Kuachiwa kwa Mbowe; Nimeamini muda mwingine kuna hisia za kweli na ni ushahidi kuna mawasiliano kati ya nafsi zetu na ulimwengu wa nje

Great!!!
 
Kila nikiisoma na kuirudia napata tafsiri tofauti

Umeshaambiwa DPP akishatamka kua hana nia ya kuendelea na kesi tena mashataka yote yamefutwa bila masharti, ni sawa na Mbowe kashinda kuliko ndugu zitto alivotaka watu waombe msamaha maana yake ukiomba msamaha unakua umekiri kosa hivo ni rahisi sana wao kuframe tena kesi na kukushtaki.
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
Roho ya kwanini inakusaidia nini mkuu?
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
Ndio kwanza moto unawaka.
 
Kwa hiyo ikirudi ndio itamfanya kuwa gaidi?
Hapana... Mbowe hajawi kuwa gaidi!
My point ni kuwa hii kesi itaendelea kuibuka huko mbele ya safari.
Soma vizuri hiyo Nolle Prosequi ya DPP hasa sentensi ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…