Ngarob
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 661
- 2,204
Polisi wetu mishahara ni midogo...
Wana maisha magumu...
Kuna mtu pale Moshi miaka kama minne nyuma aliona usiku jirani na kwake fuso inashusha mzigo wa mafuta ya kula na wines nyingi kutoka nje ya nchi..
Akajidai kutoa taarifa polisi kwamba anawasiwasi na mali za wizi..
Polisi wakaja.. kumbe ni magendo.. Mhusika akachukuliwa... Kumbe ni mtu wa kuforce rushwa... polisi walimwachia akaendelea na biashara zake...
Baada ya wiki yule alietoa taarifa alifuatwa na Mhusika akaambiwa atamfanyia mpango apasuliwe paji la uso na shaba... Mtoa taarifa aliomba msamaha na kulia kama mtoto...
Akaambiwa nimepoteza kama million 4 kwa upuuuzi wako... Sasa ikabidi jamaa awe anamlipa kidogo kidogo kwa miezi mitano..
Sasa angalia mtoa taarifa akageukwa kwa sababu ya rushwa... Polisi wana shida sana na rushwa kwa kuwa mishahara midogo...
Wana maisha magumu...
Kuna mtu pale Moshi miaka kama minne nyuma aliona usiku jirani na kwake fuso inashusha mzigo wa mafuta ya kula na wines nyingi kutoka nje ya nchi..
Akajidai kutoa taarifa polisi kwamba anawasiwasi na mali za wizi..
Polisi wakaja.. kumbe ni magendo.. Mhusika akachukuliwa... Kumbe ni mtu wa kuforce rushwa... polisi walimwachia akaendelea na biashara zake...
Baada ya wiki yule alietoa taarifa alifuatwa na Mhusika akaambiwa atamfanyia mpango apasuliwe paji la uso na shaba... Mtoa taarifa aliomba msamaha na kulia kama mtoto...
Akaambiwa nimepoteza kama million 4 kwa upuuuzi wako... Sasa ikabidi jamaa awe anamlipa kidogo kidogo kwa miezi mitano..
Sasa angalia mtoa taarifa akageukwa kwa sababu ya rushwa... Polisi wana shida sana na rushwa kwa kuwa mishahara midogo...