wa marangu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 259
- 407
sheria zimewekwa ili kuvunja.huwez kunyosha bila kupindisha hata ww kuna wakati inabidi uvunje hyo sheria unayoitetea wizara husika nayo ni moja wapo.bunge live wakati wa magufuli,kufungia vyombo vya habari,mikutano ya siasa,bajet nje ya mfumo, ukifata sheria moja kwa moja utaumia dadangu.mwache ajinafasi hyo ni starehe yakeUnafahamu nini kuhusu sheria ya habari nchini Tanzania 2016?
Post ni ya saa ngapi? Hadi sasa basi haijafika Moro? Kwanini kala tiketi yake badala ya kipochi manyoya changu?Huyo anakulia timing wewe! Ukijaa anaenda kukula!
Unaushahidi gani kwamba jirani yako kavunja sheria? Au ndio huo ushahidi ulioupata kwa kuvunja sheria ya faragha?Unafahamu nini kuhusu sheria ya habari nchini Tanzania 2016?
Usikute uliliwa unatuzuga tu hapa 😅😋Post ni ya saa ngapi? Hadi sasa basi haijafika Moro? Kwanini kala tiketi yake badala ya kipochi manyoya changu?
So what? Only matured men can answer this silly questionUsikute uliliwa unatuzuga tu hapa 😅😋
Anayeangalia ni wakiume au wakike?Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Once you get a taste of a matured man the rest of the world never really taste the same come to me babe a true gentlemanSo what? Only matured men can answer this silly question
[emoji1787]Hizi ndio threads za maendeleo sasa....[emoji39]
😀😀Kwani amemdhalilisha mtoa Uzi?Huo ni udhalilishaji wa kijinsia. Unaweza kuripoti Kwa askari akachukuliwa hatua za kisheria. Hairuhusiwi kuangalia hizo picha sehemu ya public.
🤣🤣🤣🤣Kumbe ni mdau na husemiHiyo ninayo mkuu, ngoja nikupatie PM
Kuna wale wa kuongea na simu kwa sauti ya juu halafu ni mambo binafsi sana[emoji23]Kuna watu wamepinda. Wakati wengine hata kuongea mambo binafsi tu kwenye daladala hatuwezi
Yes...😀😀Kwani amemdhalilisha mtoa Uzi?
Mimi naona hajafanya kosa😀 alikua kwenye burudani zake tuYes...
Alichokitafuta kakipata nahisi alitokwa na unyevuKwa hiyo uungwana ni kuchungulia mambo private ya watu?
Mobile phones au tablets ni vifaa private, ulichokifanya ni kuingilia faragha ya abiria mwenzako. Perhaps alifanya hivyo baada ya kuona unakodolea macho mambo yasiyo kuhusu.
Ulicho kifanya ni sawa na kumchungulia mtu akiwa chumbani kwake. Why can't you just mind your own businesses? au huna mambo yako binafsi ya kufanya?
IdiotOnce you get a taste of a matured man the rest of the world never really taste the same come to me babe a true gentleman
Aliwazalo mjinga ndilo linalo mtokea. Pole kwa kulowaAlichokitafuta kakipata nahisi alitokwa na unyevu
Sikuwahi kujua kwamba kuna Wanyakyusa wasio jua sheria na haki za binadamu. Nilikuwa nawaheshimu sana sasa yabidi nianze kuchuja nani anastahili heshima yanguMimi naona hajafanya kosa😀 alikua kwenye burudani zake tu
Pele halikua lako, kwanini likuwashe. Deal na yako wakati mwingine, watu wamevurugwa wanatafta namna ya kueasern hali zao. Next time focus on your business. OverNasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Wasukuma haoKuna wale wa kuongea na simu kwa sauti ya juu halafu ni mambo binafsi sana[emoji23]