businesslink
Senior Member
- Mar 20, 2019
- 129
- 115
- Thread starter
- #41
safety na reliability compared na UK?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuuu South Africa hakuna spare ya gari unayotafuta ukakosa, South Africa kuna kila aina ya gari unayoyaona mtandaoni na uzuri wa huku kuna mafundi wa uwakikaSA wana assemble magari mengi sana aina tofauti, SA unaweza pigwa za uso maana kuna magari yao ambapo unaweza pata shida kwenye vipulu, (spare) na hayo ya japan wanayo mengi
Yani mtu kama anataka kununua gari kwa mtu mweusi ni mara mia anunue gari ya m. Nigeria hawa jamaa gari kwao service wanaijua sio sawa na mtu mweusi yeye akipiga moto ilimradi garia iwakeUkitaka ujue Watanzania ni watu wa kukatisha tamaa waulize kitu cha mafanikio kwako...magari yapo SA na bei nzuri wengi wamenunua na wanashangaa mimi nawapa njia si lazima nipate kupitia kwenu nina biashara zangu nafanya wapo wengi humu wamepata magari kupitia kwangu napokua SA na vitu vingine...magari SA ni mengi wauzaji ni CAR dealers hao Wanigeria unakutana nao wapi wao wapo busy na biashara zao..
Japan mkuu, SA wa Nigeria hawatakuacha salama mkuuu
Mkuuu ukisikia kaburu sio jina dogo hilo kama ambavyo unalisikia uki tanzania jaribu kutembea south Africa ndio utajua neno kaburu (Boer) linamaanisha niniyou mean waafrika/makaburu magari yao yana usalama zaidi kuliko ya wazungu huko Ulaya
One learns something new humu JF everyday
in other words safety na kila kitu katika hayo magari waafrika wanaongoza
mmm spare wanazo nyingi sana hata magari wanayo ya kila aina hata matapeli wanao wa uhakika mimi nilikuwa na gari aina ya Fiat 124 nilikuwa natafuta piston rings pamoja na oil seal nilivipata huko mwaka 1991, labled Fiat 124 na oil seal lakini piston rings kipenyo kilikuwa kikubwa ila oil seal ilikuwa yenyewe huko kuna mambo mengi bana. Here were are sharing experiencesMkuuu South Africa hakuna spare ya gari unayotafuta ukakosa, South Africa kuna kila aina ya gari unayoyaona mtandaoni na uzuri wa huku kuna mafundi wa uwakika
Ulitaka mfumo gani? Ingia www.webuycars.co.za angalia gari, inspection report ukilipenda agiza (Wana huduma ya ku-deliver Kwa truck au meli).Naamini magari ya SA ni mazuri hasa gari kubwa, tatizo hamna mfumo mzuri wa uagizaji uliopo wazi na kuaminika zinakuwa ni baishara za kubahatisha kupigwa nje nje au kuuziwa gari ya wizi.
Nikweli penye amani hapakosi vurugu, uzi wa huku spare mpaka magari ya zamani unapatammm spare wanazo nyingi sana hata magari wanayo ya kila aina hata matapeli wanao wa uhakika mimi nilikuwa na gari aina ya Fiat 124 nilikuwa natafuta piston rings pamoja na oil seal nilivipata huko mwaka 1991, labled Fiat 124 na oil seal lakini piston rings kipenyo kilikuwa kikubwa ila oil seal ilikuwa yenyewe huko kuna mambo mengi bana. Here were are sharing experiences
South Africa ni the best. Ukihitaji usaidizi, mtafute Isanga family, naamini hatakuangusha!Habari za leo waungwana.
Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko
Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara, usalama na matengenezo ( japo nimeambiwa gari ambayo haijatumika sana hugharamiki sana matengezo au spares) ushusu na gharama za matunzo
SOUTH AFRICA:
Sijajua kuna siri gani ya haya magari kutoka South Africa lakini sijapata kuona gari yenye namba plate za SA hapa mjini ambayo imechoka au iko kuu kuu...iwe Ford, Toyota Fortuner, Land Rover Discovery au BMW...unaona kabisa gari kama vile imetoka kiwandani....na mara nyingi ambazo nation zina namba plates za jimbo la GAUTENG...
Kila ninapouliza Why South Africa and not UK sipewi majibu yaliyonyooka kwani kila mmoja amekuja na theory yake lakini kwa kifupi wao husema:
- Mengi ni magari ya kupigwa hivyo ni cheap
- Wepesi wa kuingiza Tanzania kutoka SA. Minimum wiki moja gari ishaingia
- Hakuna longo longo kubadãilisha plate
- Ushuru ni mdogo kwa sabot country of origin ni SADC
- Ubora wa gari ni mzuri Kwani yametengenezwa kwa ajili ya ya terrain ya Africa
JAPAN & SINGAPORE:
Magari ya kutoka huko niyaonayo mengi naona yamepigwa sop sop lakini sio kama ya SA lakini naona ndio yanayoonekana ni affordable kwa mwananchi mengi hapa wenye kipato cha juu na chini na lakini pia nimeona yaliyppata ajali ni kama vile Yai kwa jinsi yanavyobondeka na survival rate kwa ajali nilizoona ni ndogo sana.
UK:
Sijaona mengi ambayo yanayo shine na kuonekana mapya kama ya SA lakini huwa najiuliza hivi Mzungu anaweza kutengeza gari sub standard (ubora na usalama) kwa jili ya soko la UK au Ulaya na kisha akatengeneza gari bora zaidi kwa ajili ya soko la Africa kwa sababu mazingira na bara bara mbovu za Africa?
Naomba nifafanuliwe based on:
- Ubora na Usalama
- Gharama za kuitunza
- Bei (kutokana na Sababu hizo hapo juu)
- Ushuru
Ahsanteni sana waungwana
Duh, humu jukwaani tulikua tunadanganywa kumbe. Asante kwa taarifa mkuuSouth Afrika kuna magari yote yanayopatikana Duniani kwa maana kwamba wana manufacturing plants kabisa mfano Toyota Fortuner inatengemezwa South Africa.
Ila usidanganywe msamaha ama unafuu wa kodi ukiagiza gari South Africa.
Makubaliano ya SADC ya kusameheana kodi kwa vitu vilivyotengenezwa ndani ya nchi wanachama yanahusu kitu kikiwa brand new tu.
So ukiagiza gari South, brand new, ukapata certificate of origin ukafika nayo TRA hakuna kodi, ila kama ni used car kodi ni sawa na kodi za Japan ama kwingineko.
Watu wasidanganywe, kodi ni jambo la muhimu sana kulikua kabla hujanunua kitu chochote nje ya nchi.
Isanga family amesaidia Sana kuhusu gari za SA. Apewe maua yake. Kwa mtu anaejielewa hawez tena kuagiza chuma chakavu Japan. 14 December natua Joburg nichukue Nissan Hardbody ya kaziSouth Africa ni the best. Ukihitaji usaidizi, mtafute Isanga family, naamini hatakuangusha!
Na siyo kila Mnigeria ni tapeli, kama ambavyo si kila Mtanzania ni mkarimu.Nani alikuambia wanigeria wanauza magari wewe na chumvi wamuachie nani?..SA kuna auction nyingi sana za magari na ukitaka kitonga nunua iliyo gongwa kidogo SA ni wakali wa panel beating inyooshe piga rangi upya ikitua bongo ni salute mtu hawezi jua liligongwa. Showroom zimejaa kila kona wewe ukanunue kwa mnigeria siutakuwa chizi. Kama unataka ndinga SA nenda mwenyewe utapata gari kali bei kitonga
Singapore 😭😭😭Asante sana Singapore tayari ni chaguo no:1
Singapore gari zao nyingi majangaSingapore 😭😭😭
Mpaka wazungu hawamuamini mnigeria wewe ndio unajifanya kiherehere utalizwa hautaaminiNa siyo kila Mnigeria ni tapeli, kama ambavyo si kila Mtanzania ni mkarimu.
Kwa hiyo na Aliko Dangote tumzuie asiendelee na uwekezaji nchini?Mpaka wazungu hawamuamini mnigeria wewe ndio unajifanya kiherehere utalizwa hautaamini