Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

Ww ilikua inakuhusu nn mchumba? Minding your own business ingekusaidia sana
Nakupinga mkuu, doing such a thing in a public bus is ain't a dignity at all. Don't be a selfish mkuu, angalia Jambo unalofanya lisiwe na negative effect kwa watu wanaokuzunguka at that particular time.
Huyo mzee, sijui mtu mzima alipaswa ajiheshimu especially kwakujua kuwa amekaa na jinsia nyingine. Nikuulize swali; upo na binti zako alafu unafika nyumbani kwako unamkuta jirani yako anapiga punyeto hadharani watoto wako wakimshuhudia je utajisikiaje?
Will you mind your own damn business?
 
Hauna lolote zaidi ya nyege na bahati mbaya hajakutongoza........manake nyie huwa mnachuki sana kama mwanaume hajakutongoza ili akakukule
 
Jamani nipo safarini kwenda Mwanza nimeboreka naombeni links za website zenye ngono kali ,leo nina mzuka ingawa nina 50yrs ila nimeoa binti wa 26 yrs ...huwa sitaki ajue ila nataka kuchukua styles mpya
 
Jinsia yake tafadhali.
 
Du that is soo sad, Pole sana
Mtu anawezaje kuangalia hizo mavitu hadharani?
Tunachangamoto kubwa sana ya malezi na maadili
 
Jamani nipo safarini kwenda Mwanza nimeboreka naombeni links za website zenye ngono kali ,leo nina mzuka ingawa nina 50yrs ila nimeoa binti wa 26 yrs ...huwa sitaki ajue ila nataka kuchukua styles mpya
Peleka ombi lako kwenye uzi wa kulana kimasihara naimani kule utapata msaada unaouhitaji na umri wako huo 🙄😫
 
bro we ni legend Big respect
 
Ni ubongo wako umekariri haya yote
 
Picha za ngono ni janga la kitaifa, sio mzee wala mtoto. Nafikiri pia vitendo vya ubakaji kwa watoto na kulawitiana ni matokeo ya janga hili la video za ngono.
Hadi kuku ni wahanga wa ukatili huu
 
Mawazo yako na matendo yako viko mbali sana na financial freedom. Usije ukasingizia kwenu kuna laana ya umasikini
 
Kuna kila dalili ya mtoa mada kuvurugwa na hiyo muvi. Inaonekana anapitia wakati mgumu sana.

Jamaa akaze hapo hapo, asiachie mpaka kieleweke.
Maisha ya wokovu/ ulokole, yamejaa mitihani na majaribu mengi sana. Kuliko aina nyingine ya life style.
Naongea through experience.

Mungu wa walokole ndiye MUNGU MKUU juu ya miungu yote.
 
n burudani kama zilivyo burudan burudan zngine. azamu buruani kwa wote
 
Kwa hiyo uungwana ni kuchungulia mambo private ya watu?

Mobile phones au tablets ni vifaa private, ulichokifanya ni kuingilia faragha ya abiria mwenzako. Perhaps alifanya hivyo baada ya kuona unakodolea macho mambo yasiyo kuhusu.

Ulicho kifanya ni sawa na kumchungulia mtu akiwa chumbani kwake. Why can't you just mind your own businesses? au huna mambo yako binafsi ya kufanya?
 
Kanapenda hizo mambo kasituzuge na uzi wake huu 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…