Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una sifa zipi kati ya hizo juu?Get rid of those characters from websites
You literally cannot find a gentleman with all those qualities
Lemme help you dear no one is perfect to be called a gentleman although, certain attributes in some men can be near gentleness
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Anakutaka huyo [emoji1787] akimaliza kuangalia atakuwekea wimbo wa amelowa, amelowa![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I've almost all the qualities there but some I don't practice perfectlyWewe una sifa zipi kati ya hizo juu?
Kuna watu wamepinda. Wakati wengine hata kuongea mambo binafsi tu kwenye daladala hatuwezi
Enzi za lile jukwaa ndio palikua hakuna mbambambaaa maana kuna ID zilikua zinakunjua nafsi bila simile...🤣🤣🤣....🤣🤣🤣🤣Kumbe ni mdau na husemi
Naona unapambania🤣🤣Unamaanisha nini mrembo?
Kwanini waliondoa🤣Enzi za lile jukwaa ndio palikua hakuna mbambambaaa maana kuna ID zilikua zinakunjua nafsi bila simile...🤣🤣🤣....
Ni stori tu ambazo binadamu akaamua kujitungia wala usiaminiPorn addiction is real aisee,kuna raisi huko Yugoslavia alikutwa anaangalia porn ofisini na kupiga punyeto....
Bwanawee haya mambo bila kupambania utazikwa kichupa kimejaa 🤣🤣🤣Naona unapambania🤣🤣
Kwani raisi si mtu kama watu wengine. Kwa hiyo mwanangu dronedrake akisema anapiga nyeto mnaona kawaida ila akiwa raisi ishakuwa gumzo.Porn addiction is real aisee,kuna raisi huko Yugoslavia alikutwa anaangalia porn ofisini na kupiga punyeto....
Enzi za awamu ya tano kuna kitu ilikuja kwa jina la maudhui ya maadili.Kwanini waliondoa🤣
Lilikua la kupost ngono?Enzi za awamu ya tano kuna kitu ilikuja kwa jina la maudhui ya maadili.
Lakini chakushangaza ile awamu imesha pita lakini JamiiForums hawataki kurudisha lile jukwaa hadi watu tuna karibia kufa na mautam yetu...🤣😋
Hapana mkuu, sikuwahi kuona yeyete aliye post ngono.Lilikua la kupost ngono?
That's evil spirit for real😂😂Ukiendelea kunifuatilia ntahama siti kwa kisingizio unajamba sana najaribu kuficha tablet usione lakini unarefusha shingo tu nitaangalia mpaka nafika msamvu
Mtego huoNasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Ulimfyatukia mwenyeweMtego huo