Kuanzia IGP Harun Mahundi aondoke Polisi imekuwa mafia

Kuanzia IGP Harun Mahundi aondoke Polisi imekuwa mafia

Nimesoma Uzi huu,jamaa ameamua kujilipua,kumbe kumbe askari wa usalama wanatuonea wenye magari na wanachukua Hela wazi wazi bila woga kumbe ni chaini hadi HQ,Kwa hali hii Hawa jamaa wakifika Kwa Mungu ni kichapl tu.
 
Mimi ni mtoto wa Polisi na mzee wangu alikuwa mkubwa sana kwa miaka mingi kwenye jeshi hili. Kuanzia IGP harun mahundi aondoke 1996 Polisi imegeuzwa genge la wahuni na mafia. IGP Mahita ndiye aliye anzisha genge la umafia Polisi na viongozi wa serikali wamekuwa wakifumbia macho makusudi kwasababu genge hili limekuwa likitumia kuwasaidia kisiasa na kuwazuia wapinzani na kuiba kura.

1. Kwanza walianzisha mifuko ambayo haipo kisheria ambayo inakata makato kwa kila polisi mfano kuna mfuko wa kufa na kuzikana ambao Polisi wa chini hawaruhusiwi kuhoji pesa inatumikaje na wala hawapati chcochote! hata wakifiwa
2. Kikosi cha ulinzi maalamu kama wa banks na sehemu nyeti kampuni zinalipa Polisi lakini sio serikali wala Polisi wengine wanajua pesa inaenda wapi.
3. Rushwa barabarani kila RPC anapata chake kutoka kwa mkuu wa traffic wa mkoa na kati ya hizo kuna fungu linaenda kwa wakubwa makao makuu na hakuna mtu wa kuhoji
4. Kuna pesa inategemea kuletwa ya rushwa kutoka kwa RPC wa mikoa ya mpakani. Hii ruhswa na kuingiza na kutoa magendo bila kodi. RPC asipo tuma pesa anahamishwa haraka sana. Mikoa kama Kagera, Mwanza, Mara, Tanga, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha wanahusika na hili. Yaani ilifika wakati RPC akipandishwa cheo na kupekwa makao makuu Dar anachukia kama kapata msiba kwasababu hakuna rushwa makao makuu kama mikoani.

IGP mwema alijaribu kusafisha lakini hajafanikiwa kwasababu mitandao ilikuwa imeota mizizi sana na utamaduni wa rushwa umekuwa mkubwa sana kwa muda mrefu. Bado kuna wizi mkubwa kwa Polisi wa railways, vitengo vya magari na spair parts.

Polisi ni lazima ivunjwe na kuundwa upya na Polisi wa chini wawe na uhusu wa kusema maovu bila kuogopa mabosi wao. Lakini kuwe na uangalizi maalumu kama Bodi ambayo iwe na wanasheria na ofisi ya mkaguzi mkuu na iruhusiwe nkohoji Polisi wa kawaidia bila vipingamizi kwa wakati wowote.

Yaani Sirro nyumba yake ya Musoma ilikuwa inasimamiwa na maafisa wa Polisi kwenye ujenzi wakati ni nyumba binafsi. Lakini imejegwa na wadhamini. Tbaigana alijengewa mpaka Hoteli na wadhamini waziwazi. Hawa wadhamini ni watoa rushwa na wenye magendo

Hakuna kitengo wafanyakazi wanafanya kazi kwa shida kama Polisi wa chini. Lakini hakuna kitengo wakubwa wanaishi vizuri kama Polisi Mahita alikuwa na helikopta yake kabisa ya kumpeleka Morogoro kwao weekend


Hakuna kiongozi amesaidia Polisi huko nyuma kama Mahundi ambaye alikuwa nasifika kwa kuwa na akili sana

Kikwete+mahundi.jpg
View attachment 2575252

Mwanzilishi wa mafia ya polisi

View attachment 2575253
1.JPG
Naam, ni hatuna Polisi Tanzania. Bila kupepesa macho wala maneno, sijuwi imeanza lini lakini ni kweli Polisi ya Tanzania ni Mafia na hata zaidi ya Mafia.
 
Umeandika mengi sana na it's very true....
Kipindi flani nyuma nilipangiwa kumu hakikishia ulinzi binafsi RPC OLOMI kwenye makaz binafsi Mwanza enzi izo Akiwa afande mkuu Kagera.....

Alikua mtu poa sana siku Kaa sana nikaondoka MZa

#ASAP
Nikaona taarifa JPM amemtumbua kisa BIASHARA YA MAGENDO KAHAWA....
 
Mimi ni mtoto wa Polisi na mzee wangu alikuwa mkubwa sana kwa miaka mingi kwenye jeshi hili. Kuanzia IGP harun mahundi aondoke 1996 Polisi imegeuzwa genge la wahuni na mafia. IGP Mahita ndiye aliye anzisha genge la umafia Polisi na viongozi wa serikali wamekuwa wakifumbia macho makusudi kwasababu genge hili limekuwa likitumia kuwasaidia kisiasa na kuwazuia wapinzani na kuiba kura.

1. Kwanza walianzisha mifuko ambayo haipo kisheria ambayo inakata makato kwa kila polisi mfano kuna mfuko wa kufa na kuzikana ambao Polisi wa chini hawaruhusiwi kuhoji pesa inatumikaje na wala hawapati chcochote! hata wakifiwa
2. Kikosi cha ulinzi maalamu kama wa banks na sehemu nyeti kampuni zinalipa Polisi lakini sio serikali wala Polisi wengine wanajua pesa inaenda wapi.
3. Rushwa barabarani kila RPC anapata chake kutoka kwa mkuu wa traffic wa mkoa na kati ya hizo kuna fungu linaenda kwa wakubwa makao makuu na hakuna mtu wa kuhoji
4. Kuna pesa inategemea kuletwa ya rushwa kutoka kwa RPC wa mikoa ya mpakani. Hii ruhswa na kuingiza na kutoa magendo bila kodi. RPC asipo tuma pesa anahamishwa haraka sana. Mikoa kama Kagera, Mwanza, Mara, Tanga, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha wanahusika na hili. Yaani ilifika wakati RPC akipandishwa cheo na kupekwa makao makuu Dar anachukia kama kapata msiba kwasababu hakuna rushwa makao makuu kama mikoani.

IGP mwema alijaribu kusafisha lakini hajafanikiwa kwasababu mitandao ilikuwa imeota mizizi sana na utamaduni wa rushwa umekuwa mkubwa sana kwa muda mrefu. Bado kuna wizi mkubwa kwa Polisi wa railways, vitengo vya magari na spair parts.

Polisi ni lazima ivunjwe na kuundwa upya na Polisi wa chini wawe na uhusu wa kusema maovu bila kuogopa mabosi wao. Lakini kuwe na uangalizi maalumu kama Bodi ambayo iwe na wanasheria na ofisi ya mkaguzi mkuu na iruhusiwe nkohoji Polisi wa kawaidia bila vipingamizi kwa wakati wowote.

Yaani Sirro nyumba yake ya Musoma ilikuwa inasimamiwa na maafisa wa Polisi kwenye ujenzi wakati ni nyumba binafsi. Lakini imejegwa na wadhamini. Tbaigana alijengewa mpaka Hoteli na wadhamini waziwazi. Hawa wadhamini ni watoa rushwa na wenye magendo

Hakuna kitengo wafanyakazi wanafanya kazi kwa shida kama Polisi wa chini. Lakini hakuna kitengo wakubwa wanaishi vizuri kama Polisi Mahita alikuwa na helikopta yake kabisa ya kumpeleka Morogoro kwao weekend


Hakuna kiongozi amesaidia Polisi huko nyuma kama Mahundi ambaye alikuwa nasifika kwa kuwa na akili sana

Kikwete+mahundi.jpg
View attachment 2575252

Mwanzilishi wa mafia ya polisi

View attachment 2575253
1.JPG
Polisi sasa hivi wamegeuka kichekesho mbele ya jamii pana ya kitanzania. Hawa wachumiatumbo Mungu anawaona.
 
Mama Samia aliwaambia wakubwa wa polisi pale moshi kua samaki anaoza kuanzia kichwani. Yaani matendo machafu unayoyaona Kwa Askari wadogo, chanzo chake ni huko juu.
Ni ukweli mtupu. Na matatizo ya hii taasisi yote yanajulikana hakuna haja ya kudunda tume. Fikiria Askari kupata stahiki zake mpaka ahonge je huyu mtu atatutendea haki?. Mfumo wa uajiri umejaa kujuana au rushwa.
 
Rushwa Polisi na sehemu zote serikalini ilishakuwepo tokea enzi za Julius Kambarage Nyerere na ni kama utamaduni wa KiTanzania

Mie binafsi nimeshuhudia Rushwa chuo kikuu cha Dar es Salaam nikiwa mwanafunzi pale iwe Polisi kusiwepo rushwa?
 
Mama Samia aliwaambia wakubwa wa polisi pale moshi kua samaki anaoza kuanzia kichwani. Yaani matendo machafu unayoyaona Kwa Askari wadogo, chanzo chake ni huko juu.
Ni ukweli mtupu. Na matatizo ya hii taasisi yote yanajulikana hakuna haja ya kudunda tume. Fikiria Askari kupata stahiki zake mpaka ahonge je huyu mtu atatutendea haki?. Mfumo wa uajiri umejaa kujuana au rushwa.

Ofisi zote serikalini na taasisi zote kuna rushwa labda ikulu tu ndio kunaweza kuwa hakuna rushwa
 
Hadi kuna watu fulani vigogo wakubwa sana tu wa chama fulani na watu wazito sana nchi hii walikuwa wanajihusisha na biashara ya silaha za kivita kwenda kuendeleza vita mataifa jirani yetu iwe polisi wenye mishahara ya laki nne ndio wawe wasafi
 
Ofisi zote serikalini na taasisi zote kuna rushwa labda ikulu tu ndio kunaweza kuwa hakuna rushwa
Hukumsikia Mama Samia juzi? Alisema sakata la over invoicing ya ndege limeanzia hapo hapo.

Polisi kuna ufisadi zaidi ya rushwa ni organised crime.

Ukishtaki utatakiwa uhonge, ukishtakiwa utatakiwa uhonge. Ni "damned if you do damned if you don't".
 
Ni kweli kabisa! Moja ya maeneo nyeti ukitaka kuvuruga taasisi yeyote ni kwenye recruitment process!

JWTZ kwa miongo mingi wako very serious kwenye recruitment na mafunzo. Anatoka askari aliyenyooka. Kozi za maafisa zimeshiba sio afisa anapelekeshwa na wanasiasa kama vile hajui mipaka yake.



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
HasbunAllah wa niima l'wakil.

AlhamduliLlah Gozi linadunda kama kawa. Allah ampe unri mrefu

Mahasidi mshindwe.
Nilisikiaga kaondoka na Korona basi nilipata wrong information
Anyways najua hana pumzi tena tupo wajuba hapa tuchamshe damu hiyo.
 
Back
Top Bottom