Krismasi ya kwanza pasipo mvua ni ujumbe kwa mamlaka. Tuchukue tahadhari

Inategemea uko mkoa gani, nilipo mimi mvua imenyesha usiku kucha
 
na hii inayonyesha huku Mbezi ni kitu gani?
Dar hizi mvuwa za kawaida huwa hazinyeshi mji mzima, huwa zinanyesha kwa mafungu.

Sehemu zinazokaliwa na washirikina hasa wa mabondeni huwa wanatega satellite zako mvua hainyeshi kwenye maeneo hayo.
 
Dini ime kulevya mpaka imeathiri akili zako.
Mimi niko nje ya Tanzania na huku pia hakuna mvua.
Je, napo tusemeje?
 
Wacha kudhalilisha xmass futa uzi, Mbezi mwisho tunahangaika na miavuli sasa hivi
 
Dar hizi mvuwa za kawaida huwa hazinyeshi mji mzima, huwa zinanyesha kwa mafungu.

Sehemu zinazokaliwa na washirikina hasa wa mabondeni huwa wanatega satellite zako mvua hainyeshi kwenye maeneo hayo.
kwa Hiyo dmkali anaishi bondeni?
 
Hahhahaa mbona huku baruti kwenda kimara mbua imeshanyesha tayari na imekata....


Ila dini imekuharibu sana akili tena sio kdg sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ningekuwa baba ako ningekukataza kwenda kanisani na kusoma biblia kwa mwaka walau ufahamu urudi kdg hlf ndo uendelee.
 
Kasulu anga inalia mvua inashuka poleni uko Darslama
 
Dar hapa mvua imenyesha saa sita na nusu mchana
 
Mwaka jana na juzi ilipokuwa inanyesha kulikuwa hamna madhambi?
What a wasted time to write bullshit!
 
Unaishi wapi? Pia jitahidi ku-reasone na ku-argue maana umekurupuka.
 
Uzi ameanzisha mwingine aibu naona mimi, jamaa kaumaliza mwaka vibaya hapa Jf.
 
Uko pande zipi huku kusini mvua kama yote mpaka kero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…