KRA imekusanya ksh 476 billion kwa muda ya miezi mitatu. Pesa ambayo TZ inakusanya katika muda wa miezi sita.

KRA imekusanya ksh 476 billion kwa muda ya miezi mitatu. Pesa ambayo TZ inakusanya katika muda wa miezi sita.

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.
 
I think it is a good evidence ya baadhi ya faida za capitalism na Pia kuipa challenge Tanzania to aim higher be creating a bigger and better tax base

Machinga alone ni chanzo cha losses, agro taxes ni second, political interference and poor plans za kimaendeleoni shida

Financing sector is the poorest… tuna Waziri wa uwekezaji na hatujaona roadmap ya kufunga CWC big strategic investments

Jana tumeona jedwali la kudalalia miradi kutoka tic lilies orphan, none of the opportunities seemed to be financed even by TIB
 
I think it is a good evidence ya baadhi ya faida za capitalism na Pia kuipa challenge Tanzania to aim higher be creating a bigger and better tax base

Mashiba alone ni chanzo cha losses, agro taxes ni second abs poor plans za kimaendeleoni shida
Asante kwa maneno mazuri. Angalau wewe unakubali kwamba kuna tatizo mahali na mnastahili kujitahidi zaidi.
 
Naunga mkono hoja hakuna mataifa yatakuwa sawa lazima moja lizidi au kuwa chini
 
Huwa nawahurumia hawa wanavyopenda kujitutumua eti washindane na sisi wakati tunawazidi mara mbili kwenye mambo ya kiuchumi na kielimu.
Kwanza wenyewe wabahili, juzi wameongezewa matozo ikawa kama msiba wa taifa, sasa walivyokurupuka kwenye awamu ya tano kuanzisha miradi kote kote kiholela bila tathmini, sijui wanategemea itakamilishwaje, imebuma karibu yote.
 
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.

Huwa nawa ambia Tz ni fukara kiukweli na wanapinga, eti kwa sasa GDP ya Tz is above Kenya, yetu ni ya kupikwa, ila revenue income ni picha halisi ya uwezo wa uchumi.., numbers dont lie., 🔥 😂
 
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.

deleted
 
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.

Halafu 40 percent ya Pesa yote inaenda kwa UK it doesn't make any sense
 
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.
 

Attachments

  • IMG_0300.MP4
    2.2 MB
Halafu 40 percent ya Pesa yote inaenda kwa UK it doesn't make any sense
Ukweli inawatesa hadi basi, mnakurupuka ili mradi tu muongee hapa ni facts tu😂😂😂😂
 
Huwa nawahurumia hawa wanavyopenda kujitutumua eti washindane na sisi wakati tunawazidi mara mbili kwenye mambo ya kiuchumi na kielimu.
Kwanza wenyewe wabahili, juzi wameongezewa matozo ikawa kama msiba wa taifa, sasa walivyokurupuka kwenye awamu ya tano kuanzisha miradi kote kote kiholela bila tathmini, sijui wanategemea itakamilishwaje, imebuma karibu yote.
Kweli hatuwezi kushindana na nyie kwenye index za njaa, rushwa, insecurity, substandards, unplanned settlements, ethnicity, data cooking etc the list is endless.
 
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.

Ukubwa wa uchumi ni tofauti kwa hiyo hakuna cha kushangaza hapo.
 
Kuna wale wanaopinga. Wanasema kwamba uchumi wa Kenya ni wa kwenye makaratasi. Hii habari nimeileta huku ili kuwaelimisha watu hao. Hao ni akina Geza Ulole joto la jiwe eliakeem ichoboy01 The best 007

Mimi ningekuelewa kama ukubwa wa gdp yenu ungeenda sambamba na kutokomeza matatizo yenu ya msingi kama baa la njaa.

 
Back
Top Bottom