Hivi ugomvi wa nguruwe mwitu na nyumbu ulianziaga wapi?Ni kawaida ya nyumbu kudhani yuko salama mbele ya simba.
Acha waendelee kumshangilia rais Samia
Na mzee mamvi mbona kimya sana siku hizi!
Kamanda umejiunga lini Chadema?
March 27 hamtaisahau. Mama ashikilie hapo hapo. Asipozingua hatazinguliwa.
Mkuu Wakudadavuwa Mama hajakukumbuka hata shavu la mkuu wa Wilaya...Daa !!Chadema wanaojijua wanaangalia kisha wanapita kule
Waende kufanya nini wakati wazandiki waliwaengua kwa mbwembwe za kusuka upya kikosi cha siasa uchwara?
Kwanini CDM hamjashiriki uchaguzi Buhigwe na Muhambwe?
Kamanda jikite kwenye hoja sasa,Rais Samia ni CCM
Kwa hiyo wewe ni msaliti kwa mantiki hiyo na upo tayari kuanika wazi uozo ulioshiriki enzi hizo ili utakasike?Umeshasema " enzi"
Hatushiriki maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Kaa huko huko Kenya dogo
Anaenda vizuri sio, tazama mkuu wa TAKUKURU aliyeteuliwa na mkuu wa mkoa wa Dar wa sasa akimridhi Kunenge aliyehamishiwa PwaniUngemalizia kwa kusema "asema nabii Tito" ungeeleweka vizuri zaidi.
Ila wewe kama si nabii huyo si mbaya ukiyajua haya bayana:
Hadi sasa mama kama binadamu anakwenda vizuri. Akiendelea hivyo ataendelea kuungwa mkono zaidi na zaidi.
Tusitegemee mama kuzinguliwa na waungwana unaowalenga kama ataendelea kusimamia haki, uhuru na zaidi sana asiposahau kutoa mrejesho na kuchukua hatua stahiki kwenye:
1. Ripoti za CAG zikiwamo za TPA na BOT Mar 2021.
2. Ripoti ya tume ya wataalamu kuhusiana na Corona.
3. Lile kundi dhwalimu lililotaka kumzimia yeye urais.
Akitufikisha kwenye hatima ya mzizi wote wa fitina yaani kupatikana kwa katiba muafaka mbona mama atastahili mitano tena baada ya 2025 ya heshima na taadhima.
Eeh mola wetu hebu ukamjalie hekima na busara rais wetu aendelee kuyaumbua manyang'au haya yasiyomtakia mema.
Hamna siasa za hivyo hizo ni hisia za kijingaNdugu zangu,
Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa Jakaya Kikwete huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof. Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi. Mbowe na CHADEMA walirukaruka kama ndama wakifurahia Serikali mpya ya "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania"
Wakati Serikali ya Awamu ya Tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia Dunia kuwa Serikali ya "Hapa Kazi Tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za UKAWA.
Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha, wakigonga tano wakiamini Serikali ya "Kazi Iendelee" inatekeleza sera zao.
Vituko haviishi hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya Serikali ya Rais Samia (CCM) na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr. Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.
Muda utasema!
Sio Kenya maana hapo ni karibu, sema Ulaya kabisa ili utetezi wako unoge.
Kamandaaa! I will give you a deal that you can't reject!come inbox
Iweke hiyo deal inbox, mbwembwe za nini kama vile huko inbox kunahitaji passwd?
Tulia kama maji ya mtumgini,sifurahii jinsi unavyoishi kwa kulalamika na shida nyingi
[emoji38][emoji38][emoji38]Chadema hawajawahi kueleweka wanataka njni
Ungefanikiwa hata kunijua ungeshangaa.