Kuanzia Julai 1, 2021 rasmi CHADEMA wanarejea kwenye ukorofi

Mnasema CHADEMA ilishakufa, kumbe mnakiri bado ipo? "You are misguided prophets". Msingi (principle) wa upinzani pamoja na kusifu yaliyo mema, ni kukosoa mabaya.
 
S
Saccos wanaumia na kukasirika kwani wale waliotegemwa wangekufa na njaa baada ya kuondoka ndio wameteuliwa kuwa mabosi wao huko wilayani kwao.wamevimbisha mashavu utadhani wote ni wajukuu wa Kigogo. Huku Nasari ,Kule, Mashinji, katikati Lijuakali pembeni Mtatiro, wakuu mtakufa na vijeba vya moyo
 
MATAGA mnahaha hamjui pa kushikilia, mmeishia kuwa wapiga ramli.
Wewe tapeli ni kawaida yako kulamba miguu viongozi wakiingia madarakani kisha wakikufungia vioo unaanza matusi.

Ulilamba miguu ya JPM baadae uliponyimwa pesa ukageuka.
Mama Samia pia itakuwa hivyo hivyo.

Yote kwa kuwa akili zako ni finyu.
 
Huyu dogo anajiita "jasusi"
Wewe tapeli ni kawaida yako kulamba miguu viongozi wakiingia madarakani kisha wakikufungia vioo unaanza matusi.

Ulilamba miguu ya JPM baadae uliponyimwa pesa ukageuka.
Mama Samia pia itakuwa hivyo hivyo.

Yote kwa kuwa akili zako ni finyu.
 
Acha uoga enzi za utawala wa kutishana na kufunga wapinzani hovyo zimepitwa na wakati. Huu ni wakati wa siasa za kistaarabu.

Wewe endelea kumuota mwendazake.
 
Acha uoga enzi za utawala wa kutishana na kufunga wapinzani hovyo zimepitwa na wakati. Huu ni wakati wa siasa za kistaarabu.

Wewe endelea kumuota mwendazake.
🤔
 
Genius [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji120][emoji3577]
 
Hivi CDM ina matusi kuliko CCM?
 
Wewe sasa inafaa upate mume akuoe kwa sababu muda wote unashinda hapa na kukesha ukiandika tu upumbavu mwingi usio na maana ili mradi tu ulipwe ujira na kitengo cha propaganda cha ccm. Useless kabisa.
 
Kamanda jikite kwenye hoja acha kulialia
Wewe sasa inafaa upate mume akuoe kwa sababu muda wote unashinda hapa na kukesha ukiandika tu upumbavu mwingi usio na maana ili mradi tu ulipwe ujira na kitengo cha propaganda cha ccm. Useless kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…