Huna unalojua wewe,kuwa myahudi sio tija,una fahamu hata hitler alikuwa myahudi?,hizo sheria zina ibana tu Urusi?usa amevamia nchi ngapi duniani na bado mkapiga kimya?nenda jirani gu hapo libya kajiinee mwenyewe alafu uje hapa uropoke usiyo yajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha kuona maamuzi ya taasisi za kimataifa yanakuwa na double standards wakati warusi wanapofanya unyama wao.Jumuia ya kimataifa imeishachelewa kuchukua hatua,kama ilivyochelewa kwa Adolf Hitler mpaka akaua wayahudi milioni moja.
Putin aliishambulia Georgia,Dunia ikakaa kimya.
Akaimega Crimea kutoka Ukraine,Dunia ikakalia matamko tu.
Wakaimega Donesk na Luhansk kutoka Ukraine,badala ya vitendo,ni matamko tu.
Sasa wamewasha siraha za moto wanapiga miji mikubwa ndani ya Ukraine,Dunia Bado haijaelewa tu?.
NATO na USA zile nguvu walizotumia kuisambaratisha Libya na Ghadafi,wanashindwa nini kuzitumia sasa hv.
Hili jamaa la ajabu sana,hauja tembea duniani wewe umekaririshwa tu,unadhani kuwa myahudi ndio kinga?nitakutajia mayahudi wengi tu walio angushwa na maisha yakaendelea tu,tembea duniani wewe umekariri tuMyahudi mmoja anao mtandao mpana sana wa dunia nzima wa kumtetea. Putin analeta mchezo utakaomharibu na yeye pamoja na Russia anayoingoza.
Punguza mapovu, kisha ndio uweka hadharani maoni yako. Hitler hakuwa myahudi.Huna unalojua wewe,kuwa myahudi sio tija,una fahamu hata hitler alikuwa myahudi?,hizo sheria zina ibana tu Urusi?usa amevamia nchi ngapi duniani na bado mkapiga kimya?nenda jirani gu hapo libya kajiinee mwenyewe alafu uje hapa uropoke usiyo yajua.
Nilisoma Ukraine kuanzia 1996-2002 mji wa Kharkov. Ninachokiandika ni kutokana na historia ya kweli.Hili jamaa la ajabu sana,hauja tembea duniani wewe umekaririshwa tu,unadhani kuwa myahudi ndio kinga?nitakutajia mayahudi wengi tu walio angushwa na maisha yakaendelea tu,tembea duniani wewe umekariri tu
Wanamuwekea vikwazo vya kiuchumi. Wanaanza na kuisusia gesi yake anayoringia.Putin katoa onyo mapema; wakiweka pua zao kwenye huu mzozo anazing'oa.
Sio povu,hujui kitu wewe,nenda kasome historia ya hitler,nimeishi urusi miaka 15 achilia israel,german,uturuki ,tena nimeishi nikiwa nafanya kazi huko so najua ninalo kwambia,wewe umekwenda shuleni tu,wenzio tuli ishi kama wafanyakazi huko.Punguza mapovu, kisha ndio uweka hadharani maoni yako. Hitler hakuwa myahudi.
Hitler alidhani kwa kuivamia Austria dunia itamsamehe, matokeo yako alikiona cha moto. Putin watamkomesha kwa vikwazo, miaka hii watu hawataki kuana kwa marisasi, kuna makorona yanatosha kummaliza mtu bila ya kumgusa.Sio povu,hujui kitu wewe,nenda kasome historia ya hitler,nimeishi urusi miaka 15 achilia israel,german,uturuki ,tena nimeishi nikiwa nafanya kazi huko so najua ninalo kwambia,wewe umekwenda shuleni tu,wenzio tuli ishi kama wafanyakazi huko.
We jamaa tulia kwanza, kwamba South Korea anamzidi nini URUSI??Biden unamsingizia hana ndoto hizo. Hiyo Russia inayozidiwa uchumi na South Korea ndio unasema iwekeze Eastern Europe? Kwa hela ipi waliyonayo
Hitler hakuwa myahudi nabisha kuhusu hilo. Hata kama umeishi Ulaya miaka 20, nakubishia. Asingefikia uamuzi wa kuwachoma kwenye matanuru wahayudi zaidi ya milioni moja kama angekuwa myahudi.Sio povu,hujui kitu wewe,nenda kasome historia ya hitler,nimeishi urusi miaka 15 achilia israel,german,uturuki ,tena nimeishi nikiwa nafanya kazi huko so najua ninalo kwambia,wewe umekwenda shuleni tu,wenzio tuli ishi kama wafanyakazi huko.
Unafikir uyahudi utasaidia nin hapo? Wait and seeMkuu Rais wa Ukraine ni myahudi. Kumbuka hawa watu waliuliwa zaidi ya milioni moja kule Poland hivyo tangu wakati huo wana umoja wa ajabu.
Kuvamia nchi nyingine kwa sababu zisizoingia kichwani ni ngumu sana. Ni kweli si Saddam lakini udikteta wa Hitler kwa karne hakuna atakayeuvumilia.
wayahudi wa sasa sio wale wa kwenye biblia,interest comes first. unamkumbuka robert maxwell alikuwa myahudi ndani ya marekani aliwasadia sana homeland na inasemekana alichangia israel kuwa nuclear power kwa kuiba teknlojia marekani na sehemu zingine. walivyomchoka alikutwa anaelea akiwa mfu atlantic ocean theory ni kwamba wayahudi wenzie walimmaliza, kama huyo myahudi wa ukraine hana manufaa kwa israel kama taifa watamtema akafilie mbali kama wanavyowatema wayahudi wa ethiopiaWanasiasa hufanya makosa mengi sana wakiwa madarakani. Wanapoyafanya huwa hawana uwezo wa kupima ukubwa na madhara ya wanachokusudia kukifanya. Ni pale wanapokuwa wanapokea lawama nyingi ndio hujisumbua kuangalia kwa kina namna ambavyo wangeweza kuzuia kile walichokifanya, wangefanya hivi na wakafanya vile ndio huwa ni wazo lililochelewa wakati wake. Wanapokuwa wakiamua kufanya maamuzi yanayoongozwa na upofu au ulevi wa madaraka huwa wamezungukwa na wapambe wanaosema kitu wanachotaka kukisikia. Wao kuwa na maamuzi ya mwisho wakati mwingine huwanyima ile busara ya kuwa mawazo yao sio kila wakati huwa ndio ya kutekelezwa na yakaja na jibu lililokusudiwa na lenye faida.
Rais wa Russia Vladmir Putin anataka kufanya kosa litakalompa umaarufu mbovu kama ule aliokuwa nao Adolph Hitler mwaka 1939. Putin anataka kufanya kosa kama lile alilolifanya Idd Amin mwaka 1978 kwa kuivamia sehemu ya mkoa wa Kagera, kipigo alichokipata kilimpoteza kabisa miongoni mwa viongozi wa mataifa waliostahili heshima kila walipokatiza. Putin ameiangalia Ukraine katika udogo wake kwa kuilinganisha na Russia hivyo anaamini kwamba anaweza kufanya lolote na dunia ya sasa ikatulia tu na kumtazama. Kitakachompata kitakuwa ni fedheha kama ile iliyomkuta Hitler ambaye aliishia kujinyonga baada ya vita kumalizika akiwa ameshindwa vibaya.
Anatakiwa kukumbushwa kuwa Volodymyr Zelensky licha ya kuwa ni rais wa Ukraine taifa huru lenye maamuzi huru kama ilivyo Russia pia ni myahudi. Kwa asili ya wayahudi huwa ni watu wenye mtandao ulio hai na makini siku zote. Wayahudi wanajuana popote walipo, na mwanasiasa ambaye hata kama upande wa Mama ndio wayahudi huwa wanamchukulia kama ni mtoto wao. Wayahudi wanalinda ushawishi walionao duniani kote. Na ni rahisi kwao kumpachika jina la 'anti semitic' yoyote yule anayekwenda kinyume na falsafa zao au anayewakejeli.
Sembuse maamuzi ya Putin kuivamia nchi huru ya Ukraine inayoongozwa na myahudi mwenzao!!. Putin anakosa washauri wenye kutazama mbali, wenye ushawishi wa kidunia. Atumie busara sana kwani anachofikiria dhidi ya Ukraine kinaweza kumpoteza kabisa na yale yote aliyokwisha kuyafanya tangu 1999 alipoanza kuongoza Russia yakafunikwa na huu 'ujinga' anaouwazia kwa sauti ya juu.
Ulimwengu wa 1939 wakati Hitler akiivamia Austria sio huu wa 2022. Zimetungwa sheria nyingi za kimataifa zinazolinda uhuru wa kila taifa. Wamezaliwa wanasiasa wenye maarifa mazito ya kuongoza. Sayansi haijabaki nyuma zimeundwa silaha za hatari zenye kuweza kuangamiza kila kilichopo juu ya uso wa dunia ndani ya saa chache tu. Anaumizwa sana na ushawishi wa USA kwa jirani yake wa karibu, lakini nguvu nyingi hutumiwa na mwenye maarifa madogo ya uongozi.
Mbona Biden yuko mbali zaidi ya hiyo 70! Ninachoona, mahaba yako kwa mataifa ya magharibi yamekupokonya uhuru wa fikra.Putin anakaribia miaka 70, huyu keshapitwa na wakati na uwepo wake kremlin ni kung'ang'ania madaraka.
Sawa. Jana nilipitia orodha ya vikwazo alivyotangaza Johnson nikajawa na hofu.Wanamuwekea vikwazo vya kiuchumi. Wanaanza na kuisusia gesi yake anayoringia.
Kama hutaki unataka nikulazimishe. Kama unapinga toa factsWe jamaa tulia kwanza, kwamba South Korea anamzidi nini URUSI??
Putin ataingia Ukraine na hakuna lolote litatokea zaidi ya malalamiko ya hapa na pale. Urussi haina tofauti na USA. Kila nchi inatetea interest zake, kwa hali na mali. Baada ya kuvunjika kwa Warsaw Pact na Urussi kupoteza kule Ulaya Mashariki, NATO na EU zimeendelea kuimarika na kuidhalalisha Urussi, kwa kuingia kwenye EU kwa nchi ilizopakana nazo ni swala kubwa la usalama kwao. Nchi ikiwa EU pia inaingia NATO. Katiba ya NATO inasema nchi yoyote itakayoishambulia mwanachama wa NATO basi NATO itaingia kumsaidia mwanachama wa NATO. Hii ndiyo sababu Urussi iko makini kuzuia hili.To cut you short, hizo sheria zinazibana nchi kama hizi zetu. US walipovamia Iraq hizo sheria hazikuwepo?!
Wait and see what's gonna happen. Putin si Saddam, ujue hilo. Na hii crisis inakwenda kupelekea Biden kuwa one term president.
Putin ataichukua Ukraine na hakuna anayeweza kufanya chochote Zaidi ya Marekani… bahati mbaya kwa Ukraine marekani hawana mpango wa kuingia vitani sasa hivi Congress na Senate hawawezi kuidhinisha vita sasa hivi hata hao wayahudi unaowasena Israel is nothing bila support ya America , Nato hawawezi kwenda vitani bila America . America is not in position to fight another war unless imeshambuliwa . Anachofanya Putin ni kuichukua Ukraine kwanza alafu majadiliano baadae.Wanasiasa hufanya makosa mengi sana wakiwa madarakani. Wanapoyafanya huwa hawana uwezo wa kupima ukubwa na madhara ya wanachokusudia kukifanya. Ni pale wanapokuwa wanapokea lawama nyingi ndio hujisumbua kuangalia kwa kina namna ambavyo wangeweza kuzuia kile walichokifanya, wangefanya hivi na wakafanya vile ndio huwa ni wazo lililochelewa wakati wake. Wanapokuwa wakiamua kufanya maamuzi yanayoongozwa na upofu au ulevi wa madaraka huwa wamezungukwa na wapambe wanaosema kitu wanachotaka kukisikia. Wao kuwa na maamuzi ya mwisho wakati mwingine huwanyima ile busara ya kuwa mawazo yao sio kila wakati huwa ndio ya kutekelezwa na yakaja na jibu lililokusudiwa na lenye faida.
Rais wa Russia Vladmir Putin anataka kufanya kosa litakalompa umaarufu mbovu kama ule aliokuwa nao Adolph Hitler mwaka 1939. Putin anataka kufanya kosa kama lile alilolifanya Idd Amin mwaka 1978 kwa kuivamia sehemu ya mkoa wa Kagera, kipigo alichokipata kilimpoteza kabisa miongoni mwa viongozi wa mataifa waliostahili heshima kila walipokatiza. Putin ameiangalia Ukraine katika udogo wake kwa kuilinganisha na Russia hivyo anaamini kwamba anaweza kufanya lolote na dunia ya sasa ikatulia tu na kumtazama. Kitakachompata kitakuwa ni fedheha kama ile iliyomkuta Hitler ambaye aliishia kujinyonga baada ya vita kumalizika akiwa ameshindwa vibaya.
Anatakiwa kukumbushwa kuwa Volodymyr Zelensky licha ya kuwa ni rais wa Ukraine taifa huru lenye maamuzi huru kama ilivyo Russia pia ni myahudi. Kwa asili ya wayahudi huwa ni watu wenye mtandao ulio hai na makini siku zote. Wayahudi wanajuana popote walipo, na mwanasiasa ambaye hata kama upande wa Mama ndio wayahudi huwa wanamchukulia kama ni mtoto wao. Wayahudi wanalinda ushawishi walionao duniani kote. Na ni rahisi kwao kumpachika jina la 'anti semitic' yoyote yule anayekwenda kinyume na falsafa zao au anayewakejeli.
Sembuse maamuzi ya Putin kuivamia nchi huru ya Ukraine inayoongozwa na myahudi mwenzao!!. Putin anakosa washauri wenye kutazama mbali, wenye ushawishi wa kidunia. Atumie busara sana kwani anachofikiria dhidi ya Ukraine kinaweza kumpoteza kabisa na yale yote aliyokwisha kuyafanya tangu 1999 alipoanza kuongoza Russia yakafunikwa na huu 'ujinga' anaouwazia kwa sauti ya juu.
Ulimwengu wa 1939 wakati Hitler akiivamia Austria sio huu wa 2022. Zimetungwa sheria nyingi za kimataifa zinazolinda uhuru wa kila taifa. Wamezaliwa wanasiasa wenye maarifa mazito ya kuongoza. Sayansi haijabaki nyuma zimeundwa silaha za hatari zenye kuweza kuangamiza kila kilichopo juu ya uso wa dunia ndani ya saa chache tu. Anaumizwa sana na ushawishi wa USA kwa jirani yake wa karibu, lakini nguvu nyingi hutumiwa na mwenye maarifa madogo ya uongozi.
Kama wanashambulia kutoka hospital wafanyaje wawaacheInasikitisha kuona maamuzi ya taasisi za kimataifa yanakuwa na double standards wakati warusi wanapofanya unyama wao.
Putin anakaribia miaka 70, huyu keshapitwa na wakati na uwepo wake kremlin ni kung'ang'ania madaraka.
Wametangaza kumuwekea vikwazo lakini leo kaipiga bomu hospitali moja pale Kiev na wagonjwa wakiwemo ndani.
1.Umefuatilia mgogoro huu wa Ukraine toka 2014, kweli?Mkuu Rais wa Ukraine ni myahudi. Kumbuka hawa watu waliuliwa zaidi ya milioni moja kule Poland hivyo tangu wakati huo wana umoja wa ajabu.
Kuvamia nchi nyingine kwa sababu zisizoingia kichwani ni ngumu sana. Ni kweli si Saddam lakini udikteta wa Hitler kwa karne hakuna atakayeuvumilia.