Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaweka deni ukiingiza tu wanalambaUkiwa huna salio je?
Hela zenyewe mnazo ndogo ndogo namna hiyo mnahangaika na ma benki ya nini, waachieni wenye mapesa mengi, weka pesa zako sehem ukihitaji ndogo ndogo unachukua bila makato na bila ya kukatwa ukitaka kujua zimebaki sh ngap hukatwi hata senti. mnafanya maisha kuwa magumu sana halaf mnabaki kuilamu serikali mnacho kifanya ni kuwanufaisha wana siasa kuziiba na kuzila tu. kilipwa benki chomoa zote watakazo kuwa wamezikata kwenye kuchomoa zote zinawatosha baada ya hapo kimya.leo nimeamka na hii
Ndugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100
kazi iendeleeee
Na contact yeyeto ukiipiga chini ni lazima uwalipe hapo ndipo mtihani ulipo pesa Hakuna, hatukopesheki,tuliyokopa riba juu, wananchi awazalishi sababu hawana mazingira ya kuweza kubadili fursa tele kuwa pesa.Miradi mingi ilianzishwa kwa sifa ya kuwakonga watangulizi wake ikiwa sio lazima au ya haraka SanaMambo ni Faya!!!! SGR,STEGOLAZ zinahitaji kukamilika......Kuna huduma nyingine kuna option ya kuzipiga chini.
Na huko kwenye simu wangeacha tozo ya jero kwa kila muamala mbona ingekuwa safi tuSamia na CCM wameona tumehama kwenye miamala ya simu tumeenda kwenye sim banking imebidi waongeze tozo za kununua mavieitee.
Hata hilo nalo ni jibu.Utaambiwa insufficient balance
Hauta-access huduma kivipi, wakati ukiuliza tu hata kama hauna salio lazima ujibiwe!Hutaweza ku-acesss huduma
Hauta-access huduma kivipi, wakati ukiuliza tu hata kama hauna salio lazima ujibiwe!
Usichoelewa ni kwamba, jibu lolote unalopewa pindi uulizapo, hulipiwa, bila kujali una salio ama hauna.
Kama hauna chochote kwenye account, uingiapo muamala wowote mpya, wao hufyeka gharama ya huduma huduma hiyo waliyokupatia.
Jaribu kuchunguza utaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ameongea ukweli, hicho kiwango cha 500 ni uongo.Wewe upo voda? Kwa maana ya kufanya kazi? Mimi nina number zaidi ya moja miaka 20 sasa nilihama voda kwenda airtel ikiwa ni hiyo sababu na hadi sasa nina voda hata iwe na 400 bal..ance ambayo haiko kwenye bundle haikubali kupiga code ya crdb sim banking
leo nimeingia wala sijakatwa chochotejamani naomba meejesho menu zenu vp