Kuanzia Jumatatu, menu za simBanking zitaanza kutozwa

Kuanzia Jumatatu, menu za simBanking zitaanza kutozwa

Hyo miradi mshaurini mama aiache tu Ili muendelea kusema mama anaupiga mwingi.
Acheni visingizio

Miradi ishaanza kuiacha ni hasara kubwa kuliko kuiendeleza!! Napenda maendeleo yasiyoumiza ,Mama aangalie jinsi ya kupunguza maumivu kwa wananchi ,tuchangie maendeleo Mkuu!! Enzi zetu miaka ya 70 ,huduma tulikuwa tunafata zaidi ya km 30 kwa baiskeli ila sasa ukitoka nje tu ya nyumba kuna bomba la maji.
 
Kuwa na viongozi aina ya akina Magufuli ni matatizo unataka kila mradi ukamilike huku huna uwezo wa kifedha-hata Roma haikujengwa siku moja.

Jiwe alikuwa anawapiga wafanyabiashara fedha za maendeleo ,Mama anataka sisi wananchi tuchangie maendeleo ,approach nzuri maana wafanyabiashara ndio wanaoeleta ajira na mzunguko wa pesa mtaani....Ushauri tu wapunguze makato maana ni makubwa yanamuumiza mwananchi.
 
leo nimeamka na hii
Ndugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100

kazi iendeleeee
Naongiaga nikiwa nataka fanya muamala. Hivyo kwangu sio ishu, tuendelee kulipa kodi indirect maana ya direct tunaikwepa. Kilio changu ni na wabunge walipe kodi ya PAYE...
 
Jiwe alikuwa anawapiga wafanyabiashara fedha za maendeleo ,Mama anataka sisi wananchi tuchangie maendeleo ,approach nzuri maana wafanyabiashara ndio wanaoeleta ajira na mzunguko wa pesa mtaani....Ushauri tu wapunguze makato maana ni makubwa yanamuumiza mwananchi.
Naona jpm bado anakusugua
 
Nchi HAIENDI bila ya makusanyo ya KODI/TOZO.....

Tubadilishe "mentalities" kwa KUJIFUNZA HULKA MPYA ya KULIJENGA taifa letu kwa gharama ya jasho letu......

Hizo TOZO zinakwenda katika mfuko MAALUM.....CAG atakuwa anaukagua na TAARIFA TUTAPEWA.....

#KaziIendelee
#NchiKwanza
 
✓Hata Mimi nilitaka kusema ivyo ivyo tokea 2018 wanakata Tshs 500.
 
leo nimeamka na hii
Ndugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100

kazi iendeleeee
Njia nzuri na sahihi ni kuwekeza kwenye materials zaidi ya kuhifadhi bank.

Ujinga wa wanaomshauri Rais umekuwa ni sugu na hauponyeki
 
Back
Top Bottom