businesslink
Senior Member
- Mar 20, 2019
- 129
- 115
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23] uzi juu ya uzi
DISCO 4 vs FORTUNER
UK vs JAPAN?
BEI/ USALAMA, MAINTENANCE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] uzi juu ya uzi
Kwani huko Japan ndo hupigwi? Mcheki Isanga family hapa Unguja si tumezoea gari toka Dubenga na UKNaamini magari ya SA ni mazuri hasa gari kubwa, tatizo hamna mfumo mzuri wa uagizaji uliopo wazi na kuaminika zinakuwa ni baishara za kubahatisha kupigwa nje nje au kuuziwa gari ya wizi.
Ulishawahi kumiliki hata TOYO?Japan ni bora maana litafanyiwa inspection hukohuko, hizo nchi nyingine labda uagize kwa mtu unaye mwamini sana.
Ukiitoa Singapore[emoji1215] bhasi tegemea utofauti wa xt yako hizi nyingine , speed 240Safi Bado nasubilia jibu, subaru Forester XT langu litatoka nchi gani.
Yap pana dogo kavusha Disco 4 ya 2018 kuja Unguja kalipa % chache sana za kodi na anatembelea aisee huko mnafaidi sana akiamua kuja nalo bara anakuja nalo na kurudi huu upande wetu wa Ukraine sidhani kama angeweza hiyo Tozo yake...Kwani huko Japan ndo hupigwi? Mcheki Isanga family hapa Unguja si tumezoea gari toka Dubenga na UK
Nipe link ya established dealership in SA.Unapigwaje wakati unanunua from an established dealership na unaweza ku track every info ambazo niko available online
ujanja ujanja mwingi, unaweza uziwa engine ya ist kwenye bodi la Subaru Forester XTUpigaji gani?
Asante sana Singapore tayari ni chaguo no:1Ukiitoa Singapore[emoji1215] bhasi tegemea utofauti wa xt yako hizi nyingine , speed 240
Nimewahi kununua gari South Africa hawana longo longoUpdates?
Utata ndio unaanzia hapo, si rahisi kurudi kukupa jibu kila mtu anaogopa hata anaesema ni salama hakupi reliable link ya kuagiza vitu vimefichwa kama bangeNipe link ya established dealership in SA.
Nani alikuambia wanigeria wanauza magari wewe na chumvi wamuachie nani?..SA kuna auction nyingi sana za magari na ukitaka kitonga nunua iliyo gongwa kidogo SA ni wakali wa panel beating inyooshe piga rangi upya ikitua bongo ni salute mtu hawezi jua iligongwa. Showroom zimejaa kila kona wewe ukanunue kwa mnigeria siutakuwa chizi. Kama unataka ndinga SA nenda mwenyewe utapata gari kali bei kitongaJapan mkuu, SA wa Nigeria hawatakuacha salama mkuuu
Wacheki cars.co.za ila ni vizuri ukaenda in personal mboba karibu hapo mzeeUtata ndio unaanzia hapo, si rahisi kurudi kukupa jibu kila mtu anaogopa hata anaesema ni salama hakupi reliable link ya kuagiza vitu vimefichwa kama bange
Mkaburu anaassemble hakuna gari yoyote dunia hii uikose showroom mkaburu kampuni kubwa zote zina branch pale so ni wewe tu. Toyota cars ni chache barabarani pale ni germany, usa na uk tu ndio zinatambayou mean waafrika/makaburu magari yao yana usalama zaidi kuliko ya wazungu huko Ulaya
One learns something new humu JF everyday
in other words safety na kila kitu katika hayo magari waafrika wanaongoza
Discover 4 ela iwepo tuDISCO 4 vs FORTUNER
UK vs JAPAN?
BEI/ USALAMA, MAINTENANCE
Mie nina shida na baiskel aina ya swala wapi naipata
www webuycars.co.zaUtata ndio unaanzia hapo, si rahisi kurudi kukupa jibu kila mtu anaogopa hata anaesema ni salama hakupi reliable link ya kuagiza vitu vimefichwa kama bange
Ahsante nikiwa natokea lamadi ni mkono gani bosiNenda Magu kuna duka 1 la mhindi zipo