Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

Unafahamu nini kuhusu sheria ya habari nchini Tanzania 2016?
sheria zimewekwa ili kuvunja.huwez kunyosha bila kupindisha hata ww kuna wakati inabidi uvunje hyo sheria unayoitetea wizara husika nayo ni moja wapo.bunge live wakati wa magufuli,kufungia vyombo vya habari,mikutano ya siasa,bajet nje ya mfumo, ukifata sheria moja kwa moja utaumia dadangu.mwache ajinafasi hyo ni starehe yake
 
Anayeangalia ni wakiume au wakike?
 
Alichokitafuta kakipata nahisi alitokwa na unyevu
 
Pele halikua lako, kwanini likuwashe. Deal na yako wakati mwingine, watu wamevurugwa wanatafta namna ya kueasern hali zao. Next time focus on your business. Over
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…