eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
aibu Sana hii uchumi wenyewe ni huuView attachment 1963948
Don YF
Waulize hawa wanapata wapi chakula.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aibu Sana hii uchumi wenyewe ni huuView attachment 1963948
Kwani hujui faida ya makusanyo makubwa? Si ulisema wewe ni economist? Better roads, better ports and airports, more railway e.t.c.
Yes it can be tamed, but hapa serikali haijashindwa kusaidia watu wake., ni mikakati mwafaka tu ndio inatakiwa kuweka., na kukua pro active., sisi sio fukara hohe hahe kama nyie, janga kama hili likitokea tanzania serikali yenu itajinyea, mnaishi maisha ya auto-pilot in Tz., yaani nature is taking care of you na sio nyie wenyewe, mko hafifu sana, la sivyo hamunge orodheshwa kwa list ya nchi fukara zaidi Africa., tanzania ni ovyo.Drought is no longer a force majoure. It can easily be tamed compared to floods.
Nendeni kwa wale wamisri waliowapa msaada wa chakula wawaineshe.
etii!!?nyie so fukara huku mkipokea misaada ya chakula[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yes it can be tamed, but hapa serikali haijashindwa kusaidia watu wake., ni mikakati mwafaka tu ndio inatakiwa kuweka., na kukua pro active., sisi sio fukara hohe hahe kama nyie, janga kama hili likitokea tanzania serikali yenu itajinyea, mnaishi maisha ya auto-pilot in Tz., yaani nature is taking care of you na sio nyie wenyewe, mko hafifu sana, la sivyo hamunge orodheshwa kwa list ya nchi fukara zaidi Africa., tanzania ni ovyo.
singapore [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Were it not for corruption, Kenya would be at per with Singapore
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.
etii!!?nyie so fukara huku mkipokea misaada ya chakula[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1964065
hata kama ni zote ni sawa tu. we borrowed because we have the means and ways of paying it back.Ngapi zinaenda kulipia mkopo wa SGR ya machina na mikopo mingine?
I understand you have a juvenile understanding of basic statements. Re-read my previous post.singapore [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1964090
Hiyo pesa ukitoa deni la mchina mnabakiwa na shiling ngapi? Au achukue bandariWadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.
Kwani deni la mchina linalipwa lote mara moja, chunguza ni ngapi serikali inalipa kwa mwaka kisha uje, hautosikia mkulima kashika KQ kisa madeni., lipeni madeni yenu fukara, wacheni kusamehewa madeni kila mara na ndege zenu kushikwa ovyo ovyo.,Hiyo pesa ukitoa deni la mchina mnabakiwa na shiling ngapi? Au achukue bandari
hamna kitu nitakuelewa wewe maskini[emoji41][emoji41][emoji41]I understand you have a juvenile understanding of basic statements. Re-read my previous post.
Okayhamna kitu nitakuelewa wewe maskini[emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 1965055View attachment 1965054
maskini,wazembe wa kutupwa mnaletewa mahindi Hadi ikulu[emoji41][emoji41][emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani deni la mchina linalipwa lote mara moja, chunguza ni ngapi serikali inalipa kwa mwaka kisha uje, hautosikia mkulima kashika KQ kisa madeni., lipeni madeni yenu fukara, wacheni kusamehewa madeni kila mara na ndege zenu kushikwa ovyo ovyo.,