[emoji23][emoji23][emoji23]Njaa hadi ikulu kupokea mafuso ya mahindi...maskini,wazembe wa kutupwa mnaletewa mahindi Hadi ikulu[emoji41][emoji41][emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1965066View attachment 1965065
Nyie hamna la kujisifia zaidi yetu. Wote ni maskini tu. Nchi zenyewe hazipo hata huru kutwa kuomba mikopo na misaada. Wakenya na Watanzania wasio na exposure ndio wanaona nchi zao zimeendelea wakati tuna safari ndefu sana.Huwa nawahurumia hawa wanavyopenda kujitutumua eti washindane na sisi wakati tunawazidi mara mbili kwenye mambo ya kiuchumi na kielimu.
Kwanza wenyewe wabahili, juzi wameongezewa matozo ikawa kama msiba wa taifa, sasa walivyokurupuka kwenye awamu ya tano kuanzisha miradi kote kote kiholela bila tathmini, sijui wanategemea itakamilishwaje, imebuma karibu yote.
Kwani nyie hamkupokea misaada kutoka Kenya baada ya serikali ya mwendazake jiwe lenu kushindwa kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi Kagera?
Huyo Muarabu kisogo flat tuliamua tu tuchukue mahindi yake ili tusimdhalilishe. Waarabu wanapenda attention.maskini,wazembe wa kutupwa mnaletewa mahindi Hadi ikulu[emoji41][emoji41][emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1965066View attachment 1965065
Ndo walete hayo mafuso za mizigo Ikulu?Huyo Muarabu kisogo flat tuliamua tu tuchukue mahindi yake ili tusimdhalilishe. Waarabu wanapenda attention.
Nisawa na mwanamke kukubali kulala na mwanaume ili kumridhisha asikasirike, lakini ndio haifutiki kwamba ameshamlala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Muarabu kisogo flat tuliamua tu tuchukue mahindi yake ili tusimdhalilishe. Waarabu wanapenda attention.
Kwani nyie hamkupokea misaada kutoka Kenya baada ya serikali ya mwendazake jiwe lenu kushindwa kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi Kagera?Msafara wa Magari ya Jeshi la Kenya ukielekea Bukoba kutoa msaada kwa wahanga wa tetemeko Dona kantrii maembe.
Hilo lilikuwa ni makosa lililofanyika ila halijawahi kurudiwa tena. Umewahi kuona picha kama hii tena? Hio picha ya msaada ikulu ilikuwa ya kwanza na ya mwisho. TumejifunzaNisawa na mwanamke kukubali kulala na mwanaume ili kumridhisha asikasirike, lakini ndio haifutiki kwamba ameshamlala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wewe umeongea kuliko wote kutoka sauz mkuu.., hapa mimi huwa napingana na fikra za wenzako wala sio hoja per'se, ni mtazamo wao tu ndio huwa tatizo.., kulazimisha fikra zao..,Nyie hamna la kujisifia zaidi yetu. Wote ni maskini tu. Nchi zenyewe hazipo hata huru kutwa kuomba mikopo na misaada. Wakenya na Watanzania wasio na exposure ndio wanaona nchi zao zimeendelea wakati tuna safari ndefu sana.
Inakusanya vp na inashindwa kulipa madeni sasa au inakusanya hewa 🤣🤣🤣🤣Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi sote tunajua ni uchumi gani kati ya hizi mbili ya kwenye makaratasi.
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi uko kenya una hata kiwanja nina imani hadi unakufa hutomiliki ardhi karibu TzUkweli inatesa mitanzania [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pesa zimesharudi,hiyo Kenya kuna matatizo makubwa sana maisha yako juu sana kumiliki ardhi ni tatizo,2022 lazma muombe usuluhishi kwenye chaguziKuna wale wanaopinga. Wanasema kwamba uchumi wa Kenya ni wa kwenye makaratasi. Hii habari nimeileta huku ili kuwaelimisha watu hao. Hao ni akina Geza Ulole joto la jiwe eliakeem ichoboy01 The best 007
Kunyua maziwa kwanza.[emoji23][emoji23][emoji23] hivi uko kenya una hata kiwanja nina imani hadi unakufa hutomiliki ardhi karibu Tz
Akikujibu nitagZilizofichwa uingereza zimeshakatwa kodi?
Mbona kula chapati Kenya ni anasa na hatusemi??!!!Kunyua maziwa kwanza.
Tanzania maziwa ni luxury wakati Kenya kunyua chai maziwa ni normal. Says a lot about [emoji1139]$110b vs $60b[emoji1241]. View attachment 1966331