Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu mwenye details za hii stori ,nimeshangaa imekuaje akampoteza nambari 1 kwamba hakuwa anafahamu route?July 2010 Tarime.
Kuna ambao wanadai aliuawa kwa siri ili kulinda vibarua vya watu, na inasemekana hakufanya vile kwa lengo la kupoteza bali maelekezo kutoka juu.
Jiulize tangu lini mtu awekwe rumande akiwa na bastola
Kitengo cha itifakiWakuu mwenye details za hii stori ,nimeshangaa imekuaje akampoteza nambari 1 kwamba hakuwa anafahamu route?
Na maelekezo hayo ni juu ya nambari 1 au chini ?
Aliposema tu kwamba “ Askari aliweka loud speaker” nikajua tu jamaa kapigwa hapaHao matapeli wapo wengi maeneo ya Masaki, Kwa kifupi hapo umeshatapeliwa. Hakuna askari hàpo! Ni MATAPELI