Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

Unafahamu nini kuhusu sheria ya habari nchini Tanzania 2016?
sheria zimewekwa ili kuvunja.huwez kunyosha bila kupindisha hata ww kuna wakati inabidi uvunje hyo sheria unayoitetea wizara husika nayo ni moja wapo.bunge live wakati wa magufuli,kufungia vyombo vya habari,mikutano ya siasa,bajet nje ya mfumo, ukifata sheria moja kwa moja utaumia dadangu.mwache ajinafasi hyo ni starehe yake
 
Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.

Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.

Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Anayeangalia ni wakiume au wakike?
 
Kwa hiyo uungwana ni kuchungulia mambo private ya watu?

Mobile phones au tablets ni vifaa private, ulichokifanya ni kuingilia faragha ya abiria mwenzako. Perhaps alifanya hivyo baada ya kuona unakodolea macho mambo yasiyo kuhusu.

Ulicho kifanya ni sawa na kumchungulia mtu akiwa chumbani kwake. Why can't you just mind your own businesses? au huna mambo yako binafsi ya kufanya?
Alichokitafuta kakipata nahisi alitokwa na unyevu
 
Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.

Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.

Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Pele halikua lako, kwanini likuwashe. Deal na yako wakati mwingine, watu wamevurugwa wanatafta namna ya kueasern hali zao. Next time focus on your business. Over
 
Back
Top Bottom