Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?


Mjomba acha puchu!!!!
 
Kama naijua hii story!!
Mjomba wangu pia alianguka chooni akafariki,ila madaktari walisema presha. Na wapo pia wanaoanguka na hawafi wala kuugua.
 
mambo mawili yote yanawezekana kuhusu kuanguka chooni na kuugua na hatimae kufa. (1) inawezekana inatokana na pressure kwa sababu ndani ya choo hasa vyoo vya mashimo vinakua na mkandamizo wa hewa wa hali ya juu, ambao hupelekea hadi pressure ya mtu kutokana na msukumo wa damu wakati wa kujisaidia ukazidi kupanda na kuleta shida (kwa hiyo tujaribuni kula matunda na vitu vya mataka ili kulainisha choo). (2) chooni kama walivyochangia akina MziziMkavu kuna majini mabaya, ambayo humshambulia mtu anapokua uchi, pia ikumbukwe kwamba ukiingia chooni wale malaika wanaotulinda wao hawaingii humo kwa hiyo tunakua hatuna ulinzi, kinachosaidia ni dua "Ewe Mola wangu najilinda kwako kutokana na majini wakorofi wakike na wakiume" dua hii inawadhoofisha, kutanguliza mguu wa kushoto ni sunna, ukifanya hivyo majini wanakupuuza wanahisi na wewe ni wale wale tu.. siunajua hao hawajuani ni kama FBI na CIA..!!!!!!
 
nilikuwa namsubiri mtu mwenye hoja kama hii.kuanguka chooni kuna uhusiano wa moja kwa moja na uchawi.ukianguka unakufa pona yako ni kupooza.kwa wenye kufaham elimu ya viumbe huwa ni jini anayetegwa chooni au bafuni kwa minajili maalum.yote kwa yote ni uchawi.
 
Reactions: 1gb
Ni juzi tu nilikuwa najiuliza hili swali....OMG we really need your protection!
 
Hakuna mashetani wala Majini. Hio mi naona inakuwa ni Pressure kali inayoendana na paralysis. hata mtu akipatwa na kiharusi midomo hupinda na either mkono au mguu au vyote hupooza.
 

Mkuu acha mawazo ya kishirikina. Nani aliyechora hizo picha? Mbona walioanguka hawajawahi simulia kuziona au kuona hayo mafudu?

Mimi mwenyewe nilipokua form 5 niliumwaga sana kwa mda mrefu, nilipoenda chooni, sikumbuki kilitokea nini, nilijikuta nipo sakafuni na ni mda mrefu ulipita, ila sikumbuki kuona hayo makitu.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: 1gb
'huku maisha ALHAMDULILLAH twashkuru kaka tuwazima mkuu wape DAA'WA wape DAA'WA wagalatia hao bora niseme wagalatia kuliko nikiwaita MAKAFIRI wanachukia kama nini aisee,wape DAA'WA kiongozi wangu...'
 
'huku maisha ALHAMDULILLAH twashkuru kaka tuwazima mkuu wape DAA'WA wape DAA'WA wagalatia hao bora niseme wagalatia kuliko nikiwaita MAKAFIRI wanachukia kama nini aisee,wape DAA'WA kiongozi wangu wafungue macho kuna mengi hawayajui hao jamaa aisee wafungue macho KA MKUBWA sisi tuko nyuma hapa tunaku-back up na kukupa ma-back vocal mkuu NO FEAR thats how we sapoz to be mkuu...'
 

thanks Dr
 
 
duh kweli JF noma,mi sina cha kuchangia nakula pindi tu.Ila hizo kesi za watu kufa baada ya kuanguka bafuni/chooni hata mimi nazisikia sana,miaka mi3 iliyopita nilipokuwa nasoma UDOM kuna mwanachuo alifariki baada ya kuanguka bafuni

mkuu ni wawili pale udom, kama nnakumbuka ni kati ya 2009 na 10, na wote walikufa
 

Jombaa ni jini au shetani,au hakuna tofauti?
 
Pia tunatakiwa..tukisha maliza haja ufanye utoke ..pia mambo ya kuimba chooni ni mabaya kabisa..kuna viumbe humo ndo makaazi yao..so unapomaliza toka..

mimi napenda haka kamchezo ka kuimba chooni haswa nikioga.
 
ukiona mtu kaanguka bafuni au chooni wahi umchane eneo lolote na wembe damu itoke kidogo, baada ya hapo mtoe kwa huduma ya kwanza.
 

very easy uyo alipata stroke(kiharusi) kupinda kwa mdoma ni dalili mojawapo ya stroke.
matatizo yanayoongoza kusababisha stroke( kiharusi) ni shinikizo la damu(high blood pressure) na kisukari

kumbuka unaweza kuwa na shinikizo la damu au kisukari ata kwa zaidi ya miaka 10 bila kujijuia

stroke kwa kifupi ni damu kushindwa kusafiri vizuri kwenda kwenye eneo fulani(portion) la ubongo,hivyo basi eneo husika la ubongo kushindwa kufanya kazi

kuna stroke za aina mbili,1 inayosababisha damu kuvuja kwenye ubongo( hii ni hatari zaidi) 2 na isiyosababisha damu kuvuja kwenye ubongo
 

1gb hii kitu hutokea sana kwa wagonjwa wenye matatizo ya shinikizo la damu (hypertension, watu husema Bp) na hata kisukari ambayo haikuwa ikijulikana. Dalili zao zaweza kuwa kupoteza fahamu, mdomo kupinda, na udhaifu wa upande mmoja wa mwili. Hii huitwa Kiharusi au Stroke, na mara nyingi ni aina ile ya kupasuka kwa mshipa wa damu kwenye ubongo.
Ni vizuri watu kuchunguza afya zao mara kwa mara, wasidhani ugonjwa wa shinikizo la damu au kisukari lazima uwe na dalili. Utashangaa mtu yuko safi kabisa, lakini ukimpima pressure iko zaidi ya 200/110mmHg, au sukari yake masaa nane baafa ya kula imezidi 7.0mmmol/l. Hizo values ni kubwa sana.
Kufia bafuni chanzo si mapepo, bali ni magonjwa sugu ambayo hayakugundulika na kupata tiba.
 
Last edited by a moderator:
mi nimeshaanguka mara nyingi sana lakini ...........
 
Ndugu yangu Mzizi Mkavu nafuatilia Vzur sana lecture yako na nakuelewa vzur saana.., ila nna swali kdogo; Je hzo picture ulzo ambatansha n Kweli n za Mashetan? If yes, zmepgwa kutoka wap ikiwa Mashetan hayaonekan dhahir kwa macho au techologia gan ime2mika ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…