KRA imekusanya ksh 476 billion kwa muda ya miezi mitatu. Pesa ambayo TZ inakusanya katika muda wa miezi sita.

KRA imekusanya ksh 476 billion kwa muda ya miezi mitatu. Pesa ambayo TZ inakusanya katika muda wa miezi sita.

seriously! 😂 😂 😂 😂 ., ukweli ni dawa yenu..,

2953570_JamiiForums-182662525.jpg
 
Huwa nawahurumia hawa wanavyopenda kujitutumua eti washindane na sisi wakati tunawazidi mara mbili kwenye mambo ya kiuchumi na kielimu.
Kwanza wenyewe wabahili, juzi wameongezewa matozo ikawa kama msiba wa taifa, sasa walivyokurupuka kwenye awamu ya tano kuanzisha miradi kote kote kiholela bila tathmini, sijui wanategemea itakamilishwaje, imebuma karibu yote.
Nyie hamna la kujisifia zaidi yetu. Wote ni maskini tu. Nchi zenyewe hazipo hata huru kutwa kuomba mikopo na misaada. Wakenya na Watanzania wasio na exposure ndio wanaona nchi zao zimeendelea wakati tuna safari ndefu sana.
 
Huyo Muarabu kisogo flat tuliamua tu tuchukue mahindi yake ili tusimdhalilishe. Waarabu wanapenda attention.
Nisawa na mwanamke kukubali kulala na mwanaume ili kumridhisha asikasirike, lakini ndio haifutiki kwamba ameshamlala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nisawa na mwanamke kukubali kulala na mwanaume ili kumridhisha asikasirike, lakini ndio haifutiki kwamba ameshamlala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo lilikuwa ni makosa lililofanyika ila halijawahi kurudiwa tena. Umewahi kuona picha kama hii tena? Hio picha ya msaada ikulu ilikuwa ya kwanza na ya mwisho. Tumejifunza
 
Nyie hamna la kujisifia zaidi yetu. Wote ni maskini tu. Nchi zenyewe hazipo hata huru kutwa kuomba mikopo na misaada. Wakenya na Watanzania wasio na exposure ndio wanaona nchi zao zimeendelea wakati tuna safari ndefu sana.
Sasa wewe umeongea kuliko wote kutoka sauz mkuu.., hapa mimi huwa napingana na fikra za wenzako wala sio hoja per'se, ni mtazamo wao tu ndio huwa tatizo.., kulazimisha fikra zao..,
 
Hizi kodi wanazoshobokea hawajiulizi kodi wanazotozwa wao kwenye bidhaa na huduma ni sawa na za Tanzania?

Kila kitu kuanzia umeme, airtime, fuels, PAYE, beverages, interest zote Kenya inatoza mara 2 mpaka 3 ghali zaidi kuliko Tanzania so lazima mapato yao yaonekane kupanda
 
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.

Inakusanya vp na inashindwa kulipa madeni sasa au inakusanya hewa 🤣🤣🤣🤣
 
Inakusanya vp na inashindwa kulipa madeni sasa au inakusanya hewa 🤣🤣🤣🤣
Tangu lini Kenya ikashindwa kulipa deni? Wacha kuvuta bangi kutoka Moshi Arusha wewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi uko kenya una hata kiwanja nina imani hadi unakufa hutomiliki ardhi karibu Tz
Kunyua maziwa kwanza.
Tanzania maziwa ni luxury wakati Kenya kunyua chai maziwa ni normal. Says a lot about [emoji1139]$110b vs $60b[emoji1241].
Screenshot_20211007-062235.jpg
 
Back
Top Bottom