa ni kuwapa ujumbe muhimu sana mataifa ya magharibi.

Tuombe Mungu sana dunia isiingie kwenye mgogoro mkubwa zaidi na utakaohusisha mataifa mengi zaidi ya hii tunayoshuhudia.

It's going to be catastrophic.
 
Ujerumani kuna kitu anakiogopa hatujui ni nini [emoji23][emoji23]

The German Chancellor said that cutting off #Russia from the #SWIFT global interbank payment system should not be part of the second #EU sanctions package against Russia.

#Ukraine
#NATO https://t.co/Z45YfPi9Ju
 
To cut you short, hizo sheria zinazibana nchi kama hizi zetu. US walipovamia Iraq hizo sheria hazikuwepo?!

Wait and see what's gonna happen. Putin si Saddam, ujue hilo. Na hii crisis inakwenda kupelekea Biden kuwa one term president.
Putin ataingia Ukraine na hakuna lolote litatokea zaidi ya malalamiko ya hapa na pale. Urussi haina tofauti na USA. Kila nchi inatetea interest zake, kwa hali na mali. Baada ya kuvunjika kwa Warsaw Pact na Urussi kupoteza kule Ulaya Mashariki, NATO na EU zimeendelea kuimarika na kuidhalalisha Urussi, kwa kuingia kwenye EU kwa nchi ilizopakana nazo ni swala kubwa la usalama kwao. Nchi ikiwa EU pia inaingia NATO. Katiba ya NATO inasema nchi yoyote itakayoishambulia mwanachama wa NATO basi NATO itaingia kumsaidia mwanachama wa NATO. Hii ndiyo sababu Urussi iko makini kuzuia hili.

Nadhani ni haki kila nchi kujiamulia mambo yake yenyewe na Urussi inakosea kuingilia mambo ya ndani ya Ukraine. Lakini Marekani hawana "moral authority" kuipigia kelele hii kwa sababu kwanza wao maamuzi/sheria za kimataifa hawazitambui labda pale zile sheria zinawasaidia wao. Mara nyingi hawaheshimu mikataba ya kimataifa na wameleta maumivu mengi kwa nchi ndogo duninani. Angalia yaliyofanyika Afghanistan na kuwaacha na matatizo na vifo vya maelfu. Angalia yaliyotokea Iraq, Libya, n.k. Wakati wakiumiza hizo nchi na watu wake Saudi Arabia ambayo haina hata chembechembe ya demokrasia wanawakumbatia. Kule Saidi Arabia asari wa kike wa USA huvaa hata hijabu!

Mimi ninachojuwa ni kuwa Marekani hata siku moja haitataka "direct confrotation na Urussi, China, wala India. Na ni vizuri hizo nchi hasa Urussi na China ziendelee kuwa na nguvu, ama sivyo itakuja "third or fourth wave of colonization".
 
Putin ataichukua Ukraine na hakuna anayeweza kufanya chochote Zaidi ya Marekani… bahati mbaya kwa Ukraine marekani hawana mpango wa kuingia vitani sasa hivi Congress na Senate hawawezi kuidhinisha vita sasa hivi hata hao wayahudi unaowasena Israel is nothing bila support ya America , Nato hawawezi kwenda vitani bila America . America is not in position to fight another war unless imeshambuliwa . Anachofanya Putin ni kuichukua Ukraine kwanza alafu majadiliano baadae.
 
Kama wanashambulia kutoka hospital wafanyaje wawaache
 
1.Umefuatilia mgogoro huu wa Ukraine toka 2014, kweli?
2. Umefuatilia na kujiridhisha juu ya juhudi za Russia kuzui hali inayotokea sasa toka Mwaka jana mwanzoni na kisha kuelekea mwezi Dec 2021 na Jan 2022, kweli?

Kama bado fanya hivyo, mleta mada.

Angalizo, tumia vyanzo vyote vya habari vya Magharibi na Mashariki. Usijikite bbc, au cnn na 'most searched' za google pekee! Hii ni kama upo serious kutaka kuujua ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…