Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Sure think twiceKwendraaaa😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure think twiceKwendraaaa😂😂😂
Nilitegemea kukuona hapa muda huu😜mbona umechelewaTukusindikize?
Bangi inaumiza kichwa changu hapana situmii.Anza kuvuta bangi,utanishukuru..
Hongera sana lakini kwa kuacha kamnyweso nenda kacheki Figo zako kama zipo poa.
Mmh kijanatafuta hii liqueur "frangelico!" utarudi hapa unanipongeza.
Kunywa spirit/ kunywa ngumu kumezaaMirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
trust me.Mmh kijana
Nipe mbadala kabla sijafanya maamuzi ya kunywa mirinda na mo passionSure think twice
Mbona kama unanishambulia 😹walevi wengi jf tumefanikiwa kuwanasua wapo walifika atua ya kupost picha za pombe kali wakichanganya pamboja na ugoro kwenye uzi wa mada kwajili ya walevi lakini sasa naona fahamu zimewarudi
Hawezi huyu kichwa chenyewe hicho waruwaru tupu!😅😅😅😅 nimecheka.
Ukipitisha miezi 6 hujanywa ndo nitaamini umeweza
Inauzwaje hilo jina tu nkilewa siwezi kulitamka, nitawaomba franco 😁trust me.
Nyagi? Vant?Kunywa spirit/ kunywa ngumu kumezaa
Nipe mbadala kabla sijafanya maamuzi ya kunywa mirinda na mo passion
😂 umenikumbusha defensive mechanismMbona kama unanishambulia 😹