Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

Kwa hiyo na Aliko Dangote tumzuie asiendelee na uwekezaji nchini?

Mmoja wa Walimu wangu Chuoni alikuwa Dr. Nwoye. Japo alikuwa Mnigeria, sikuwahi kuuona chembe ya utapeli kwake. Sana sana nilimfurahia kwa jinsi alivyokuwa anajua kutunzwa muda.

Samaki mmoja akioza si wote! Kuna Wanigeria wengi tu ambao hata ukiiangusha wallet iliyosheheni madola hawatajibinafsishia.
Ulishaishi SA? Mimi nimeishi SA miaka mingi sana enzi za ujana sasa hao wapopo nimeishi nao. biashara na mpopo ni risk kubwa. Ingekuwa bongo sawa lakini sio SA kwanza wewe ni mgeni utaingizwa mjini mapema sana Kama hauamini fanya. CBD nyingi SA hauwezi kutembea mita miambili bila kukutana na car auction sasa kwann ukanunue kwa mpopo?
 
Kwa ufupi nimefuatilia ununuzi wa tractor la kulimia South Africa naona ni mazuri bora na uingizaji rahisi kufika.
Kitu pekee bado sijajua ni usajili wa hapa kwetu unajitaji gharama tena kwa tractor?.
Nikilijua hili naona bora bidhaa za South.
 
Ulishaishi SA? Mimi nimeishi SA miaka mingi sana enzi za ujana sasa hao wapopo nimeishi nao. biashara na mpopo ni risk kubwa. Ingekuwa bongo sawa lakini sio SA kwanza wewe ni mgeni utaingizwa mjini mapema sana Kama hauamini fanya. CBD nyingi SA hauwezi kutembea mita miambili bila kukutana na car auction sasa kwann ukanunue kwa mpopo?
🙏🙏🙏
 
Habari za leo waungwana.

Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko

Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara, usalama na matengenezo ( japo nimeambiwa gari ambayo haijatumika sana hugharamiki sana matengezo au spares) ushusu na gharama za matunzo

SOUTH AFRICA:
Sijajua kuna siri gani ya haya magari kutoka South Africa lakini sijapata kuona gari yenye namba plate za SA hapa mjini ambayo imechoka au iko kuu kuu...iwe Ford, Toyota Fortuner, Land Rover Discovery au BMW...unaona kabisa gari kama vile imetoka kiwandani....na mara nyingi ambazo nation zina namba plates za jimbo la GAUTENG...

Kila ninapouliza Why South Africa and not UK sipewi majibu yaliyonyooka kwani kila mmoja amekuja na theory yake lakini kwa kifupi wao husema:
  1. Mengi ni magari ya kupigwa hivyo ni cheap
  2. Wepesi wa kuingiza Tanzania kutoka SA. Minimum wiki moja gari ishaingia
  3. Hakuna longo longo kubadãilisha plate
  4. Ushuru ni mdogo kwa sabot country of origin ni SADC
  5. Ubora wa gari ni mzuri Kwani yametengenezwa kwa ajili ya ya terrain ya Africa

JAPAN & SINGAPORE:
Magari ya kutoka huko niyaonayo mengi naona yamepigwa sop sop lakini sio kama ya SA lakini naona ndio yanayoonekana ni affordable kwa mwananchi mengi hapa wenye kipato cha juu na chini na lakini pia nimeona yaliyppata ajali ni kama vile Yai kwa jinsi yanavyobondeka na survival rate kwa ajali nilizoona ni ndogo sana.

UK:
Sijaona mengi ambayo yanayo shine na kuonekana mapya kama ya SA lakini huwa najiuliza hivi Mzungu anaweza kutengeza gari sub standard (ubora na usalama) kwa jili ya soko la UK au Ulaya na kisha akatengeneza gari bora zaidi kwa ajili ya soko la Africa kwa sababu mazingira na bara bara mbovu za Africa?

Naomba nifafanuliwe based on:
  1. Ubora na Usalama
  2. Gharama za kuitunza
  3. Bei (kutokana na Sababu hizo hapo juu)
  4. Ushuru

Ahsanteni sana waungwana
South Africa ni the best!
 
Back
Top Bottom