Kuanzia IGP Harun Mahundi aondoke Polisi imekuwa mafia

Habari za handeni
 
Nasikia mahita pamoja na ubabe wake lakini ilikuwa akifika nyumbani kwa mke wake alikuwa anachapwa sana makofi hadi analia.
Dr Specioza Kazibwe Makamu wa Rais wa Uganda alikuwa anakula kisago na MUME wake,kila wiki mara moja, mpaka akamua ku resign 😀😀
 


Mahundi alikuwa anaheshimika mpaka Kikwete alikuwa anamwogopa!
 
Hapa umeechemka kwenye mabank au taasisi yoyote inayoomba ulinzibanalipwa askari usika ndugu
 
Wamekuwa maharamia, magaidi, makatili ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…