Kuanzia leo 19.01.2025 sitakunywa tena bia......

Kuanzia leo 19.01.2025 sitakunywa tena bia......

Mirinda nyeusi inaniita.....

kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋

Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.

Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.

Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599

Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.

Sijaacha pombe nimeacha bia.

Walevi wote peponi 🥰
Hongera sana kwa uamuzi huu mkuu, karibu kwenye timu yetu ya visungura, smart gin🐰
 
Pombe ni kama madawa ya kulevya tu huachi hata kidogo kacheki series ya limitless au movie ya limitless utaona jinsi drugs zinavokuwa ngumu kutoka mwilini hiii starehe hauwezi kuiacha ni sawa na mtu aseme naacha bangi na hawezi kuacha
Unaacha nilipo pata ajar Feb nilikua na miaka mi wili kila siku na boost baada ya kaziii jioni..

Nilipo jua/ ambiwa mguu hauwezi kuunga ukiwa una tumia alcohol/ sigara.. japo sijawai vuta fegi...Mbona ku boost niliacha mwaka Jana wotee

NB.
Pombe/ sigara,/ bange ni mind sate unaacha ukiamua Tena siku moja tu
 
Hebuuuu....ngoja kwanza niiandike hii tarehe ya leo, mwezi na mwaka halafu nikusubiri wiki iishe
 

Attachments

  • images - 2025-01-19T201916.642.jpeg
    images - 2025-01-19T201916.642.jpeg
    16 KB · Views: 1
Mirinda nyeusi inaniita.....

kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋

Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.

Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.

Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599

Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.

Sijaacha pombe nimeacha bia.

Walevi wote peponi 🥰
Mirinda ndio balaa sasa.

Hiyo ukali yake achaka kabisa.

Kunywa maji na matunda basi. Ndizi ni pombe ukila nyingi.
 
mwili wako ndio tabu!, mkuu wine ni nzuri nashauri watu heri watumie wine zile kali ni mtihani sana ujue!.
tunakunywaga tu lkn kali mh!
Mimi Bora spirit...wine ukipiga zile CHUPA kubwa mbili kesho zinachosha MWILI...

Labda uwe mtu wa kunywa maji mengiii
 
Mirinda nyeusi inaniita.....

kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋

Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.

Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.

Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599

Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.

Sijaacha pombe nimeacha bia.

Walevi wote peponi 🥰
Tangu lini mlevi akajishauri mwenyewe 🙂🙂?
 
Back
Top Bottom